Sasa kalewa hajitambui???Vyote vilitokea niliondoka chumbani nilihamisha vitu vyangu, nikaenda kutoa taarifa, Cha ajabu kurudi nikiwa na wahudumu kajilaza tena akili ya kutolalia mavi anayo ila akili ya kusafisha hana, anaamshwa ili atoe uchagu anazingua ni aibu sana sana
[emoji23][emoji23]Hivi bado kuna watu wanaenda guest houses?Ninyi hamfai kwenda huko.Mngejilaza vichakani tu.
Ujambazi .. hahaahaNilikimbia alivokunya mavi ya bia nikawahi kukusanya vyangu, ajabu akawa anaona kawaida tu anasema mnashangaa kunya na ujambazi je? Eti kunya kawaida salale nimejuta
Mkuu huko tz hamlali???Nyie ni ndege mfananao.
Hahaha..
Hatuna hela,usingizi utatoka wapi?
Yaani wewe na kimeo chako mnatakiwa viboko matakoni na pilipili kichaa mbele ya kadamnasi ,Nilikimbia alivokunya mavi ya bia nikawahi kukusanya vyangu, ajabu akawa anaona kawaida tu anasema mnashangaa kunya na ujambazi je? Eti kunya kawaida salale nimejuta
We unaandikia kwenye ndoto ?Hatuna hela,usingizi utatoka wapi?
RubbishSitasahau, imetokea 20.08.2022 somewhere. Demu nimnywesha bia tukaenda lodge, sijafanya chochote nae katoa bonge la kojo hapohapo bed.
Nikazira, nikajitenga kwa chini, shortly baada ya lisaa nasikia pwaah nauliza umejisaidia au umejamba? Kustuka kaamka kaenda chini kaongeza kujisaidia, kahamia upande mwingine kaendeleza kunya, na kojo lingine la nguvu.
Kumbuka chumba kina choo ndani, sijagusa ndogo na wala situmii. Haogopi hajaenda choo kasogea pembeni kaacha kila kitu kajilaza tena kajifunika anapiga usingizi, kinyesi chote yapo kama kawa. Hatari sana najuta najuta.
Nilikimbia chumba alivokunya!!
Nikaenda kutoa taarifa haraka sana
Mental health is a problem in Tanzania [emoji23]Hivi upo ok?
-ulikimbia?
-akaamshwa(?)
-akagoma kusafisha(?)
-ulihama?
-au ulijisalimisha kwa wahusika wa lodge?
Effects of kata secondary Schools [emoji23][emoji23][emoji23]a lot of moderate illiterate citizens are on loose [emoji137][emoji137]Mnawatoaga wap?
mwongo mkubwa ww eti wamkute kanya wamuacheVyote vilitokea niliondoka chumbani nilihamisha vitu vyangu, nikaenda kutoa taarifa, Cha ajabu kurudi nikiwa na wahudumu kajilaza tena akili ya kutolalia mavi anayo ila akili ya kusafisha hana, anaamshwa ili atoe uchagu anazingua ni aibu sana sana