Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Mtu anamsema Magufuli sadist, kwa kumtukana kwa kutumia sadism.

Huyo kamrithi mikoba Magufuli bila kujijua.

We must be careful to not become what we despise.
 
So many words without any substantial argument. Just bluffing
 
Ukisema Magufuli was a walking carcass umemdiscuss Magufuli in connection with idea gani sasa hapo?

Vitriolic hate?
Sawa na kusema Archmedes was a Scientist. Neno moja fupi lenye kutambulisha sifa yake na kuvuta hisia za kujifunza. Nikisema wewe ni carcass natumia lugha ya picha kwa neno moja tu kukutambulisha sifa chafu mithili ya mzoga, haukufaa. Inavuta hisia za kuwajenga wengine wasioze kama wewe na kuwa harufu chafu na haribifu kwa jamii isiyo na ustawi wowote. Simply living with carcass characteristics
 
Piganeni na maiti hivihivi.

2025 mnapigwa bao tena.
 
Yes, reciprocally......

Kama kuna wanaopigana na maiti, kuna wanao benefit wakilindana na maiti.

Huyu anampiga, wewe unalinda, nyote mko kwa maiti yuleyule
So, what is the difference?? [emoji848]
Mimi silindi maiti.

Nakwambia wewe unayetaka mabadiliko acha kupigana na maiti.

Ukipigana na maiti unawaacha watu walio hai wakupige bao. Tena la mkono kama la Nape.

Mpaka sasa mikutano ya hadhara mmekataliwa.

Katiba mpya mmekataliwa.

Tume huru ya uchaguzi mmekataliwa.

Watu bado wanatekwa.

Tozo ndiyo kama oxygen yenu.

Salma.Kikwete naye anataka mafao zaidi.

Chini ya urais wa Samia, si Magufuli.

Nyie mmezubaa kupigana na maiti.

Lazima mchezewe siku zote kwa mtaji huu.

Mnampigia kampeni Samia bila kujijua.
 
Sasa unalialia nini? Anayeandikwa ni DIKTETA aliyetutesa. Mbona wanaomsifia hamuwaambii mwacheni apumzike msifie?

Tuko hapa 24/7 titaandika kuhusu huyu shetani wa Chato mpaka mtakapokufa na kuzikwa naye Chato
 
Sasa unalialia nini? Anayeandikwa ni DIKTETA aliyetutesa. Mbona wanaomsifia hamuwaambii mwacheni apumzike msifie?

Tuko hapa 24/7 titaandika kuhusu huyu shetani wa Chato mpaka mtakapokufa na kuzikwa naye Chato
Kati yenu mnayemlalamikia mfu na mimi ninayewaambia mambo ya kubadili taasisi nani analialia?

Endeleeni hivi hivi, CCM watawatawala mpaka mfe na watoto zenu nao wakiendelea hivi watatawaliwa hivyo hivyo.

Mark my words.
 
Amini hii mission ilikua real! Wala haikua maigizo, tushukuru MUNGU kwa kila jambo 🙏
Asante Pac the Don kwa hii clip ya Ally Kessy. Mimi nawashangaa Watu wasiojua nguvu ya Mungu wetu. Angalia Kesy aliyetoa hoja siyo mbunge tena, aliyepigiwa debe kuongezewa muda alirudisha namba tarehe 17/ 03/ 21na aliyepokea hoja siyo Spika wa Bunge tena.

Kama Kiranga huelewi matendo ya Mungu wetu endelea kumuabudu Magufuli huko aliko
 
Hii ni project maalumu bwashee!

Wiki ijayo mafuta yanapanda tena bei hivyo Zitto anaanzisha mijadala ya " danganya toto"
Yapande mara ngapi? Mimi nadhani issue yaweza kuwa ziara ya kifalme inayotiliwa shaka na baadhi ya watu na outputs zake!!
 
You are exactly what I described in my post number 8 above.

No nuance, no sophistication, apish emotional instinctive vitriol.
A boombclat is proud of writing nonsense
 
Wapi amesema alikuwa sawa kufanya hayo???

Hivi nyie..kutokuwa sawa kwa magufuli ndiko kunakofanya watu waendelee kuwa wajinga kiasi hiki cha kuendelea kutukana marehemu??
Haya matusi yanasaidia nini sasa??
Mtu alishakufa!
Tunataka afe tena mara ya pili huko huko kaburini. Hatumpumzishi DIKTETA ili iwe fundisho kwa kiongozi mwingine asije akafanya UHAYAWANI kama alioufanya huyu MRUNDI
 
Ukisema Magufuli was a walking carcass umemdiscuss Magufuli in connection with idea gani sasa hapo?

Vitriolic hate?
Magufuli was a walking cadaver basi kama carcass inakukera
 

Mengi yameandikwa kuhusu hii picha na kila mtu ametoa maoni yake. Mimi nina interpretation yangu tofauti na wengi waliochangia. Kwanza namshukuru mleta huu uzi kwasababu ameonesha mapungufu katika mfumo wetu wa uchaguzi ambao ni lazima urekekebishwe .
Picha zilizowekwa zinamuonesha mgombea wa URAIS kwa ticket ya ccm akiwa katika pilika pilika za kuomba kura kwa wananchi lakini muonekano wake unaonesha kuwa afya yake haikuwa nzuri na ndio maana iliwalazimu kumuwekea AIR CONDITIONERS kwenye jukwaa ambapo angehutubia!!
Hapo tunapata fundisho kuwa kuna umuhimu wa kukagua afya za wale tunaoowateua kugombea kuhakikisha kuwa sio wagonjwa/ afya zao zina mgogoro! Hilo ni muhimu Kwani iwapo watafanikiwa kuongoza nchi ili hali ni wagonjwa Taifa litaingia gharama nyingi na hata utendaji wao pia utakuwa wa mashaka!! Hivyo basi kama tunataka kuepukana na haya mapungufu hatuna budi kuyapatia ufumbuzi wa kudumu kwa kuyaingiza kwenye katiba ya nchi yetu maadam hivi sasa hayamo!!! Hapa ndio umuhimu wa kuwa na katiba mpya unapojitokeza. Hivyo hii picha inatukumbusha urgency ya kupata katiba mpya contrary to what others think!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…