Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Dogo ahesabu siku.
Tanzania ndio sehemu pekee watu husema ukahisi wamesahau.

Anguko lake litakuwa kubwa sana akiendelea na tabia hizo
 
Ally komweeee amekosea ila hili jambo linakuzwa sana...au na mimi sina adabu? Nb.mimi Simba damuu.
 
huo ndio utani wa jadi wenyewe, haina tofauti na aliyebeba jeneza kuingiza uwanjani.
Hapa kuna utani kwa mtu na group. unachosema kuhusu jeneza ulikuwa utani kwa group ingawa naye aliomba msamaha. Lakini hili la Ally Kamwe ni kuhusu mtu tena wa rika sawa na baba yako. Vipi km baba yako ndiyo angelinganishwa na andazi ungejiskiaj
 
Hapa kuna utani kwa mtu na group. unachosema kuhusu jeneza ulikuwa utani kwa group ingawa naye aliomba msamaha. Lakini hili la Ally Kamwe ni kuhusu mtu tena wa rika sawa na baba yako. Vipi km baba yako ndiyo angelinganishwa na andazi ungejiskiaj
Kwahiyo unataka nikupe reference ya dhihaka ya utani wa jadi kwa mtu mmoja mmoja?
 
Wajinga mko wengi kwahiyo hili Jambo nalo limekuwa na laana?, Ujuha mwingine bana. Kwahiyo wewe hujawahi ambiwa bora Ng'ombe kuliko wewe?.
Wajinga ni baba na mama yako
Ng'ombe ni mama aliyekuzaa ukiwa ng'ombe
Juha ni mama yako mzaa juha
 
Ni dhambi kusema na kuzusha kitu ambacho huna uhakika nacho, embu fikiria wewe au mtoto wako afanyiwe uzushi kama huu hali ya kuwa si kweli, tumuogope mungu jamani ,hii mitandao isitutoe utu wetu
Mkuu kumbe na wewe umesikia kuwa wanaliwa na GSM? Hata mimi nimeambiwa mishahara yao Ali Kamwe na mwenzie wanalipwa siyo kwa use maji wa Yanga bali kwa kuliwa makalio nantajiri
 
Ni dhambi kusema na kuzusha kitu ambacho huna uhakika nacho, embu fikiria wewe au mtoto wako afanyiwe uzushi kama huu hali ya kuwa si kweli, tumuogope mungu jamani ,hii mitandao isitutoe utu wetu
Nawe fikiria familia ya Mgunda na wana Somba kusikia kuwa andazi ni bora kuliko Mgunda!! Ni machungu kiasi gani wanapata?

Hivi kijana angekuwa rijali haswa angeweza kutamka maneno kama hayo?
 
Nawe fikiria familia ya Mgunda na wana Somba kusikia kuwa andazi ni bora kuliko Mgunda!! Ni machungu kiasi gani wanapata?

Hivi kijana angekuwa rijali haswa angeweza kutamka maneno kama hayo?
Ameshaomba radhi na nadhani wanesameheana au wewe ndio hukosei
 
Ni dhambi kusema na kuzusha kitu ambacho huna uhakika nacho, embu fikiria wewe au mtoto wako afanyiwe uzushi kama huu hali ya kuwa si kweli, tumuogope mungu jamani ,hii mitandao isitutoe utu wetu
Kwanini unadhania ni uzushi?
 
Ni kweli, kamwe, priva, takadini wote wanaliwaa na maboss zao.

Priva analiwa na mdogo, kamwe na boss, sope kwa prezooooo. Wala sio siri
Taratibu huku ni jamii sports maana hpo nikisema nihoji tu hao kina takadiri, sopu na prezoo ni kinanani hao! uzi utanuka nya huu na ninvyokujua ww kw mambo hzi ni mchmbuzi mzuri
 
Back
Top Bottom