Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
 
Kwasababu ya kumsemar binadamu....hii ndiyo tofauti yangu na wewe...hata angemsema baba yako au adui wa baba yako ningeandika hivyo tu.
Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.

Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.

Nuance is a rare commodity.

Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.

We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.

I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?

Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.

Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Ajabu sana, watu wamezubaishwa na wamekubali kuzubaa haswaa, kila siku wanapigiwa ngoma ya ukabila wao ni kukata viuno tu, wakija kushtuka close to 2025 ndio waanze kuimba Katiba Mpya.

Ukiwagusa watakwambia ni kweli Magufuli alikuwa dikteta wacha asemwe, ok till when? na haya ya leo yatasemwa lini? the truth is huo ni ukweli uliopita; sasa kwanini wasijadili ukweli uliopo na ujao? I dont know.
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Hii ni project maalumu bwashee!

Wiki ijayo mafuta yanapanda tena bei hivyo Zitto anaanzisha mijadala ya " danganya toto"
 
Utakuwa baba/ mama wa hovyo saana kwenye familia kama unayo.
Kama wa ovyo waliotamba na kusimanga uhai wakidhani wanamkomesha jirani kwa kumtusi dignity yake ati hawataki kupeleka mtu wa kufia Ikulu. Mungu hadhihakiwi, jirudini na kutubu la sivyo nanyi mtaangamia hivyo hivyo.

Leo ndo mnajifanya mna utu na ubinaadam. Mfateni kiongozi wa malaika wenu aliyejitamba atawafanya watu waishi kama mashetani, sasa sijui yeye na nyinyi wafuasi wake tuwaite nani kama mna uwezo wa kuwageuza wengine mashetani 🤔🤔
 
Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.

Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.

Nuance is a rare commodity.

Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.

We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.

I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?

Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.

Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
Nami namuunga mkono Zitto, wote mnaomtetea mkazikwe naye Chato including wewe Kiranga
 
Kama wa ovyo waliotamba na kusimanga uhai wakidhani wanamkomesha jirani kwa kumtusi dignity yake ati hawataki kupeleka mtu wa kufia Ikulu. Mungu hadhihakiwi, jirudini na kutubu la sivyo nanyi mtaangamia hivyo hivyo.

Leo ndo mnajifanya mna utu na ubinaadam. Mfateni kiongozi wa malaika wenu aliyejitamba atawafanya watu waishi kama mashetani, sasa sijui yeye na nyinyi wafuasi wake tuwaite nani kama mna uwezo wa kuwageuza wengine mashetani [emoji848][emoji848]
Mkuu,

Hata mimi Magufuli sikumpenda, utawala wake sikuupenda.

Na bado naweza kuwa nuanced enough kuona habari za kumuita Magufuli "walking carcass" si tu hazina tija, bali pia zinaonesha frustrations. Ni kama habari za mtu ana hasira halafu hajui cha kufanya zaidi ya kuitukana maiti.

Hivyo, si kika anay3k3mea lugha hizi ni mfuasi wa Magufuli. Tuch3 hizi siasa simplistic za kukisa n8ance za kusema mtu akikemea ujinga wa lugha chafu dhidi ya Magufuki, basi ni mfuasi wa Magufuli.

Mimi naweza kuwa sijamkubali Magufuli na sikubali lugha chafu zisizo na tija dhidi yake, hususan sasa ambapo ameshafariki.

Ningewaona hawa watu wa maana sana kama wangejikita kuwa na katiba mpya itakayopunguza madaraka ya rais ili ujinga wa utawala wa Magufuli usijirudie.

Kumtukana mtu aliyekwishajifia zake hakusaidii kitu.

Zaidi, kunatupa maswali tu kwa nini huyu mtu anamtukana mtu ambaye hana influence mpya tena katika jamii?

Unataka kupigana na maiti ya Magufuli?
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Hatuna shida na Magufuli lakini malofa wafuasi wa praise team ambao leo wanataka kuendeleza kasumba ile ile ya Mzalendo wao ya kufumba watu midomo. Pia Magufuli alikuwa kiongozi alivyoendesha tasisi ya urais ni jambo la kuendelea kujadiliwa hata kama hayupo. Kuna funzo endelevu kwa pande zake mbili za uzuri na ubaya bahati mbaya ni kuwa mabaya yake kijamii yananuka sana hadi kunajisi mazuri yake akiwa kwenye taasisi yetu hivyo wafuasi kujisikia vibaya inapotibukiwa hiyo harufu chafu.

Hakuna kosa wala haramu yoyote kumsema hata kama kafa, amekufa yeye sio taasisi yetu ya Urais aliyoiachia najisi, tukiusema unajisi huu ili usuguliwe na kufutwa kabisa na waliochangia najisi hii wachunguzwe msituzibe midomo kwa kisingizio cha kasha jifia. Wajibu haufi, wajibu unabaki kuishi milele.

Alitunyamazisha kwa mateka, risasi na kutuwekea tiss wa ovyo mitaani tusinongone, aki-record watu, akisambaza wasiojulikana, akipoteza watu, akihujumu bunge, chaguzi n.k. mkamuinua kama sanamu yenu akawa juu akajisahau mkamuaminisha atatawala milele kumbe mnamdamganya na kudanganyika, sasa hawezi na nyie hamuwezi tena kutupumbaza na kutanya mazezeta kama mlivyofanywa nyinyi, acheni tumsema kama mnaumia saaaana kwa mapenzi mlio nayo kwake anaposemwa basi "......nendeni Chato mkazikwe naye mkaa pamoja naye....." By ZZK.

Huko huko mnaweza kubadili hata katiba ili aendelee kuwaongoza maana huko hatutaweza kuwaingilia wala kuwasema.
 
Back
Top Bottom