Wewe bwege kweli huyo anaweza kukuzaa mheshimu mkuu!Kuna mkuu wa mkoa kule nyanda za juu kusini anakichwa kinachofanana na kichwa cha uume yeye anasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bwege kweli huyo anaweza kukuzaa mheshimu mkuu!Kuna mkuu wa mkoa kule nyanda za juu kusini anakichwa kinachofanana na kichwa cha uume yeye anasemaje?
Haa haa haa. Mbona hujibu? James na kibri chote kile ni mtu wa kuomba msamaha?Kwani sasa si kila kitu?? Umekaa tu nyuma ya kwyboard na kutoa udaku wakati wenzako wanaendelea kula nchi.
Umemuacha wapi Chalamila? Kiazi burugaUmelisahau lile Arusha, Kihongosi rejea matmshi yake.
Ila kiukweli Mataga wanahali mbaya hawana uhakika kama wataendelea kuwepo.
Kwa mawazo yako, ni kuwa Samia yupo na Kikwete. Na sasa Kikwete mstaafu anaongoza nchi. Na sasa kwa akili yako ndogo unafikiri, Samia atamtetea Kikwete. Hakuna ujinga Kama huo. Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.Kikwete hawezi kabisa kuiongoza nchi. Ni mstaafu.Video inajielezaView attachment 1737768
Mnamuacha wapi jambazi SabayaOngeza Bashite , Chalamila na Muro
Huwaga video ikiwekwa hivi huwa siwezi kuifungua maana uki krik tu unakuja menu ya jamii forum,msaada kwenye hiliVideo inajielezaView attachment 1737768
Ni mwendo wa kifukua makaburi tuVideo inajielezaView attachment 1737768
🤣🤣🤣Samahani kama tumegusa ugali wako
Lete ushahidiWamekutuma kuja kuwatetea?
Ruge alikuwa Genius aliwahi kusema "ogopa Mwenyezi Mungu na Technologia "Aisee
Huyu kijana anyongwe leo na shetani luciferVideo inajielezaView attachment 1737768
Kwanza ujue amemuomba samahani nani? Hujui kinachoendelea wewe endelea kupiga kelele tu. Lakini utaratibu ni uleule tu ukiuza madawa au ufisadi lazima uende ndani without bail.Haa haa haa. Mbona hujibu? James na kibri chote kile ni mtu wa kuomba msamaha?