Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msianze kumgombanisha mama Samia na watendaji wake.kama mtu anafiti na utendaji wake unaridhisha ataendelelea kuchapa kazi.na Kama anapwaya basi atasaidiwa kazi.sasa naona watu mna mihemko ya kisasi na chuki.hatuendi hivyo wandugu.Raisi wenu kafa sasa , wastaafu wanaweza kurudi relini bwana Hapi jipange
IPO hii pia ya Heri James kiongozi wa UVCCMVideo inajielezaView attachment 1737768
Samahani kama tumegusa ugali wakomsianze kumgombanisha mama Samia na watendaji wake.kama mtu anafiti na utendaji wake unaridhisha ataendelelea kuchapa kazi.na Kama anapwaya basi atasaidiwa kazi.sasa naona watu mna mihemko ya kisasi na chuki.hatuendi hivyo wandugu.
Mungu anatupenda watanzania katuokoa na jehanamu ya dunianiMheshimiwa Samia ana kazi kubwa kuhakikisha viroboto kama hawa hawaingii kwenye serikali yake. Ulevi wa madaraka ni mbaya sana. Umeona yule mwenyekiti UVCCM anavyotia huruma? Walidhani wameshateka nchi. Kuna kila sababu ya kuamini 2025 Magufuli asingetoka madarakani. Angeongeza halafu aje amkabidhi urais mtu wake wa karibu sana.
MUNGU amemuacha iliaone upumbavu alikuwa anaufanya una maisha mafupiSijui kwanini hayajaondoka na kiongozi wao...
Kwani inatatizo gani?Video inajielezaView attachment 1737768
Design ya lipumbaHuyo ni mmoja wa viongozi ambao hua simuelewi ana asili ya kujipendekeza pendekeza hivi
Mtahangaika sana mtawaona wanadunda tu! Nyinyi kweli wa kuwashauri CCM? Badala ya kuishauri Saccos ya Chadema sasa mnapoteza muda wenu bure kabisa!Mheshimiwa Samia ana kazi kubwa kuhakikisha viroboto kama hawa hawaingii kwenye serikali yake. Ulevi wa madaraka ni mbaya sana. Umeona yule mwenyekiti UVCCM anavyotia huruma? Walidhani wameshateka nchi. Kuna kila sababu ya kuamini 2025 Magufuli asingetoka madarakani. Angeongeza halafu aje amkabidhi urais mtu wake wa karibu sana.
Kisasi walianza wao walipopewa madaraka! Kumbuka DAB alivyowatesa kina Manji.....! Marehemu aliwapoteza sana hawa vijana! Aisee kwa namna walivyowaonea raia natamani kisasi kifanyike dhidi yao! Chalamila, Happi, Mnyeti, DAB, yule wa Hai, Kihongosi.....walijisahau sana!msianze kumgombanisha mama Samia na watendaji wake.kama mtu anafiti na utendaji wake unaridhisha ataendelelea kuchapa kazi.na Kama anapwaya basi atasaidiwa kazi.sasa naona watu mna mihemko ya kisasi na chuki.hatuendi hivyo wandugu.
Kila zama na kitabu chake enzi za Magufuli zimepita.Mtahangaika sana mtawaona wanadunda tu! Nyinyi kweli wa kuwashauri CCM? Badala ya kuishauri Saccos ya Chadema sasa mnapoteza muda wenu bure kabisa!
Hapo penye "atasaidiwa...",ndiyo pamenifanya nicheke.msianze kumgombanisha mama Samia na watendaji wake.kama mtu anafiti na utendaji wake unaridhisha ataendelelea kuchapa kazi.na Kama anapwaya basi atasaidiwa kazi.sasa naona watu mna mihemko ya kisasi na chuki.hatuendi hivyo wandugu.
Zamu yake kutiwa mimba badala ya wake zetuIPO hii pia ya Heri James kiongozi wa UVCCM
Hawa watu walikuwa wanaongea kana kwamba wamefika walikokuwa wanaenda, waliongea kana kwamba hawatakuja kufa...
Piga makima hayooooo. Yamechanganyikiwa! Hivi mpwa wa Magufuli Heri James ni mtu wa kuwa mpole namna hiyo? Ni mtu wa kuomba radhi? Unakumbuka jeuri zake na tambo zake? Alikuwa amejiona yeye na kila kitu.Mtahangaika sana mtawaona wanadunda tu! Nyinyi kweli wa kuwashauri CCM? Badala ya kuishauri Saccos ya Chadema sasa mnapoteza muda wenu bure kabisa!
Kwani sasa si kila kitu?? Umekaa tu nyuma ya kwyboard na kutoa udaku wakati wenzako wanaendelea kula nchi.Piga makima hayooooo. Yamechanganyikiwa! Hivi mpwa wa Magufuli Heri James ni mtu wa kuwa mpole namna hiyo? Ni mtu wa kuomba radhi? Unakumbuka jeuri zake na tambo zake? Alikuwa amejiona yeye na kila kitu.