Huyo ni MUAJIRIWA WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA NA NI AFISA MWANDAMIZI, SIO NJAA KALI KAMA UNAVYODHANI WEWE.aisee kapambana sana mpaka kaonekana akayafanye sasa aliyokua akiongeaga pale clouds
Utafanya karia kolo amuendee pangani kumrogaHuyu ndo raisi ajaye wa TFF
Senior Commercial Officer at TAAHuyo ni MUAJIRIWA WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA NA NI AFISA MWANDAMIZI, SIO NJAA KALI KAMA UNAVYODHANI WEWE.
Yeah ni jina la ukoo. Kuna ndugu yao pia Almas Tembele ni baba yao mdogo japo si tumbo moja na baba yao. Alikua mhasibu ubalozi fulani hapa bongo kitambo sana. Nawajua.Kumbe tembele ni jina la ukoo nilijua a.k.a tu ya Bwana Ally.
Rais wa tff ni mmlaka,na ndo maana,ndo maana mawazo yetu lazima yasimameee.Rais wa tff ni zaidi ya waziri.Fifa inatambua rais wa tff.Kama unataka kujua waulize Kenya kilichowapata halafu uje uulizie Ndolanga alivyokuwa akiisumbua serikali.KUwa rais wa tff, na Huo ukurugenzi Kipi ni cheo kikubwa??? Acha kukariri platform ya Tff ni kubwa Sana kuliko ukurugenzi... Ndo nyinyi mliomuona Humphrey pole pole kaula baada ya kupata ubalozi toka ubunge!!..
Hongera kwa Ally Mayay. Ila wewe bure kabisaView attachment 2362427
Ikukupendeza uwe Azam kuichambua Yanga ikipokea kipigo cha Al Hilal,kama sehemu ya kutuaga fans wako. Namaanisha tushiriki wote kuusindikiza mwili wa marehemu mtarajiwa toka Sudan
Kama umekubali ni cheo kikubwa basi, mengine mbwembwe tu na kutaka kujitajirish
Umesoma between lines au ndo wale wale wakukurupuka kama wanaoga njeRais wa tff ni mmlaka,na ndo maana,ndo maana mawazo yetu lazima yasimameee.Rais wa tff ni zaidi ya waziri.Fifa inatambua rais wa tff.Kama unataka kujua waulize Kenya kilichowapata halafu uje uulizie Ndolanga alivyokuwa akiisumbua serikali.
Andika atakapoishia KariaHuyu jamaa anaweza. Tuendelee kumuombea heri na afya njema ili hiyo siku ikifika, basi aje kututoa pale alipoishia Leodgar Chilla Tenga.
Weka akiba ya maneno boss, Mpira hauna mbabe wa kudumuIkukupendeza uwe Azam kuichambua Yanga ikipokea kipigo cha Al Hilal,kama sehemu ya kutuaga fans wako. Namaanisha tushiriki wote kuusindikiza mwili wa marehemu mtarajiwa toka Sudan
Acha kutukana watu humu, grow up.Alistahili mda mrefu. Kuliko huyu chupi wa sasa.
Akina Karai hao ving'ang'anizi pale Tifuatifua.Huyu ndo aliambiwa Hana sifa za kua rais pale tff
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Nimeandika ninachokifahamu na sijamjibu mtu Yeyote.Umesoma between lines au ndo wale wale wakukurupuka kama wanaoga nje
Nimeishiwa kabisa akiba boss. Tuwe na subra labda nitakuwa nayoWeka akiba ya maneno boss, Mpira hauna mbabe wa kudumu
Weka takwimu mkuu. Simkubali Karia lakini tathmini zinaonyesha utawala wake una mafanikio kuliko TengaHuyu jamaa anaweza. Tuendelee kumuombea heri na afya njema ili hiyo siku ikifika, basi aje kututoa pale alipoishia Leodgar Chilla Tenga.
Daaah,inasikitishaHalafu cha kushangaza ni kwamba hajaonekana hadhararani kuipamba ccm kama Pascal Mayalla