Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

hakuna anaeumia. Mimi nilikuwa mmoja wa wapingaji wakuu wa Magufuli enzi za uhai wake. Lakini kumpinga kwake kulikuwa kwasababu ya Uraisi wake. Sasa si raisi tena na hayuko hai sasa ina maana gani kuendelea kupinga mtu ambae hawezi hata kujitetea.

Baada ya yote yeye pia ni binadamu na ana watu wake wa karibu ambao hawana hatia katika maovu yake lakini kupitia masimango ya watu ambayo baadhi yanakwenda mbali zaidi na kudhalilisha yanawaathiri na wao pia.

Weka mbali uraisi wake na uangalie uungwana wa kibinadamu na uchukulie mathalan ingekuwa ni mzazi wako marehemu anasemwa hivyo, ungechukulia poa pia?
Hakuna sheria inayoruhusu raisi kwa katiba kuua ,kama akifanya hivo kaua yy sio uraisi ,so masuala yake ya kuua na kutuma watu walawitiwe ,kuteka ,kutesa tunamdeal yy na likifo lake ,usiuingeze urais hapa .
Ooh ndugu zake wanaathilika kuliko wa ben saa nane ile maiti tunakazi nayo kwanza .
 
Kama kutesa kwa zamu, hii zamu ya SAMIA.

Na Samai kashasema yeye na Magufuli ni kitu kile kile.

N akweli, mikutano bado marufuku, katiba mpya bado njozi, katiba mpya danadana

Kwa hiyo usifikiri kifo cha Magufuli ndiyo kinakupa wewe zamu yako kutesa.

Yule mwingine alikuwa anapiga bila mafuta, huyu anapaka mafuta tu.
Hii ni zamu yake kusemwa mpaka mizimu huko aliko ishangae kulikoni bwana wewe?
 
. Kama utapata tofauti yoyote ni kwa sababu huyu asiyedunda alipambana kuhakikisha maelfu ya watanzania wanapata huduma bora za afya hapa hapa nchini badala ya kujijali binafsi. Matokeo yake anaishi kwenye mioyo ya watu kuliko hata huyo anayeishi.
Anaishi kwenye mioyo ya wapumbavu kama ya zimmerman tu wakati ki uhalisia amezikwa Chato na analiwa na minyoo
 
Na sisi raia wa kawaida tunamchukulia huyo aliyejitoa mhanga kwa ajili ya Taifa lake kuwa wa thamani mara elfu kuliko huyo unayemwita anadunda. Nitafutie nyuzi zinazoanzishwa kumhusu anayedunda halafu linganisha na za yule asiyedunda. Kama utapata tofauti yoyote ni kwa sababu huyu asiyedunda alipambana kuhakikisha maelfu ya watanzania wanapata huduma bora za afya hapa hapa nchini badala ya kujijali binafsi. Matokeo yake anaishi kwenye mioyo ya watu kuliko hata huyo anayeishi.
Hufahamu mioyo ya watu ina nini ndani. Ongelea nafsi yako. Ingawa sina tatizo na JPM, apumzike kwa amani.
 
Mkuu,

Hata mimi Magufuli sikumpenda, utawala wake sikuupenda.

Na bado naweza kuwa nuanced enough kuona habari za kumuita Magufuli "walking carcass" si tu hazina tija, bali pia zinaonesha frustrations. Ni kama habari za mtu ana hasira halafu hajui cha kufanya zaidi ya kuitukana maiti.

Hivyo, si kika anay3k3mea lugha hizi ni mfuasi wa Magufuli. Tuch3 hizi siasa simplistic za kukisa n8ance za kusema mtu akikemea ujinga wa lugha chafu dhidi ya Magufuki, basi ni mfuasi wa Magufuli.

Mimi naweza kuwa sijamkubali Magufuli na sikubali lugha chafu zisizo na tija dhidi yake, hususan sasa ambapo ameshafariki.

Ningewaona hawa watu wa maana sana kama wangejikita kuwa na katiba mpya itakayopunguza madaraka ya rais ili ujinga wa utawala wa Magufuli usijirudie.

Kumtukana mtu aliyekwishajifia zake hakusaidii kitu.

Zaidi, kunatupa maswali tu kwa nini huyu mtu anamtukana mtu ambaye hana influence mpya tena katika jamii?

Unataka kupigana na maiti ya Magufuli?
Mkuu naona umekerwa mno na hiyo " walking carcass" pole sana. Ila kwa upande wangu naona kama umechemka. Post #5 aliyesema hivyo alikuwa katika kumuonya mtoa mada kwamba asijisahau kwamba naye pia atakufa na sio kwamba amemuita Marehemu "walking carcass". So take a deep breath and relax!
 
Sasa hayo ma Air Condition ya nini kwenye mkutano wa wazi? Tumezowea kuyakuta maofsini kule kwenye majengo ya TRA, PSSSF na Bandari.

Hakika huyu alikuwa trip shamba trip garage. Asingekatiza kwa COVID 19

Lete proof kuwa Magufuli alikufa kwa Covid.
 
Kiranga uma DNA ya Magufuli by 100%, kwa kuwa unalazimisha watu waandike unavyofikiri wewe. Get out of the narcissistic attitude.

Humu JF kuna thread nyingi zinazoongelea umuhimu wa Katiba Mpya na tunashiriki kuchangia mawazo yetu. Huu Uzi ulikuwa unawakumbusha watanzania kuwa wawe makini katika kuteua wagombea wao kwa nafasi ya urais.

Kuna taarifa kuwa hata Mwaka 2015 kulikuwa na taarifa ya TISS kuwa Magufuli alikuwa na history ya mental problems. Lakini Waziri mmoja mwandamizi wa utawala bora au mambo ya ndani alificha taarifa hiyo na haikufika Kamati Kuu ya CCM.

Huyu mtu Magufuli siyo wa kumhurumia kata kidogo kwa kuwa yeye ndiye muasisi wa "bullying", ngoja naye aipate kupitia kwa wanaomuabudu kama wewe Kiranga
Huwezi kunielewa, wewe unapigana na maiti, mimi nakueleza kuipita hali hiyo ya kupigana na maiti.
 
Jamani mbona hivi?

Kwa nini mnamuandama sana mtu kashajifia zake?

Mimi mwenyewe sikuupenda utawala wa Magufuli, lakini kwa nini kuna obsession hii?

Hamuwezi kufikiria mambo ya sasa na yanayokuja ?

Hata kama mnamsema, hamuwezi kumsema kwa mambo ya msingi?

What is this crude and ignoble talk about "walking carcass"?

We have to be careful to not become what we despise.

Mimi sikumpenda Magufuli kwa maneno ya ovyo.

Naona na wewe umerithi maneno hayohayo.

Kwani hatuwezi kusema kwamba ni vibaya kutukuza mtu mmoja kiasi cha kutaka kuvunja katiba, bila kudhalilisha mtu kwamba alikuwa "walking carcass"?
Yaani tunakoelekea tunakuwa spitting image ya Yule tuliyemchukia,
Maneno ya kijinga ya kashfa,

Ni hao hao Sukuma gang. Keeping his name alive, Kwa kuanzisha nyuzi za kujifanya wanamponda, ili wabakie nyuzi na kumsifia!

Wengi hatuna interest naye kabisaaaah!
Ukiiangalia Kwa jicho la 3, hawa ni walinda legacy hawataki tuache kumzungumzia!
 
Vp, wale wanaomsifu mtu mbaya aliyekufa. Ungeanza na hao! Maana huwezi kupata katiba bora usipoweka wazi ubaya wa Magu. Ni lazima kuondoa ujinga kwa wafuasi wake. Maana mambo aliyokuwa anayakiuka wanaona ni sahihi. Sasa hapo utaingiza vp katiba mpya kwa mamburula.
Wwapi nimepinga kuweka ubaya wa Magu?

Mkuu, unajua kusoma kwa ufahamu?

Unaelewa mimi ni mmoja wa watu walio mstari wa mbele kupinga ubaya wa Magu? Kuanzia alivyokuwa hai mpaka kesho?

Unaelewa nuanced conversation ni nini?
 
Kiranga uma DNA ya Magufuli by 100%, kwa kuwa unalazimisha watu waandike unavyofikiri wewe. Get out of the narcissistic attitude.

Humu JF kuna thread nyingi zinazoongelea umuhimu wa Katiba Mpya na tunashiriki kuchangia mawazo yetu. Huu Uzi ulikuwa unawakumbusha watanzania kuwa wawe makini katika kuteua wagombea wao kwa nafasi ya urais.

Kuna taarifa kuwa hata Mwaka 2015 kulikuwa na taarifa ya TISS kuwa Magufuli alikuwa na history ya mental problems. Lakini Waziri mmoja mwandamizi wa utawala bora au mambo ya ndani alificha taarifa hiyo na haikufika Kamati Kuu ya CCM.

Huyu mtu Magufuli siyo wa kumhurumia kata kidogo kwa kuwa yeye ndiye muasisi wa "bullying", ngoja naye aipate kupitia kwa wanaomuabudu kama wewe Kiranga
DNA ya Magufuli umeipimaje na kujua nina 100% yake?

Unaelewa ukishasema mtu ana DNA ya mtu mwingine kwa 100 ushajionesha hujui hata vipimo vya DNA vinaweza kufikia asilimia ngapi?
 
Mitandaoni ni sehemu ya kumobilize watu. Kisha wataingia ground baada ya somo kueleweka.
Mna mobilize watu miaka mingapi? Karne ngapi?

Mna mobilize watu kwa kuwaambia "Magufuli was a walking carcass"?

Mna mobilize watu kwa kuwaambia wanaompenda Magufuli waende kuzikwa naye Chato?

Do you know how many well meaning people that alienates?
 
Mkuu naona umekerwa mno na hiyo " walking carcass" pole sana. Ila kwa upande wangu naona kama umechemka. Post #5 aliyesema hivyo alikuwa katika kumuonya mtoa mada kwamba asijisahau kwamba naye pia atakufa na sio kwamba amemuita Marehemu "walking carcass". So take a deep breath and relax!
Hapana,
Habari iliyowekwa hapa ni kwamba Magufuli was a walking carcass.

Do not try to spin that.

In any case, kama wote tutakufa, that statement is pointless.
 
Hapana,
Habari iliyowekwa hapa ni kwamba Magufuli was a walking carcass.

Do not try to spin that.

In any case, kama wote tutakufa, that statement is pointless.
Hujajibu swali la msingi, nimekuuliza tena yale ma Air conditioner yalikuwa na kazi gani kwenye mkutano wa kampeni unaofanyika nje?

Still the self anointed narcissist you are beating around the bush. Answer my question
 
Back
Top Bottom