Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
This is too much!!!
 
Ajabu sana, watu wamezubaishwa na wamekubali kuzubaa haswaa, kila siku wanapigiwa ngoma ya ukabila wao ni kukata viuno tu, wakija kushtuka close to 2025 ndio waanze kuimba Katiba Mpya.

Ukiwagusa watakwambia ni kweli Magufuli alikuwa dikteta wacha asemwe, ok till when? na haya ya leo yatasemwa lini? the truth is huo ni ukweli uliopita; sasa kwanini wasijadili ukweli uliopo na ujao? I dont know.

Mlikuwa wapi kipindi yeye anatesa watu mkawa mnashangilia hamkujua kuwa kuna katiba mpya? Katiba mpya ndo mwaijua sasa?

Magufuli atasemwa tu mpaka hasira za watu zitakapoisha, watu bado wana machungu naye sana,
 
Mkuu,

Hata mimi Magufuli sikumpenda, utawala wake sikuupenda.

Na bado naweza kuwa nuanced enough kuona habari za kumuita Magufuli "walking carcass" si tu hazina tija, bali pia zinaonesha frustrations. Ni kama habari za mtu ana hasira halafu hajui cha kufanya zaidi ya kuitukana maiti.

Hivyo, si kika anay3k3mea lugha hizi ni mfuasi wa Magufuli. Tuch3 hizi siasa simplistic za kukisa n8ance za kusema mtu akikemea ujinga wa lugha chafu dhidi ya Magufuki, basi ni mfuasi wa Magufuli.

Mimi naweza kuwa sijamkubali Magufuli na sikubali lugha chafu zisizo na tija dhidi yake, hususan sasa ambapo ameshafariki.

Ningewaona hawa watu wa maana sana kama wangejikita kuwa na katiba mpya itakayopunguza madaraka ya rais ili ujinga wa utawala wa Magufuli usijirudie.

Kumtukana mtu aliyekwishajifia zake hakusaidii kitu.

Zaidi, kunatupa maswali tu kwa nini huyu mtu anamtukana mtu ambaye hana influence mpya tena katika jamii?

Unataka kupigana na maiti ya Magufuli?


Hakuna namna atasemwa kwa ubaya wake, na maovu mengi aliyotenda, hakuna kupumzishwa!!

Kwa nn Mwinyi, Mkapa au Kikwete asisemwe! Ubaya aliofanya kwa watu ndo umefanya watu hasira zisiishe,
 
This is too much!!!
Vipi kuhusu kumwambia mungu aje amshukuru kwa kazi nzuri? Vipi kuhusu mlivyo muita Mh. Mungu, vipi yule shehe aliyesema ni zaidi ya mungu, vipi yule rofa mwenzenu aliyetwambia ni yesu wa Watanzani......

Nendeni zenu huko na unafiki usiokuwa na maana, leo mnajifanya ndo mnamuona alikuwa ni mtu baada ya kugundua ni marehemu, sio mungu au yesu au zaidi ya mungu... endeleeni kulialia na lisanamu lenu mlilolitengeneza, halipo tena imekwisha hiyo. Tunawapasha nyinyi mliogeuzwa mazuzu kiasi cha kumwabudu. Msirudie tena kufanywa mazuzu
 
Basi wewe tukupe unajimu wa kuwaona marehemu watarajiwa au wewe ni marehemu mhukumu marehemu watarajiwa. Cheo chako ni kipi katika hivyo viwili
Wote ni marehemu watarajiwa, hakuna atakayeishi milele. There is no point kumsengenya marehemu kila saa wakati hayupo.
Ameshakufa, what is done is done!
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Wanakua Kama wapumbavu
 
Wote ni marehemu watarajiwa, hakuna atakayeishi milele. There is no point kumsengenya marehemu kila saa wakati hayupo.
Ameshakufa, what is done is done!
Ni burudani unapoona mtu aliyekuwa anajiita JIWE na watu wengine wanamuabudu kama mungu (herufi ndogo) anakufa kabla yetu. Hiyo tu lazima TUSHEREHEKEE
 
Wote ni marehemu watarajiwa, hakuna atakayeishi milele. There is no point kumsengenya marehemu kila saa wakati hayupo.
Ameshakufa, what is done is done!
Ufahamu wako unakomea kwenye kusengenya, kwa hiyo tunapoongelea maisha ya Mtume Mohamad, Musa, Ibrahim n.k. tunawasengenya?

Fikra duni sana nyinyi watu, tusoma hadi mashuleni akina Kinjekitile Ngwale, Mzee Karume, Mwl. Nyerere tunawaengenya? Juzi mlipokusanyana Chato kumkumbuka mungu na yesu wenu mlikuwa mnamsengenya? Hata uelewa wa kutofautisha mambo ni dhaifu ndio maana mmejibanza kwenye hoja dhaifu za ni marehemu. Semeni maneno yenu ya atawale milele, atake asitake, semeni tuwasikie. Kiburi chenu chote, jeuri, dharau na kuwatukana watu kwisheni. Jufunzeni kuheshimu watu, acheni kutukuza viburi vya kijinga

Come on......!!!
 
Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.

Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe, namuona kama kwa mwaka 2020 alikuwa tayari ni walking carcass;
View attachment 2197587
Halaf Sukumagang eti watuambie kauawa wakati hata kampeni zilimshinda kufanya huyu!
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Twende tu hivi hivi mpaka tukubaliane tuandike katiba mpya
 
Wote ni marehemu watarajiwa, hakuna atakayeishi milele. There is no point kumsengenya marehemu kila saa wakati hayupo.
Ameshakufa, what is done is done!
Come on!

Nothing is done yet🤫

Tell us

Yuko wapi Azory Gwanda?

Nani alimteka Mo na wengine wengi?

Watu waliopotea wote, walipoteaje?

Sababu za uvamizi wa clouds?

Viroba vya maiti kwenye fukwe zilikuwa za nani?
Nape alitishiwa na bastola mchana kweupe?

Watu walinyanganywa pesa zao kwenye akaunti kwa lazima na wengine kufilisiwa, na nani na kwa nini?

n.k. n.k.

Unless one is an idiot, she can dare to say it is done🤔 All is fresh, nothing is done at all......
 
Back
Top Bottom