Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Return of chura 🐸🐸🐸
Screenshot_20240728-222638 (2).png
 
Hii Taarifa ina ukweli gani?


Hiyo hata ningekuwa mimi, Mtu kaita Waganga wote kutoka Rufiji waje wamzindike halafu uendelee kushangaa, labda kama hujitaki

===

Ally Shaban Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC ,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 , leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa

Shaffi Dauda

=====

Ally Kamwe amepost haya kwenye ukurasa wake wa Insta akiwaaga mashabiki wa Yanga;

A Good dancer must know when to Leave a Stage.

π‘€π‘‘π‘’π‘šπ‘π‘’π‘–π‘§π‘Žπ‘—π‘– π‘šπ‘§π‘’π‘Ÿπ‘– π‘Žπ‘›π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘˜π‘–π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘—π‘’π‘Ž 𝑛𝑖 π‘€π‘Žπ‘˜π‘Žπ‘‘π‘– π‘”π‘Žπ‘›π‘– π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘œπ‘›π‘‘π‘œπ‘˜a π½π‘’π‘˜π‘€π‘Žπ‘Žπ‘›π‘–..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji

Ally Kamwe.
Young kunashida sana,,inakuwaje
 
Hii Taarifa ina ukweli gani?


Hiyo hata ningekuwa mimi, Mtu kaita Waganga wote kutoka Rufiji waje wamzindike halafu uendelee kushangaa, labda kama hujitaki

===

Ally Shaban Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC ,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 , leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa

Shaffi Dauda

=====

Ally Kamwe amepost haya kwenye ukurasa wake wa Insta akiwaaga mashabiki wa Yanga;

A Good dancer must know when to Leave a Stage.

π‘€π‘‘π‘’π‘šπ‘π‘’π‘–π‘§π‘Žπ‘—π‘– π‘šπ‘§π‘’π‘Ÿπ‘– π‘Žπ‘›π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘˜π‘–π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘—π‘’π‘Ž 𝑛𝑖 π‘€π‘Žπ‘˜π‘Žπ‘‘π‘– π‘”π‘Žπ‘›π‘– π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘œπ‘›π‘‘π‘œπ‘˜a π½π‘’π‘˜π‘€π‘Žπ‘Žπ‘›π‘–..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji

Ally Kamwe.
Young kunashida sana,,inakuwaje musemaji anapewa mkataba na GSm kutumikia young badala ya CEO kumpa mkataba husika
 
Nenda salama mkuu tutakukumbuka sana sisi mashabiki wa timu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara nenda mwana Yanga nenda Ali kamwe nafasi yako ilikuwa muhimu sana yaani sana πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’š bela ciao
 
Back
Top Bottom