Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Lakini usisahau kuwa Ally Kamwe alipewa kazi hiyo baada ya mwenye nayo (Manara) kufungiwa kujihusisha na mambo ya mpira .
Simba mnamuogopa Sana Manara Kwa sababu mnaujua mziki wake .

Bugatti the One himself is back . Unyonge Sasa basi 🤣🤣🤣🤣
Manara hana anachoweza kuisaidia yanga kama sio kuendekeza ushirikina tu afu why asipumzike ashazeeka.
 
Mungu nisamehe, huyu mtu simjui wala hanijui ila simpendi tu bila sababu ya maana. Sijui nani kamdanganya bila yeye hizi team haziendi na mbaya anadhani bila yeye ubingwa Yanga wasingepata na baya zaidi anaamini ni yeye sababu ya Simba kufanya vibaya baada ya kuondoka. Shida sana na anahonga mpaka wazee njaa wa Yanga eti du'a ya kumuombea.......pumbavuuuu
Manara shikilia Bomba hapohapo makolo yanapiga yowe huku.

Haiwezekani timu inafanya vizuri uwanjani harafu inashindwa kujaza mashabiki kwenye tamasha la Wananchi na inazidiwa Hadi na timu ya hovyo kama Simba .
Rudi Bugatti 🤣🤣🤣
 
Mitandaoni kote leo watu wameumizwa na hii habari na hawamtaki Manara. Haji Hebu pumzika bhana, tunajua unatafuta kutrend kupitia timu yetu.. Tunapoteza watu makini Kama Ali Kamwe kwa ajili ya Haji ambaye umri umemtupa mkono. Tunahitaji kijana wa kuendana na mabadiliko.
Manara anaitumia Yanga kuijenga zaidi profile yake wala sio Yanga. Manara anahitaji sana Yanga kuliko Yanga kumtaka yeye ila anataka kuwaambia watu Yanga wanamtaka sana wame mmiss ndivyo anavyojitapa.
 
Manara shikilia Bomba hapohapo makolo yanapiga yowe huku.

Haiwezekani timu inafanya vizuri uwanjani harafu inashindwa kujaza mashabiki kwenye tamasha la Wananchi na inazidiwa Hadi na timu ya hovyo kama Simba .
Rudi Bugatti 🤣🤣🤣
Hivi kipimo ni kujaza siku ya wananchi? ndio kigezo, sikujua hilo. Kweli wewe kama mshabiki wa Yanga mpaka Manara akwambie ndio uende uwanjani? basi hakuna washabiki.
 
Hivi kipimo ni kujaza siku ya wananchi? ndio kigezo, sikujua hilo. Kweli wewe kama mshabiki wa Yanga mpaka Manara akwambie ndio uende uwanjani? basi hakuna washabiki.
Kushawishi mashabiki na kuwavutia kuja uwanjani ni Moja ya jukumu la Idara ya habari ya club. Haiwezekani Simba mbovu hii eti inaongoza Kwa kuwavutia mashabiki kwenda uwanjani kuliko Yanga wenye timu nzuri ila haipati mashabiki uwanjani .

Ahmed Ally alifanikiwa Sana katika hili hii inatokana na ubunifu wake .
Idara ya habari ya Yanga hata mitandaoni tu humu imezidiwa mbali na Simba Hadi unabaki kushangaa 🤣🤣.
Manara Rudi kazini kwako kulipwaya Sana .
 
Ukiangalia ile press conference unaona kabisa huyo Tupinkele Manars ni tatizo. Mbaya zaidi hana hekima.
Uongozi wa Yanga unapaswa kuhakikisha haumruhusu huyo mtu kuwa sehemu ya wafanyakazi wa Yanga.
Manara anaji position kama the most important and strong person kwenye club kuliko yeyote, anajiona yeye kama kuna mtu wa kumwambia chochote pale Yanga basi GSM pekee.
Huyo Kirusi aondoke, hatuwezi tukaongelea transformation ya Club huku ukikumbatia watu aina ya Manara
Hizo ni fitna zako wewe kolo.
Hebu niambie Toka Manara akiwa kwenu na tangu aondoke ni Mafanikio Gani kawaachia .?.
Mtu ambaye alipokuwa kwenu mlichukuwa ubingwa mfululizo na Toka ameondoka mnatapatapa Hadi Leo unasemaje ni mfitinishaji ?🤣🤣🤣
 
Kushawishi mashabiki na kuwavutia kuja uwanjani ni Moja ya jukumu la Idara ya habari ya club. Haiwezekani Simba mbovu hii eti inaongoza Kwa kuwavutia mashabiki kwenda uwanjani kuliko Yanga wenye timu nzuri ila haipati mashabiki uwanjani .

Ahmed Ally alifanikiwa Sana katika hili hii inatokana na ubunifu wake .
Idara ya habari ya Yanga hata mitandaoni tu humu imezidiwa mbali na Simba Hadi unabaki kushangaa 🤣🤣.
Manara Rudi kazini kwako kulipwaya Sana .
Tuweke pembeni hili la Manara na Ali. kwa maneno yako ina maana wewe mshabiki mpaka utongozwe ndio uende uwanjani? idara ya habari kazi yao ni kutoa taarifa sahihi na ku promote kupata wadhamini pesa ipatikane lakini wewe kama mshabiki jukumu lako ku support team. Ok Simba walijaza uwanja lakini iliwasaidia nini kwenye msimu?
 
Hizo ni fitna zako wewe kolo.
Hebu niambie Toka Manara akiwa kwenu na tangu aondoke ni Mafanikio Gani kawaachia .?.
Mtu ambaye alipokuwa kwenu mlichukuwa ubingwa mfululizo na Toka ameondoka mnatapatapa Hadi Leo unasemaje ni mfitinishaji ?🤣🤣🤣
Kwani manara kaondoka pekeyake pale simba? Babra bado yupo simba?
 
Hii Taarifa ina ukweli gani?


Hiyo hata ningekuwa mimi, Mtu kaita Waganga wote kutoka Rufiji waje wamzindike halafu uendelee kushangaa, labda kama hujitaki

===

Ally Shaban Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC ,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 , leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa

Shaffi Dauda

=====

Ally Kamwe amepost haya kwenye ukurasa wake wa Insta akiwaaga mashabiki wa Yanga;

A Good dancer must know when to Leave a Stage.

𝑀𝑡𝑢𝑚𝑏𝑢𝑖𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑚𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑗𝑢𝑎 𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑔𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑑𝑜𝑘a 𝐽𝑢𝑘𝑤𝑎𝑎𝑛𝑖..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji

Ally Kamwe.
Publicity hii, hamna kitu hapo..
 
Haiwezekani muhuni mmoja katoka kuitumikia adhabu Kisha kabla ya uongozi wa club yake haijatoa tamko lolote yeye anaita waandishi wa habari na kusema kwamba analudi kwenye nafasi yake Ikiwa nafasi yenyewe Iko chini ya ofisi ya habari ya club ambapo hiyo ofisi ndo ilitakiwa kutoa hiyo taarifa.
Yanga Inaendeshwa kihuni Sana.
Hata ningekuwa mimi ni Ally Simba ningejiuzulu mamake.
 
Lakini usisahau kuwa Ally Kamwe alipewa kazi hiyo baada ya mwenye nayo (Manara) kufungiwa kujihusisha na mambo ya mpira .
Simba mnamuogopa Sana Manara Kwa sababu mnaujua mziki wake .

Bugatti the One himself is back . Unyonge Sasa basi 🤣🤣🤣🤣
Mie nashauri hiyo nafasi wapewe wote wawili. Simba ingekuwa inamuogopa Manara ingefuata matakwa yake ili asiondoke. Tabia ya Manara iko siku itawakera hata Yanga. Muda ni Mwalimu mzuri.
 
Wana yanga tuanzishe kampeni, Hatumtaki Manara huyu mlevi anaisaidia nini yanga kama sio kujinufaisha na kuoa kila siku, Manara ni muhuni mtu mzima anayeforce mafanikio hata mimi ningekuwa ali kamwe ningejiuzuru kuliko kulogwa na mtu kama manara mpenda ushirikina.
 
Haya ni mambo ya kipunbav sana
Hili jambo halivumiliki kabisa kama Ali kamwe hatarudi tunaanzisha kampeni ya kumuondoa huyo mshirikina Manara yanga huu ni upuuzi na hauvumiliki vijana wadogo wanajitoa kufanya kazi afu unawachanganya na mchawi mmoja.
 
Back
Top Bottom