Baado hamjasemaNafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa
Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.
Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Siyo mambo ya kitoto,mambo ya kikeWote na Priva wana mambo ya kitoto sana. Kama mapunguani
Muache aongee tu ....Nafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa
Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.
Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Wavikoba, wavikundi na sare za vitenge.Gusa achia twende mwakakundi