KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Eeenh.Angalia usije kuwa unapigana vita ambayo haipo, kwasasa vaa barakoa, wavalishe na watoto, na mama yao.
Hawa akina Babu Tale ndiyo CCM inawapenda Bungeni. Siku hizi wabunge huenda wapangiwa cha kuzungumza.Wewe unaamini Injinia wa Finance and Building Babu Tale atabadili katiba?
Huyu ASKOFU NI WA KIPEKEE SANA amejivisha mabomu kwa ajili ya jamii ya WATZ walioshindwa kusema."ATAKE ASITAKE"
Bunge linapotumia msemo wa Rais "ATAKE ASITAKE" linaweza kumaanisha moja au yote Kati ya haya:
1. Kumlazimisha Rais kufanya jambo asilopenda kufanya.
2. Kumlazimisha Rais asifanye analopenda kufanya.
3. Kumlazimisha Rais kuacha kuwa Rais kinyume na katiba, au kumlazimisha kuwa Rais kinyume na katiba.
Yote matatu hapo juu yakifanywa na chombo kingine utatumika msamiati mwingine.
Bunge kujiruhusu kuingiza msamiati wa ATAKE ASITAKE kwenye hansard ni kuanzisha utamaduni mpya wa:
1. Mhimili mmoja kuushambulia mhimili mwingine
2. Kumtisha Rais kuwa anaweza kulazimishwa kufanya au kutofanya kazi yake
3. Kuvichokoza vyombo vyenye wajibu wa kumlinda Rais wakiwamo wananchi ili vijiandae kumlinda Rais dhidi ya njama za kumlazimisha kufanya au kutofanya kazi yake.
4. Kuwalazimisha wananchi waharakishe jitihada za kuilinda katiba ili isitumiwe na watu kumlazimisha Rais "kutaka au kutotaka".
Mheshimiwa Rais bila kuingilia shughuli za bunge, asikalie kimya kauli hii.
Baba Askofu Bagonza
kwa sasa hana HELAAongeze misharaha kwa kishindo uone atakavyoungwa mkono na makundi yote
ndugu yako ni bingwa wa maigizo FO FO TWO ya kuongezewa muda wa utawala ameipanga yeye mwenyeweMwelekeo ni uleule. Ulianzia uchafuzi wa serikali za mitaa. Ukafuatiwa na uchafuzi mkuu. Na unahitimishwa na kubadili katiba kuhusu ukomo wa rais. Atake asitake, ila mhusika anataka sana. Penye nia kuna njia.
Kuvaa barakoa kama urembo au!!!
Cheameni wako amesema hakuna Covid 19 bali ni Covid 21,na haijali barakoa wala nini,wewe ni nani wa kumtaka moja ya watumishi wa MUNGU wachache waliopo Tanzania kuhimiza uvaaji barakoa huku ukijua dhahiri kuwa yeye ni championi wa kampeni za kujilinda dhidi ya Covid!!?!!
Watanzania sio wajinga - JPMAtake asitake
Unacheka nini mkuu?😂😂😂😂😂
Naunga mkono hoja. Na aongezewe, atake asitake...Milele tena jehanamu
Mbona unacheka mkuu??.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]