Kwanza kabisa, miminsijamt3tea Magufuli.
Ila, wewe una tatizo la kusoma kwa ufahamu.
Wewe ni ng7mbaru.
Watu kama wewe ndio niliowasema nilioiandika kwamba you are crude, unspophisticated and medievally tribal.
Huwezi kuelewa ninachoandika.
Nikiandika in defense of civility na kusema huyu Magufuli kashakufa, hakuna point kumdhalilisha, unaona namtetea Magufuli.
I have always been saying "Magufuli is a country bumpkin" hapa alivyokuwa hai.
Sasa utasemaje mimi namtetea Magufuli?
Tatizo lenu hamna nuance.
You are like apes.
Hatuwezi kuelewana.
I might as well write in Greek.