Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

Asali aliyolamba imemtosha.
 
Kajizi2
 
wewe kumbe ni upeipo mashine zinapelekwa mikoa midogo ili ipate maendeleo unataka apewe mikoa mikubwa ambayo tayari imeishpata maendeleo makubwa ya nini anatakiwa akaendeleze mkoa wa njombe kielimu na kimaendeleo ndio hoja iyo



Kwa hiyo unaona ni sawa Professor kwenda kufundisha Shule ya chekechea ? Badala ya kufundisha chuo kikuu ?

Ili kwenda kuwafanya kuwa na uelewa wa hali ya juu ?
 
Ally Happy ni mmoja kati wa vijana wachache wenye uthubutu wa kuzungumza kwa uwazi kile wanachokiamini bila woga.

Vijana wengi wa kitanzania ni goigoi na walamba viatu!
Aende sasa huko mtaani akaongee anachoamini
 
Ccm ni walewale wanapeana shibe, yupo nje kwa muda watamrejesha ale tena kama chalamila karudi yeye ni nani asirudi.
 
Hapi wamemtoa Ili kupooza attention ya kipigo cha maumivu ya nyongeza ya mshahara. Niliwaambia ccm watatuletea tukio Ili kutusahulisha wanatujua sue watz
 
Watz nishai sana kumbe wanaweka vitu vifuani halafu wanakuangalia tu .Bwana Ally anapigwa kwa maneno tu mbele na nyuma .Hawa madogo tukianza na Konda ,Hapi,Mnyeti,Gambo,Kitwala,Sabaya ,Kihongosi ni 'case study ' nzuri sana ya vijana kujifunzia uongozi.Msameheni anaweza kujinyonga huyu kwa maneno tu.
 
Anapumzika anarejea tu kwenye teuzi wote na sabaya
 
Si unaona hata yeye baada ya kuwa mstaafu katulia tuli kama hayupo vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…