Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Kesi anasema lazima rais Magufuli alazimishwe kuongezwa muda wa kutawala.

Anasema katiba siyo msahafu lazima inadilishwe ili Magufuli aongezewe muda wa kutawala.

Ndugaye anasema nimekusikia mh Kessy lazima tumuongezee muda mh Magufuli.
 
Aongezewe muda, Atake Asitake.
Atawale hadi Kifo chake.
Na ndivyo ilivyokuwa. Ni Raisi wa kwanza wa JMT kutawala katika cheo chake hadi Umauti ulipomwita.
Huyu Israeli Huyu ni Noma Sana
 
Aongezewe muda, Atake Asitake.
Atawale hadi Kifo chake.
Na ndivyo ilivyokuwa. Ni Raisi wa kwanza wa JMT kutawala katika cheo chake hadi Umauti ulipomwita.
Huyu Israeli Huyu ni Noma Sana
.... hatari sana.
 
Hii ndio mizee mijinga isiyojitambua. Namshukuru Mungu alimfukuza huyu babu hata ubunge hakupata
 



"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).

Spika Ndugai ajibu hivi

“Mheshimiwa Keissy ngoja twende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Kessy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai


Wote watatu wako wapi leo? Muacheni Mungu apange maisha ya waja wake msimuingilie kwenye mipango yake
 
Demokrasia yetu ina matobo kweli Mh Kessy anaongea kwa kujiamini "sisi wabunge ndio tuna mamlaka ya kubadili katiba kuwezesha Rais kuongezewa muda" yaani wananchi si lolote si chochote but wao.
Wewe ni mbunge wa wapi?
 
Yes tunaweza kusema asiongezewe muda. Na hata yeye hana mpango huo. Ila lazima tukubali. Magufuli ndiye rais bora africa kwa sasa. Na ndiye rais maarufu africa kwa sana. Na ndiye rais mwenye akili nyingi sana africa. Hilo halina ubishi. Binafsi namwamini sana. Maana kila anachokisema ni kama huwa anasema na akili yangu, kila uamuzi anaouchukua huwa kama ameingia kichwani kwangu akajua nlitamani afanye vile
Kwa hiyo wewe una akili sana!
 
Swali lalo ni la msingi sana.

Haiwezekani kupata tume huru bila mabadiliko ya Katiba( Katiba Mpya)
Tupe mapendekezo ya kupata wajum e wa tume huru. Wanapatikana kwa njia gani ili wasiegamie Yanga au Simba.
 



"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).

Spika Ndugai ajibu hivi

“Mheshimiwa Keissy ngoja twende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Kessy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai


Mmh
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe.

Screenshot_20220423-142507.png
 
Back
Top Bottom