Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ALIKUWA ANAOGELEA KWENYE DIMBWI LA "ulevi" wa MADARAKA. 🤣🤣🤣Video inajielezaView attachment 1737768
sijawahi kumuelewa kabisa huyu boya.Video inajielezaView attachment 1737768
MaaniinahVideo inajielezaView attachment 1737768
Huyo ni mmoja wa viongozi ambao hua simuelewi ana asili ya kujipendekeza pendekeza hivi
Tatizo hapo ni nini?Video inajielezaView attachment 1737768
Wastaafu wamerudi kwa mlango wa nyuma.
Ni kama mtoto amekuwa na kudharau wazazi wake zama zenu zimeisha. kauli mbaya sana hii sijui alikuwa anawaza nini huyu dogo nafasi zenyewe hizi za hisani.Madogo walikosa adabu na kuonyesha ushamba wa kudharau dharau kila mtu kisa ni mmoja waliyemwabudu.
Nadhani hamjui Kikwete huyu anazijuwa siasa zote chafu atapigwa sindano ile kimya kimyaa mzee hasahau yule.Alikua anamjibu Kikwete
ASANTE MUNGU KWAAJILI YA TAREHE 17.
NAMPENDA SAMIA MIE JAMAANI.
SanaaaaaaWampenda SASHA??[emoji1787][emoji1787]
Ila hawa viongozi wetu kama sheria ingekuwa ina simamiwa kwa watu wote hakika wengi sana wangestahiki kifungo yaan hapo ni kauli ya kitisho wazi wazi naked evidenceVideo inajielezaView attachment 1737768