Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawa ni wakuozea jela hakuna namna wataponaOngeza Bashite na Chalamila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni wakuozea jela hakuna namna wataponaOngeza Bashite na Chalamila
Hii ndo ilikuwa ntoke vipi ya awamu ya mwendazake. Muda wote ni kukunja sura na kukaripia watu kama watoto wadogoKanajifanya kazalendo eti kanakunja na sura kumbe kapigaji tuu.
Naaam naaam... ndio maana walimtwanga mzee Warioba eti?Video inajielezaView attachment 1737768
Alikua anamjibu KikweteVideo inajielezaView attachment 1737768
Hawa awakubadilika Hadi mwisho tofauti na haoOngeza Bashite , Chalamila na Muro
Amefanya vizuri kabisa ili wananchi wajue jinsi viongozi walivyo wanafiki!!!We jamaa mbona unafukua makaburi?Hii ungemtumia inbox mkuu
Wamekutuma kuja kuwatetea?Hawa awakubadilika Hadi mwisho tofauti na hao
Yani kichwa chake kwa mbele utadhan 'dik-hed'Huyo ni mmoja wa viongozi ambao hua simuelewi ana asili ya kujipendekeza pendekeza hivi
Mheshimiwa Samia ana kazi kubwa kuhakikisha viroboto kama hawa hawaingii kwenye serikali yake. Ulevi wa madaraka ni mbaya sana. Umeona yule mwenyekiti UVCCM anavyotia huruma?Hawa ni wakuozea jela hakuna namna watapona
Ndiyo ulikuwa mpango wao kuanzia kwa NdugaiMheshimiwa Samia ana kazi kubwa kuhakikisha viroboto kama hawa hawaingii kwenye serikali yake. Ulevi wa madaraka ni mbaya sana. Umeona yule mwenyekiti UVCCM anavyotia huruma? Walidhani wameshateka nchi. Kuna kila sababu ya kuamini 2025 Magufuli asingetoka madarakani. Angeongeza halafu aje amkabidhi urais mtu wake wa karibu sana.
Raisi wenu kafa sasa , wastaafu wanaweza kurudi relini bwana Hapi jipangeVideo inajielezaView attachment 1737768
Alitumika tu huyu.Video inajielezaView attachment 1737768
Hao madogo walishajisahau kuwa Mungu ndiye muweza wa yote!madogo walikosa adabu na kuonyesha ushamba wa kudharau daharau kila mtu kisa ni mmoja waliyemwabubu
Alikuwa anamnanga Kikwete.. hamjui Kikwete huyu, amuulize Lowassa. Sasa ngoma ipo uwanjani aichezeVideo inajielezaView attachment 1737768
Sijui kwanini hayajaondoka na kiongozi wao...Hawa walibebwa na mfumo katili
Lakini kihongosi anachapa KAZI Arusha na wananchi wanampenda. Ile ulkua propaganda tu ya kisiasa. Lakin as for now ni among vijana wanayofanya KAZI nzuri sanaUmelisahau lile Arusha, Kihongosi rejea matmshi yake.
Ila kiukweli Mataga wanahali mbaya hawana uhakika kama wataendelea kuwepo.