Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Tatizo la Yanga na Simba ndio hilo.....ujinga ni mwingi sana Kwenye hizi Timu hao maafisa habari hupoteza Busara linapofikia swala la kuzisemea hizi Timu,nashangaa sana unakuta tukio la Yanga ataongelewa Simba au tukio la Simba lazima Yanga iongelewe na kutupiwa vijembe na maneno ya Shombo kama hili la kumtukana Kocha mstaarabu Juma Mgunda bila kosa lolote,Simba na Yanga badilikeni muache uswahili na uzamani utani wenu usifikie kuvunjiana heshma ni aibu kwa Taifa linalotaka kujitangaza Kisoka afrika na Duniani.

Ally Kamwe ni moja ya wachambuzi vijana niliyokuwa nawakubali sana hasa kwenye yale mambo yake 10 ya soka...ola kwa sasa kishajipotezea heshma aliyokuwa nayo kwa mambo ya hovyo kama haya anayoyafanya.
 
Kocha wa Simba kwa Simba na Mgunda si wapo club moja unamtenganisha vipi Mgunda na Simba ? Ally Kamwe amefanya utani wa jadi sio kashfa sio tusi hio Kanuni namba 46 ya TFF haina mashiko mpira utani uto makolo madunduka fc mihogo fc ni utani haya maandazi vipi hayashibishi ukipewa andazi unachukua huchukui ?
Ndiyo maana tunasema kijana hajawiva kuwa msemaji. Ni akili ya kichoko tu
 
BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU

[emoji2788]"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.

[emoji2788]Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally, kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.

[emoji2788]Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri, mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.

[emoji2788]Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .

[emoji2788]Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.

Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".

Sasa mimi kama mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi".

Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.

Haya sasa kakujibu kiutu uzima kama baba. Kazi kwako.
Kukomesha huu ushenzi kanuni ziangaliwe na hatua zichukuliwe.

Haitoshi mpumbavu mmoja kukuchafua halafu anajitokeza na kuomba msamaha.
Alichokipandikiza kwa wapumbavu wwenzake lazima watakiendeleza mitandaoni.

Anastahili kufungiwa kama alivyofungiwa manara
 
Hili tatizo la uropokaji, waanzilishi wake ni Haji Manara na Jerry Muro. Na hawa vijana wawili (Ali Kamwe wa Yanga na Ahmed Ali wa simba) nao wanataka kufuata nyendo zao.

Hivyo ni vizuri wakajirekebisha mapema ili kuulinda mpira wetu wa miguu, usionekane ni kituko.
Acha kubalance mambo,sijawahi kumsikia Ahmed Ally akimtaja kiongozi yeyote wa yanga kwa tusi.
 
Pole kwa Mgunda na sisi Wana Timu ya Wananchi tunazidi kumuombea radhi Ally Kamwe.

Japo kwa hatua aliyokuwa amefikia alikuwa amejisahau yeye ni nani ndani ya Timu ya Wananchi na ndio hata kuna wakati alikuwa akiongea na waandishi ye anajibu tu kama mtu wa kijiweni na kuisahau nafasi yake.

Kwa alichokifanya jana ni dhahiri amepata cha kujifunza na siku nyingine hatofanya vitu kwa mihemko.
Ni kweli mmeajiri mashoga wawili?
 
Kakosea
Ameomba radhi
Yameisha
Ni utani wa jadi tu mtu hachaguliwi Cha kutaniwa Wala sio tusi
Yanga na Simba Ni watani wa jadi
Utani hauchagui mtu, jinsia, Wala Rika
Au nyie Makolo mseme hadharani Kama hamtaki utani
Young Africans
Bingwa cafcc
Upumbavu huu.Yeye ni kiongozi hapaswi kuleta matusi kwa watu alete utani kwa timu.
Angesema kolo na andazi hakuna mtu angemlaumu.
 
Ni dhambi kusema na kuzusha kitu ambacho huna uhakika nacho, embu fikiria wewe au mtoto wako afanyiwe uzushi kama huu hali ya kuwa si kweli, tumuogope mungu jamani ,hii mitandao isitutoe utu wetu
Si mmesema ni utani wa jadi?
Mbona kama huu utani unauma?
 
Vitu vingine ni vya kawaida na watu kutaka kukuza Jambo tu....!, Kipindi manara yupo Simba alivyosema yanga wenye akili ni 2 Kuna aliyemwona kakosea?.
Ahmad Ally majuzi Kati alitamka watu wa Yanga ni sawa na MAITI Kuna aliyemnyooshea kidole?, Utamaduni huu wa kipuuzi umeasisiwa na watu wa Simba. BTW kwani mbona aliyesema Andazi ni bora kuliko CCM hajaonekana kuwa na dharau kwa CCM na Rais wa Nchi?.
Kaa chini


Hujui kitu
 
Ni dhambi kusema na kuzusha kitu ambacho huna uhakika nacho, embu fikiria wewe au mtoto wako afanyiwe uzushi kama huu hali ya kuwa si kweli, tumuogope mungu jamani ,hii mitandao isitutoe utu wetu
na kama hujui 93% ya utopolo wana vinasaba vya kuchakatuliwa


Ni utani tu huo usiumie
 
Mkuu kumbe na wewe umesikia kuwa wanaliwa na GSM? Hata mimi nimeambiwa mishahara yao Ali Kamwe na mwenzie wanalipwa siyo kwa use maji wa Yanga bali kwa kuliwa makalio nantajiri
Una ujinga mwingi nenda kaliwe na wewe sasa
 
Upumbavu huu.Yeye ni kiongozi hapaswi kuleta matusi kwa watu alete utani kwa timu.
Angesema kolo na andazi hakuna mtu angemlaumu.
We una muwekea mipaka mtani
Utani hauna mipaka
Watu wanakutania Hadi msibani
Umefiwa na mzazi au mke mtu anakuletea utani na unatulia
Ni utani tu Mgunda sio andazi Ni Mambo ya utani
Utani wa jadi
 
Kocha wa Simba kwa Simba na Mgunda si wapo club moja unamtenganisha vipi Mgunda na Simba ? Ally Kamwe amefanya utani wa jadi sio kashfa sio tusi hio Kanuni namba 46 ya TFF haina mashiko mpira utani uto makolo madunduka fc mihogo fc ni utani haya maandazi vipi hayashibishi ukipewa andazi unachukua huchukui ?

Mkuu 0-10, Amekosea Ally kamwe. usitete tabia isiokuwa ya kiungwana Ukielekeza utani Simba sc ni tofauti kabisa na na kutaja jina la Mtu moja kwa moja.
Mfano. ule wimbo wa CCM na andazi, badala ya andazi angeweka jina la
kiranja Mkuu. ingetokea nini Mkuu 0-10,
 
Wazee wetu waliposema tusiwape vyeo vikubwa watoto wadogo hawakukosea hata kidogo

Vetting ya yanga kuhusu wasemaji wao iongeze umakini

Kijana Hana break Wala adabu hata kidogo kamdhalilisha mzee mgunda ambaye kiumri n sawa na baba yake

Baba yake angetukanwa hvyo yeye angefurahi?

Na sijui kwanini huu upuuz wa kuwasema watu katika mpira umeanza lini?

ALLY KAMWE NI SIKIO LA KUFA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom