Ally Kessy apinge Mahakamani matokeo ya Uchaguzi yaliyomnyima ushindi

Ally Kessy apinge Mahakamani matokeo ya Uchaguzi yaliyomnyima ushindi

wamepoteza conection watu wa nkasi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanacheza na conection wataona hakuna maji,barabara,umeme πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Inauma sana. Imagine nchi nzima majimbo yote yana connection isipokuwa Nkasi
 
Kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu 2020 jimbo la Nkasi yaliyomnyima ubunge Bw. Ally Keissy, namshauri aende mahakamani kupinga matokeo.

Kwa kuwa nia ya Mh. Rais ni kuona CCM inashinda majimbo yote ili aweze kupeleka maendeleo kwa usawa kwa nchi nzima, ni wakati muafaka kwenda mahakamani ili kurudisha jimbo la Nkasi mikononi mwa CCM. Mwenye nafasi ya kuwasaidia ni Mh. Kessy.

Akae na wanasheria nguli wa Chama kama Bw. Alberto Msando watengeneze ground za kisheria ili jimbo lirudi CCM. Vinginevyo huyo mbunge wa CHADEMA afanye kile kinachoitwa kuunga mkono juhudi ili uchaguzi ufanyike ili awe mbunge wa CCM.

Tofauti na hapo watu wa Nkasi watapata matatizo wasiyostahili.

Note: Maendeleo hayana chama na chama hakina maendeleo.
Hatma ya huyu jamaa aliyekuwa anaropoka bila kutumia akili haijulikani,lakini Jana baada ya matokeo inasemekana alimrukia chakubanga ili ampigie debe japo apate hata u-DC maana yule mama wa kule kwa kina konde boy wamempooza machungu kwa kumuahidi u-RC,,Sijui Kama kweli itatokea maana hii ni story nilikuwa napiga na chakubanga pale lumumba.,tulipokuwa tunazungumzia swala la kumpa unaibu waziri yule kijana wa Kule mpakani mwa Tanzania na Zambia baada ya kuunga mkono juhudi.
 
Tofauti na hapo watu wa Nkasi watapata matatizo wasiyostahili.
Lkn kumbuka mbunge wa Chadema ni mweupe (amabo ndiyo ugonjwa wa jiwe). Akiwaona wanawake weupe anawapa kipaumbele kuwasikiliza.
 
Alikuwa mpiganaji mzuri wa maslahi ya wananchi wa jimbo lake. I don't know what went wrong!!! Nothing stay the same, it was about time.
 
Ni matokeo ya urais tu ndio hayawezi kupingwa mahakamani?
 
Back
Top Bottom