Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Bora hata tungekuwa nae tu hata kwa miaka 20. Tunakukumbuka sana Rais wetu MzaRendo.
 
Amini hii mission ilikua real! Wala haikua maigizo, tushukuru MUNGU kwa kila jambo 🙏
Mkuu, hii nchi ina watu ni vituko na vituko hasa.


Key words:

"Inshallah, Mwenyezi Mungu atuweke......." - Speaker Job Ndugai

🤔Mungu kawa mwaminifu, ametuweka, tumeenda na sote tukarudi pamoja. Tumeona🤔

"Kila siku napigiwa simu, nani baada ya Magufuli" - Mbunge Kessy
🤔Nani baada ya Magufuli. Tumeona🤔

"Jibu langu nawaambia naongeza muda" - Mbunge Kessy
🤔Naongeza muda. Tumeona🤔


Inabidi uwe mjinga zaidi ya Shetani ili ubaki kipofu aliye gizani, haoni japo ana macho lakini hata akisikia haamini maana haoni, giza limetanda. Tudharauni sisi na sauti zetu, tunakubali lakini basi mheshimuni Mungu wetu aliyethibitika kuwa mkuu juu ya mungu wenu ambaye Taifa na Dunia nzima ilishuhudia akilazwa chato. Sio mungu wenu tena mmebaki na kuwatisha watu eti kuna mzimu wake, huo mzimu mnaishi nao nyinyi mliomwabudu na kumsujudia. Na sio zaidi ya mitume, manabii, na Mungu wetu sisi kama mlivyotangaziwa na mlivyo vipofu mkaendelea kuitukuza sanamu isiyoishi wala kufanya chochote mkiamini hata muda wenu mnaweza kuumega mkaiongezea.

Sanamu yenu imekwenda, hamuwezi kuiongezea muda kamwe. Rudini kwa Mwenyezi Mungu wetu mkatubu na kuwa watu mpate heshima na sifa ya uumbaji kwani mko kama vituko nyinyi, tunawashangaa, ardhi inawashangaa, dunia inawashangaa, mbingu zinawashangaa hata ibilisi anawashanga, naye amejitenga nanyi maana mmemzidi kwani yeye hakuwahi hata kusema ni zaidi ya Mungu. Nyie mlikuwa na sanamu ati mkaiona ni zaidi ya Mungu🤔
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Alikuwa anajua sn ndiyo maana alikuwa katili kupita kiasi
 
Kwa lugha uliyotumia psentence ya mwisho hauna tofauti na unaowasema hata huyo magufuli wako maana nae alikuwa na lugha za hovyo sana.
Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.

Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.

Nuance is a rare commodity.

Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.

We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.

I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?

Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.

Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
See, that’s why I don’t even bother anymore to be as active as I was before.

The level of discourse in these forums nowadays is very subpar.

A lot of people here can’t process nuance.

Their brains seem incapable of operating outside the confines of dichotomous thinking.

They push the envelope when it comes to stupidity.

The few of us in here who dare to stand as beacons of reason against armies of insanity, are the last of a dying breed!

Nowadays I can count on one hand the number of people with whom I can have a decent conversation with [whether we agree or disagree] in these forums.

It was never like that in the good ‘ol days.
 
Kiranga tangu nimeanza kumsoma hajawahi kuwa mfuasi wa Magufuli.

Hebu jaribu kumsoma uelewe basi,acha mambo ya kiwaki,mimi ni mtu wa Mbeya na siyo msukuma.
Huyo ana tofauti gani na wanaosemaga mimi nilimuunga mkono Magufuli kwenye kila kitu kwa 💯 %?

Halafu ukimwonyesha mambo uliyokuwa hukubaliani na Magufuli, anakula kona!!

Wenye akili JF ni wachache mno.
 
Ajabu sana, watu wamezubaishwa na wamekubali kuzubaa haswaa, kila siku wanapigiwa ngoma ya ukabila wao ni kukata viuno tu, wakija kushtuka close to 2025 ndio waanze kuimba Katiba Mpya.

Ukiwagusa watakwambia ni kweli Magufuli alikuwa dikteta wacha asemwe, ok till when? na haya ya leo yatasemwa lini? the truth is huo ni ukweli uliopita; sasa kwanini wasijadili ukweli uliopo na ujao? I dont know.
Wengi wa sisi watz tunaakili mateka hatujui maana ya nchi na umuhimu wake tunafikiri nchi zilizoendelea wanauchawa wa aina hii always kuattack personalities Kwanzaa tujaribu kuelimishana kuwa mifumo sahihi na imara ndo chanzo cha nchi imara na uchumi ila # KATIBA mpya ni sasa
 
Kama wa ovyo waliotamba na kusimanga uhai wakidhani wanamkomesha jirani kwa kumtusi dignity yake ati hawataki kupeleka mtu wa kufia Ikulu. Mungu hadhihakiwi, jirudini na kutubu la sivyo nanyi mtaangamia hivyo hivyo.

Leo ndo mnajifanya mna utu na ubinaadam. Mfateni kiongozi wa malaika wenu aliyejitamba atawafanya watu waishi kama mashetani, sasa sijui yeye na nyinyi wafuasi wake tuwaite nani kama mna uwezo wa kuwageuza wengine mashetani [emoji848][emoji848]
Hahaha chuki imekufanya uwe ndondocha
 
Back
Top Bottom