Maisha ya Africa ya kubahatisha sana.
Africa wastani wa kuishi ni miaka 64, Ulaya ni 80, China & Marekani 78, Japan 85. Watu wanakufa hovyo hovyo sana Africa, thamani ya maisha ni ndogo kuliko kote duniani.
Hivi mkuu wewe una akili kweli? Kwa nini hutofautishi kati ya mtu binafsi na jamii nzima ya watu? Ulishawahi kuona wapi raia wameacha kwenda kuhemea kisa mvua imenyesha?Poleni sana wafiwa. Ndio maana kila siku nawakumbusha acheni kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za ENGLISH MEDIUM maisha yenyewe ndio hayo hayo. Haya sasa twende kazi, haraka sana kimbia watoe watoto wako shule za English Mediums warudishe Kayumba. Utakuja kunishukuru
Mmh, hili ni suala la uwezo wa kifedha.Poleni sana wafiwa. Ndio maana kila siku nawakumbusha acheni kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za ENGLISH MEDIUM maisha yenyewe ndio hayo hayo. Haya sasa twende kazi, haraka sana kimbia watoe watoto wako shule za English Mediums warudishe Kayumba. Utakuja kunishukuru
Nimesema asije stress . Kuna kulipa ada na kujistress kulipa ada ni vitu viwili tofauti.Mmh, hili ni suala la uwezo wa kifedha.
Kama mtu anaweza kulipia, kwa nini umzuie?
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Hivi mkuu wewe una akili kweli? Kwa nini hutofautishi kati ya mtu binafsi ya jamii nzima ya watu? Ulishawahi kuona wapi raia wameacha kwenda kuhemea kisa mvua imenyesha?
Fumbo zito kivipi?Apumzike kwa Amani ...Kifo ni fumbo zito sana.
Dkt. Gwajima D tia neno mamaPoleni sana wafiwa. Ndio maana kila siku nawakumbusha acheni kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za ENGLISH MEDIUM maisha yenyewe ndio hayo hayo. Haya sasa twende kazi, haraka sana kimbia watoe watoto wako shule za English Mediums warudishe Kayumba. Utakuja kunishukuru
Nchi nyingine wakifa watu watano kwenye ajali za bus inakuwa taarifa kubwa ya kitaifa hadi BBC, CNN n.k Africa wanakufa watu 15 mara nyingi kwa mwezi au mwaka na majeruhi wa kushato laikini mara nyingi tu hata mtaa wa pili hawajui kama kuna ajali, na maisha yanaendelea tu kama kawaida, waswahili wanabaki na misemo yao tu ooh maisha ni fumbo na blah blah nyingine. Very frustrating.Magonjwa, ajali, vitu feki, huduma mbovu. Africa hatuishi tuna survive kila siku unakwepa mishale.
Achana na hadithi za kusadikika.In short tumche MUNGU,ata ukifa utakuwa na tumaini la maisha yajayo baada ya haya,mwili wa kufa utakapofufuliwq na kupewa mwili wa kutojlkufa
Unaleta ufia dini kwenye mambo ya fact,maisha sio ya kwako. jua Yuko aliyekuleta duniani na utaondoka, cha msingi tafuta kujua kusudi lako la kuwepo duniani. wengine walikufa wakiwa wachanga kabisa, wewe upo hadi leo, kwanini? bila ya kujua kwanii upo, maisha ni hasara.
Huko wanakolipwa hela ya kunywa usiku mmoja kwa kivuli Cha private boss ?MD hakosi pa kujishikiza hapa mjin mzee,
MD hahitaji serikali tu, pvt zipo kibao sanaaa,
Nchi nyingine wakifa watu watano kwenye ajali za bus inakuwa taarifa kubwa ya kitaifa hadi BBC, CNN n.k Africa wanakufa watu 15 mara nyingi kwa mwezi au mwaka na majeruhi wa kushato laikini mara nyingi tu hata mtaa wa pili hawajui kama kuna ajali, na maisha yanaendelea tu kama kawaida, waswahili wanabaki na misemo yao tu ooh maisha ni fumbo na blah blah nyingine. Very frustrating.
Ubatil na hela ni bora kuliko ubatili kapukuHii dunia ni ubatili mtupu
Today tukiwa tuna enda mishe mishe asbh Kuna jamaa tulimpakia mtu MZIMA.Waafrika hasa watanzania wana kufa sana kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu.
Kusafiri katika barabara za Tanzania ni HATARI ya kuweza kupoteza uhai wako muda wowote.
Mijitu inaendesha vyombo vya usafiri kama mapanya🐀 yanayo kimbizana darini.
Mijitu inajazwa kwenye public buses: daladala, Hiace, Noah, mwendokasi n.k kama magunia ya viazi 🥔 .
Mibodaboda barabarani kama misafara ya Siafu 🐜
Kuishi Africa tu, Ni hatari kwa uhai wako na Life expectancy yako kwa ujumla.
ANd some of them are extremelly evil dreamsGraveyards are full of unaccomplished dreams! 😐😐
INafikirisha sanaYan umemaliza MD unaamua kujishikiza kwenye bajaji?
Jamaa hakuwa serious
Umeongea ukweli mtupu mkuu,na hyo ndio maana ya maisha ,yaani ishi leo,"our main business is not to see what lies dimly at distance bt to do what seemly clea in our hands," dale Carnegie.Poleni.
Maisha hayana guarantee, kwamba unachokiasisi lazima ukihitimishe, hapana.
Ukiamka na afya asubuhi, mshukuru Mungu na hako kakipande kauhai ulikojaaliwa siku hiyo kasherehekee kwa furaha na kumwaga upendo kwa wengine.
Maana haujui ya kesho, uhai ukishatoka ni milele na milele, ni infinity.