Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Sitaki kukubishia kwenye mtazamo wako, ingekuwa amepata hiyo nafasi kwa uwezo hapo nisingekuwa na tatizo sana, lakini hii ya kupata nafasi kwa upendeleo, na chaguzi za kihuni hiyo haikai vizuri. Kuangalia yeye ni nani hiyo haikwepeki, maana hata aliyempa hiyo nafasi ameangalia yeye ni nani. Stahiki anazopata mume wake sio zake wakati alikuwa anapewa heshima zote kama first lady?! Mkuu au umeamua kubishana tu nini? Kwa mtazamo huu hata kwenye huo mjadala ndio maana uliishia kupata tabu.
Kuna stahiki inaitwa "heshima zote kama first lady"? Kwenye hili wanaompinga hawana hoja, lakini ndio hivyo ana jina la Kikwete maana yake awe treated differently
 
Kuna stahiki inaitwa "heshima zote kama first lady"? Kwenye hili wanaompinga hawana hoja, lakini ndio hivyo ana jina la Kikwete maana yake awe treated differently

Stahiki lazima iwe hela? Kwenye nchi ambayo vijana wengi hawana ajira, huduma nyingi ni duni, mwenza wa rais ambaye mume/mkewe ataendelea kulipwa hadi anaingia kaburini, huoni ni ubinafsi wa hali ya juu kutaka zaidi ya wanachopata. Au alitaka kumuanika mumewe kuwa hamsaidii kwa lolote? Au na ww ni sehemu ya wanaotarajia kufaidika na upendeleo huo iwapo sheria hiyo itapita nini?
 
Stahiki lazima iwe hela? Kwenye nchi ambayo vijana wengi hawana ajira, huduma nyingi ni duni, mwenza wa rais ambaye mume/mkewe ataendelea kulipwa hadi anaingia kaburini, huoni ni ubinafsi wa hali ya juu kutaka zaidi ya wanachopata. Au alitaka kumuanika mumewe kuwa hamsaidii kwa lolote? Au na ww ni sehemu ya wanaotarajia kufaidika na upendeleo huo iwapo sheria hiyo itapita nini?
Sina faida yoyote na mtu yoyote, lakini ubaguzi haufai.
 
Nani anae amua kuwa kumsema inatosha ?? baado tutamsema hadi 2050 ,oo hasikii ooh haina maana sasa si mtuache tumseme mnaumia nini kama hasikii na haina maana
hakuna anaeumia. Mimi nilikuwa mmoja wa wapingaji wakuu wa Magufuli enzi za uhai wake. Lakini kumpinga kwake kulikuwa kwasababu ya Uraisi wake. Sasa si raisi tena na hayuko hai sasa ina maana gani kuendelea kupinga mtu ambae hawezi hata kujitetea.

Baada ya yote yeye pia ni binadamu na ana watu wake wa karibu ambao hawana hatia katika maovu yake lakini kupitia masimango ya watu ambayo baadhi yanakwenda mbali zaidi na kudhalilisha yanawaathiri na wao pia.

Weka mbali uraisi wake na uangalie uungwana wa kibinadamu na uchukulie mathalan ingekuwa ni mzazi wako marehemu anasemwa hivyo, ungechukulia poa pia?
 
Sasa kati ya mwendazake na shangazi aliepo sasa wapi tumenata pabaya? Unafikiri angekuwepo huyu mwamba mafuta ya kula yangetoka 4000 mpaka 7500?
Sikuwahi kumchukia wala kumpenda Magu kwa 100% ila ana mambo aliyafanya nikayakubali kwa 100% ukiachilia mbali maroroso yanayofanyika sasa.
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Binadamu tuna uelewa tofauti and that's the beauty of our common humanity. JPM kama kiongozi wa nchi lazma ataongelewa tuu. Tuliobaki ni kujitahidi tukiondoka duniani tuongelewe kwa mazuri.
 
Sina faida yoyote na mtu yoyote, lakini ubaguzi haufai.

Ni kweli, ila sio kwa wake wa hao viongozi maana huo ni ubinafsi, wakati kuna vijana wengi hawana ajira, wala hawajui hatima yao, kisha kikundi kidogo kisichotosheka kudai kupita maelezo.
 
You are an imbecile twat for such crooked reasoning. So you wanted us to criticize the ruthless autocratic dictator so that we be targeted like what happened to Tundu Lissu.

He created hate to our county, let him reap the fruits of what he created through you his followers and worshipers.

When I put up this post I expected the like of you, if it hurts you it means I have met my expectations. The pain you get as Magufuli worshiper is similar to the pain that families of Ben Saanane, Azory Gwanda and many more were subjected to during the regime of terror. Let him continue to rot in hell
Forgive,forgive,forgive.
 
C' mon mkuu! Some of us are not cowards! Wasi wasi ndio akili.
Jamaa na wenzake walidhuluma haki ya watu kuishi! Mbona authorities like US department of State walikuwa wazi!
Acha kushambulia these immortals aisee. Acha waseme! Tulipita kipindi kigumu.
I feel you, si kwamba sielewi kuna mkono wa chuma wa kitaasisi ulioharibu sana mambo na kutisha, naelewa hilo.

Ila.

Sasa watu mamilioni wameumizwa sana wanashindwaje na watu wachache?

Kwani huko walikowatoa madikteta wao si immortals?
 
Tumekusiikia Fisi maji. Hata ubadili Katiba itakuja tu clique nyingine ya kutawala kama hiyo na utadai maandano mengine ya kubadili Katiba.

Mchakato wa Katiba Mpya ni mvutano ni kati ya CCM (walio madarakani) dhidi ya CHADEMA (wanaotaka kuingia madarakani).

Nyinyi Fisi maji mnatumika tu
Bora mimi Fisi Maji.

Wewe guluguja usiye na ubongo wala uti wa wa mgongo.

Huelewi kwamba hata mchakato wa kutafuta katiba tu ni vuguvugu la maendeleo.
 
Juzi watu wamedandia headlines za Mama Salma, nikasema ngoja nisikilize kaongea utopolo gani. To my surprise sikuona jambo baya alilosema, inawezekana asiwe a popular messenger, lakini hata hoja yake hatutaki kusikia! Na kuna watu unawaheshimu lakini jinsi wanavyodandia headlines unabaki kushangaa.

Taifa la watu wasiotaka kabisa kusikilizana ni taifa la hovyo kabisa. Ni watu wa kupinga pinga, wakibanwa waeleze why, wanaanza matusi.
Rais Samia hawezi kusema bila kuchemka hata kidogo.

Kwa hivyo, ukinipa clip yoyote ya dakika 30 ya rais Samia anahutubia mwenyewe bila kusoma, siwezi kukosa cha kukosoa.

Ila, tunakosoa kipi na kuacha kipi? Maana si kila kosa ni la kukosoa, kuna mengine yako below threshold ya kukosoa

Na katika kukosoa, wapinzani inabidi wajue kipi kidogo, kipi kikubwa.

Jana nilikuwa nasoma watu wanabishana Rais Samia kaingilia mlango wa nyuma wa hotelini kwenye mkutano na wabongo.

Nikasema haya mambo mengine unakosoa inaonekana kama una "cry wolf".

Hata siku nyingine ukija na ukosoaji w amaana unaonekana huyu mlalamishi wa kila siku tushamzoea!
 
Ninachojua ukistaafu bila kujali ww ni mke wa rais au vipi unapewa stahiki zako. Hilo liko kisheria labda useme una uhakika hakulipwa hiyo stahiki yake.

Stahiki zake ziko kwa mumewe, na kwa mtazamo wangu ni kama hao viongozi wanaokuwa overpaid. Hii ndio inayopelekea serikali kuwa na mzigo mkubwa kwa kuwa na list ya wastaafu wanaondelea kulipwa, huku wenzi wao wakiamini hata wao wana haki tofauti na stahiki za wenza wao. Matokeo yake watu wanakosa ajira, na huduma muhimu kisa kuna wastaafu wanaoendelea kulipwa bila sababu ya msingi.
Mwenza wa Rais anapoacha majukumu (kazi) yake baada ya mumewe kuwa mkuu wa nchi unadhani ni vyema abaki bila kazi ?
 
Unaweza kuwa uko sawa kwenye maelezo yako mengi, lakini hilo la kuandamwa baada ya kufa sio kweli. Huku mitandaoni Magufuli aliandamwa muda wote wa utawala wake hadi akafikia kutaka malaika washuke wafunge mitandao. Huenda baada ya mjadala kuwa mrefu na kukutana na watu wasioendana na matamanio yako, joto la mwili limepanda kidogo hadi kudhani ni baada ya kufa ndio anaandamwa.
Mitandaoni does not count, kama mtu ni coward mtandaoni ndiyo mahala pake kupiga kelele.

Tunahitaji watu watoke mtandaoni na kufanya mambo on the ground.
 
Jana kwenye shughuri yetu baba mchungaji alituambia kuwa kila mtu ni marehemu mtarajiwa (mfu atembeaye) kama ambavyo pua zetu zinavyoelekea zikiinusa ardhi! Je, tuanze kuwakemea hawa wachungaji?
Muktadha.

If that is the case, then saying Magufuli was a walking carcass is pointless, because we all die in the end.
 
Huwezi kumpangia mtu namna ya kuhisi na kufiri.

Wengine namna yao kutoa sumu moyoni ni kwa njia ya kuusema uovu waliotendewa hata kama mtu huyo hayupo.

Kueleza ubaya wa jiwe ni moja ya njia ya kusema kwamba hatutaki matendo yale yaje yajirudie.

Kila mtu anavuna alichokipanda awe hai au awe ahera
Si kupangiana, ni kubadilishana mawazo tu.

Kumsema mtu kwamba alikuwa ni "walking carcass" wakati wote tutakufa ni ujinga.
 
Tunashindwa kufikiria mambo mengine kwasababu ametuchomea nyavu zetu bure tenahalali nahatakama tulikata leseni huku kgm kunauvuvi unaitwa kipe niuvuvi wakistarabu lakini mpina wakishirikiana na magu walizichoma nakuita haram lakini unaleseni hapo hapo ukiwapa pesa wewe uliowapa pesa chombo chako kinakuwa halali jamaa kamsahau na deo Sanga nae alisema hivyo aongezewe muda
Sawa.

Jipoangeni hilo lisijirudie.

Kumtusi kwamba alikuwa maiti inayotembea wakati wote tutakufa hakusaidii kitu.
 
Tz tuna huruma na utu wa kinafki Sana. Kawaida wema, huruma na utu havichagui. Kama ww ni mtu mwenye utu, huruma na wema, yafaa uvioneshe kwa watu wote.

Kipindi yule dingi yupo madarakani aliyokuwa akiyafanya yalikuwa dhahiri, na hamkuwahi kuongea. Binafsi siwezi kumtetea hata nikute mtu amemuongelea harsh kiasi gani, maana sijui aliumizwa vipi.
Unaposema hamkuwahi kuongea unakusudia nani?

Una hakika mimi sikuwahi kuongea?

Unanifuatilia?

Unaelewa kwamba mimi siongelei kumtetea Magufuli naongelea way forward beyond Magufuli hapa?
 
Back
Top Bottom