Sasa ndiyo abong'oe hivyo kweli?
Alafu mbunge mwenzake ndo kamfotoaSasa ndiyo abong'oe hivyo kweli?
Atake asitakeAfufuliwe....alazimishwe[emoji125][emoji125][emoji125]
Kuna ile moja anasema "tulia nikupashe weweee"Mzee kessy mzinguaji sana
Kabisa...Atake asitake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
DaaahHata Nkurunziza aliongezwa muda
Tangu wajumbe wafanye yake akawa kimyaAlly Kessy, tengua Katiba ...haya muongezee muda uliotaka kumpa !!