KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Asali aliyolamba imemtosha.View attachment 2306503
Hii statement ya Ally Happy ilimuwekea ukomo wake wa kisiasa.
Ni somo kwa vijana kuwa wazee wana mizizi mirefu na hawasahau.
Katika hii Awamu ya 6, nilijua tu its a matter if time kuwa Ally Hapi atakata pumzi ya kisiasa muda ukifika.
Karibu kwenye zege ndugu Ally Hapi.
Kajizi2Kanamuiga Nyerere hapo kwenye kuongea. Eti anakunja na sura, anarudiarudia maneno, kustammer kwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yani hawa vijana ni washamba sijawahi kuona! Huu wote ni ushamba na ulimbukeni. Kwa kweli turudi tu kwa wazee kwenye hizi nafasi. Hawa wafundishwe na wapate experience ya uongozi kwa nafasi ndogo ndogo kwanza. Twende ngazi kwa ngazi.
wewe kumbe ni upeipo mashine zinapelekwa mikoa midogo ili ipate maendeleo unataka apewe mikoa mikubwa ambayo tayari imeishpata maendeleo makubwa ya nini anatakiwa akaendeleze mkoa wa njombe kielimu na kimaendeleo ndio hoja iyo
Aende sasa huko mtaani akaongee anachoaminiAlly Happy ni mmoja kati wa vijana wachache wenye uthubutu wa kuzungumza kwa uwazi kile wanachokiamini bila woga.
Vijana wengi wa kitanzania ni goigoi na walamba viatu!
Usisahau ata Wahuni wakizeeka wanakuwa wazee!ll]1737768[/ATTACH]
Mishahara ya wafanyakazi inaendeleaje?[emoji38][emoji38][emoji38]
Ulimi huu...!Video inajielezaView attachment 1737768
Kiburi cha uzima kwa huyu mtoto, alipanda mpaka akawa RC yaani hii nchi Jiwe alitupitisha Kaanani.Ulimi huu...!
Yawezekana maana Gambo anaondolewa Arusha, Sabaya atapambana naLema, lakini Sabaya si alikutwa na jinai ya ujambazi na kuongoz magenge ya uhalifu?Anapumzika anarejea tu kwenye teuzi wote na sabaya
Kumbe moja wastaafu waliotakiwa kufinyiwa kwenye suruali nasikia ni mzazi wake, dogo hana akili kabisaVideo inajielezaView attachment 1737768
AtarudiYawezekana maana Gambo anaondolewa Arusha, Sabaya atapambana naLema, lakini Sabaya si alikutwa na jinai ya ujambazi na kuongoz magenge ya uhalifu?
sheria hairuhusu.