Ally Mayay ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo

Ally Mayay ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo

KUwa rais wa tff, na Huo ukurugenzi Kipi ni cheo kikubwa??? Acha kukariri platform ya Tff ni kubwa Sana kuliko ukurugenzi... Ndo nyinyi mliomuona Humphrey pole pole kaula baada ya kupata ubalozi toka ubunge!!..
Rais wa tff ni mmlaka,na ndo maana,ndo maana mawazo yetu lazima yasimameee.Rais wa tff ni zaidi ya waziri.Fifa inatambua rais wa tff.Kama unataka kujua waulize Kenya kilichowapata halafu uje uulizie Ndolanga alivyokuwa akiisumbua serikali.
 
Kama umekubali ni cheo kikubwa basi, mengine mbwembwe tu na kutaka kujitajirish

Rais wa tff ni mmlaka,na ndo maana,ndo maana mawazo yetu lazima yasimameee.Rais wa tff ni zaidi ya waziri.Fifa inatambua rais wa tff.Kama unataka kujua waulize Kenya kilichowapata halafu uje uulizie Ndolanga alivyokuwa akiisumbua serikali.
Umesoma between lines au ndo wale wale wakukurupuka kama wanaoga nje
 
Ikukupendeza uwe Azam kuichambua Yanga ikipokea kipigo cha Al Hilal,kama sehemu ya kutuaga fans wako. Namaanisha tushiriki wote kuusindikiza mwili wa marehemu mtarajiwa toka Sudan
Weka akiba ya maneno boss, Mpira hauna mbabe wa kudumu
 
Back
Top Bottom