loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Umeongea ukweli mtupu mkuu,na hyo ndio maana ya maisha ,yaani ishi leo,"our main business is not to see what lies dimly at distance bt to do what seemly clea in our hands," dale Carnegie.Poleni.
Maisha hayana guarantee, kwamba unachokiasisi lazima ukihitimishe, hapana.
Ukiamka na afya asubuhi, mshukuru Mungu na hako kakipande kauhai ulikojaaliwa siku hiyo kasherehekee kwa furaha na kumwaga upendo kwa wengine.
Maana haujui ya kesho, uhai ukishatoka ni milele na milele, ni infinity.
Ki vyoteFumbo zito kivipi?
Mada mezani ni kifo si kuzaliwaMbona husemi kuzaliwa ni fumbo zito?
Wewe wasemaKufa ni kawaida wala hakuna cha fumbo zito wala nini.
Mapori na misitu kibao dunia nzima, tusingetosha nan kasema?Sasa kama watu hawafi, Hii dunia ingetosheleza kuwa na makazi ya watu wote mabilioni kwa mabilioni?
Nje ya madaWanajazwa ujinga wa "Mungu kapenda" ili huduma mbovu ziendelee kutamalaki wakati wenyewe wakiumwa wanakimbilia India.
kwani umeambiwa kiswahili medium hawapati ajali?Poleni sana wafiwa. Ndio maana kila siku nawakumbusha acheni kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za ENGLISH MEDIUM maisha yenyewe ndio hayo hayo. Haya sasa twende kazi, haraka sana kimbia watoe watoto wako shule za English Mediums warudishe Kayumba. Utakuja kunishukuru
Nje ya mada
Sisi madereva makini wa magari tutakupinga. Our main biznes is to look at a minimum of 100mtrs aheadmain business is not to see what lies dimly at distance bt to do what seemly clea in our hands," dale Carnegie.
Sikiliza dogo! Sikiliza husia wa wazee waliopitia ujana na wakakumbana na changamoto kama hizo lakini hawakuambiwa ukweli! Ukizaliwa kwa familia ya Bahkaressa utarithi utajiri wa Bahkaressa! Ukizaliwa ukoo wa J.K. Nyerere utarithi jina na ushawishi wa kisiasa wa Nyerere! Ukizaliwa katika familia ambayo haina jina inabidi ujiongeze mababu na mabibi waliingia maagano yapi na mashetani ya mizimu na mashetani yaliyohusika tangu kutungwa mimba, kulelewa, kukuzwa, mpaka kujitambua na kupata kipato. Hayo maroho kama ni ya mashetani huwe na uhakika kuwa kama hutatambua uwepo wao watakuondoa duniani maana wanakuona una dharau! Kama ni ya Mungu katika Kristo, Mungu katika Kristo atakupa muda wa kumtafuta na kutumia maarifa uliyopata ili ujue uwepo wake! (Yakobo alifanya hivyo "Mwanzo 28: 10 - 22"). Sasa vijana wa siku hizi wakipata vijisenti wanapandisha mabega na kujiona wana akili kuliko wazee maskini walio mtaani! Sasa nawaambia nyie vijana msipojirudi mtaisoma namba! Hata uzao wa Bahkaressa inabidi wajitafute wajue ni mungu yupi baba yao aliwaweka wakfu!Tumemaliza ibada ya kumuaga rafiki yangu kipenzi, jamaa kamaliza MD moja ya chuo kikuu hapa jijini, kaja mtaani wakati anasubiria ajira, akaamua ajishikize kwenye Bajaj, Jana saa moja usiku kwa bahati mbaya akapata ajali baada ya bajaj yake kugongana na coaster.
Mwamba akalala mazima. Ooh maisha nini ni sasa? Harakati zote na ndoto zote zimekwisha. Its too sad indeed.
WAnakupakia sana mate kijans eeh?? Pole, jaribu vilainishi maalum. Mate si mazuriIpake mate.
๐๐ Mkuu umeamua tu kunipinga bt ndio uhalisia,wanasema ishi leo na usijistress kwa mambo yaliyopita au yajayo ambayo huyaoni.Sisi madereva makini wa magari tutakupinga. Our main biznes is to look at a minimum of 100mtrs ahead
Hauko mbali na kupata ajali ya kiduwanzi uvunjikie hata kiuno kwa sababu ya uzembe wa dereva au miondombinu duni, hapo ndipo utakapokuwa muhimbili ukiwaza ni nje au ndani ya mada huku unajifiraji kifo ni fumbo au jibu.Nje ya mada
Ha ha ha ha ha ha wawaachie madoni.mtu hana hela anajilazimisha kusomesha shule hizo ili aonekane nae yumo.maujinga kabsa jitu linajinyima hata kula likalipe ada rubish kabsaPoleni sana wafiwa. Ndio maana kila siku nawakumbusha acheni kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za ENGLISH MEDIUM maisha yenyewe ndio hayo hayo. Haya sasa twende kazi, haraka sana kimbia watoe watoto wako shule za English Mediums warudishe Kayumba. Utakuja kunishukuru
na pia akasema ' when sorrow comes, not a single spy ,but in batallions'. Ndio maisha yalivyo. Matatizo yakija kwenye maisha yako, huwa yanafuatana.shakespeare anasema hivi katika kitabu mchezo wa McBeth:
"Life's but a walking shadow,
a poor player, That struts and frets his hour upon the stage,
And then is heard no more.
It is a tale Told by an idiot,
full of sound and fury, Signifying nothing.โ
Ni kwel kabisa ndugu yangu. Yan hapa ungeniona mwenzako ndio ninavyoishi. Yan huwa sijipi stress. Yalio ndani ya uwezo nafanya twna nafanya kweli, yalio nje uanajioa tabu ya nini? ๐๐๐ Mkuu umeamua tu kunipinga bt ndio uhalisia,wanasema ishi leo na usijistress kwa mambo yaliyopita au yajayo ambayo huyaoni.
Mkuu labda kama wewe ndio huwa unajifiraji๐๐huku unajifiraji