Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Aly ameomba radhi , amejua kama amekosea na atamuomba radhi kadri siku zinavyoenda mbele.
Lakini sasa ajenda itabadilika na kumshambulia Aly Kamwe .
Tunakula kakisea lakini kaomba asamehewe kuna binadamu ambaye hafanyi makosa?
Naomba Tu Kesho yanga tushinde kwa sababu tukifungwa watu wataanza kusema ni laana za Mgunda na Aly atakuwa kwenye kikaango kikubwa Sana.
Kila la kheri YANGA , Muungwana akivuliwa nguo huchutama Aly kachutama kesi iishe.
kama anaongea hivyo hasa hapo kwenye usimamizi wa faisal akimaanisha mgunda amehusika kwa namna moja ama nyingine kumrubuni aende simba, naweza kuchagua andazi kweli. hata hivyo, mgunda hatakiwi kumind vitu vidogo hivi vya kwenye mpira, ama la asijihusishe kabisa na mpira. utani kati ya simba na yanga ni kawaida. kama asingekuwepo kwenye simba/mpira hakika dogo njiti asingekuwa na uwezo hata wa kumtaja jina tu.BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU
🗣️"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.
🗣️Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally, kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.
🗣️Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri, mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
🗣️Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .
🗣️Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.
Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".
Sasa mimi kama mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi".
Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.
Haya sasa kakujibu kiutu uzima kama baba. Kazi kwako.
Wacha kuweka tafsiri yako ya KIPUMBAVU. Mgunda ni Coach wa Simba na Simba ni club ya mpira moja kati timu kubwa Afrika. Angesema Chagua kati ya andazi na Simba tusingekasirikaSema hujamwelewa Ally Kamwe ndio maana Mimi ni shabiki wa Yanga Ila pia ni Shabiki wa Ally Kamwe jamaa hakumaanisha mlivyochukulia nyinyi vichwa vidogo yeye kawaambia Mgunda akimaanisha Simba Ila kafunga semi kwani mgunda anafundisha team gani na hio team imeambulia Nini msimu huu ukipewa andazi na ukipewa Simba unachagua nini ? ANDAZI
Waliohudhuria hili tamasha njooni mtujuze lilifanyikia wapi maana nilisubiri mtandaoni sikuona kituAlly Kamwe anafanya kazi nzuri sana lazima tumpe pongezi yake katika hilo
Ni tofauti na watangulizi wake, na hii nalizungumzia katika nyanja ya habari hakuna progress kubwa iliyowahi kufanywa na Afisa Habari yeyote kwa kuifikisha Yanga hapa ilipo kumzidi Ally Kamwe
Ila kuna vitu vingi naona kama vya kitoto anakuwa anavifanya tena kuviweka rasmi kama ni agizo la Club.
Mfano hilo la kuicheka Simba sio tu kama halikupokelewa vizuri na Simba bali hata mashabiki wenyewe wa Yanga (watu wazima) walio wengi waliliona ni jambo la kitoto.
Na sikuwahi kufatilia kama hilo tamasha lilifanyika kweli au ilikuwa ni kauli tu, au pengine Club iliingilia kati kuweka pingamizi.
Lile tukio la kula ugali na sukari nalo halikuwa na picha nzuri kwa hadhi ya cheo chake.
Kesho sio mbali.Kesho tunashinda 3-0!
Amejibu majibu ya kishirikina!BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU
🗣️"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.
🗣️Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally, kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.
🗣️Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri, mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
🗣️Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .
🗣️Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.
Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".
Sasa mimi kama mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi".
Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.
Haya sasa kakujibu kiutu uzima kama baba. Kazi kwako.
Ila hiyo waweza kuwa uchungu kupoteza kotekote,makombe 0.kwa timu.Wanao Mponda makombe kama yote🤸🤸🤸🤸BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU
🗣️"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.
🗣️Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally, kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.
🗣️Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri, mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
🗣️Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .
🗣️Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.
Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".
Sasa mimi kama mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi".
Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.
Haya sasa kakujibu kiutu uzima kama baba. Kazi kwako.
Hilo ni wazi lako ila sis wat wazima huo ni otovu wa nidhamu. Vipi baba yako angelinganishwa na andazi ungejiskiajIla hiyo waweza kuwa uchungu kupoteza kotekote,makombe 0.kwa timu.Wanao Mponda makombe kama yote🤸🤸🤸🤸
Inaonyesha dhahiri wazazi wako hawakuwajibika ipasavyo wakati wa makuzi yako. Jitahidi wanao wasio kama weweMkuu ww ni show Gah na unatafunwa nyuma...... HAHAHAHAA USIHOFU MKUU SISI NI WATANI WA JADI
Itakuwa Manara kafurahi sana dogo kuharibuDogo ahesabu siku.
Tanzania ndio sehemu pekee watu husema ukahisi wamesahau.
Anguko lake litakuwa kubwa sana akiendelea na tabia hizo
Kocha wa Simba kwa Simba na Mgunda si wapo club moja unamtenganisha vipi Mgunda na Simba ? Ally Kamwe amefanya utani wa jadi sio kashfa sio tusi hio Kanuni namba 46 ya TFF haina mashiko mpira utani uto makolo madunduka fc mihogo fc ni utani haya maandazi vipi hayashibishi ukipewa andazi unachukua huchukui ?Wacha kuweka tafsiri yako ya KIPUMBAVU. Mgunda ni Coach wa Simba na Simba ni club ya mpira moja kati timu kubwa Afrika. Angesema Chagua kati ya andazi na Simba tusingekasirika
Kawaida tu walisema wakasema watasema kesho Yanga inashinda kwa kishindo Mgunda atulie kwanza tushinde tuchukue ubingwa ndio aanze kuongea, huu ni utani tu eeh kutaniana ni jadi yetu hata tukiwa nyumba moja tunashabikia timu tofauti tunataniana kawaida tu sio suala baya Ila watu wanakuza Mambo kijingaNamuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri, mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
Hi kauli ni kubwa sana ukikaa ukiitafakari kwa makini