Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani marangapi timu zimekua zikijaza uwanja na zinafungwa ? Hivi uwa mna ongelea mpira wa miguu au vitu vingine.Uwanja haukujaa,badala ya kyhanasisha mashabiki wajaze uwanha anaongea ujinga ujinga tu
Ally Kamwe anaigharimu vipi timu?
Mtoa mada hajielewi...Kwa matokeo ya jana kosa la Ally Kamwe ni gani?
Mimi Ni Yanga lakini Lile Kofi alilopigwa uyo kijana wa Simba sikulipenda, linatufundisha kitu.Leo yeye na kundi lake la gongowazi wazi wenzake wamemshambulia na kumpiga mwanachama mashuhuri wa Simba Dr.Mohamed.Utani hawauwezi imebidi watupe ngumi.
Mimi naesema haya ni shabiki wa Yanga.Kama hawakuwa na timu ya ushindani hapo walifikaje ?? Mpira una matokeo 3 na kila mshiriki anastahili kushinda ikiwa itawezekana hivyo mimi sioni ajabu hapo
Yanga hatuna utamaduni wa kujaza uwanja so hakuna afisa habari ataweza hamasisha watu wakajae uwanjani yani siku ukiona uwanja umejazwa na Yanga lazima kuna tiketi zimegawiwa za bure Umechagua angle mbaya ya kubebesha lawama za timu kucheza vibaya.Kweli kabisa,ueye kashindwa kuhamasisha mashabiki kuujaza iwanja anaongelea mambo ya simba,uwanja mechi na Alger ulikuwa na gapes kibao
Kuanzia uongozi, wachezaji, wanachama na mashabiki kuna watu wawili ndio wenye akili tu.Buahahahahahahhah
Jamani tatizo ni wale mashabiki wa nyuma mwiko..wana lugha mbaya..wamejaa kibri..hawana elimu hawajui waongee nini basi tabu tupu..baadhi yao lakini ni wengi mnoo wakihojiwa mpk unashangaa..
Mara tuletewe malaika tucheze nao..
Mara sijui nini
Gusa achia mwiko tukanye
Sasa mtu yupo live kwenye TV anasema"kama huhusiki, usilete pua yako pale"maneno yakihuni kabisa! Eti huyo ndio msemaji wa time! Elimu ya kuunga unga, Hana CV iliyoshiba,huyu ni kaliba za kina baba levo,mwijaku! Watu wa kupiga makelele! Hwkustahili kuwa na cheo kama hicho! Tatizo hata waliompa ajira hawakuangalia meritocracy! Kapewa kwa kujuana tu!asi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa
Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.
Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Kama hiviNafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa
Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.
Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.
Yule jamaa kumbe ni mtoto wa mamaNafasi yake inahitaji mtu makini mtu serious,Haji Manara hafai ila Ally Kamwe ndio hafai kabisaa
Kuna vitu hatakiwi kuongea ila ndio anavishikia bango,anavyotakiwakuongea ndio haviongei.
Anatujaza upepo mashabiki wa Yanga tofautina uhalisia.