Ama kweli najuta, sitasahau hii tarehe 20/08/2022

Ama kweli najuta, sitasahau hii tarehe 20/08/2022

Vyote vilitokea niliondoka chumbani nilihamisha vitu vyangu, nikaenda kutoa taarifa, Cha ajabu kurudi nikiwa na wahudumu kajilaza tena akili ya kutolalia mavi anayo ila akili ya kusafisha hana, anaamshwa ili atoe uchagu anazingua ni aibu sana sana
Sasa kalewa hajitambui???

Ni Gf wako wa kila siku au umeokota tu??
 
daah kwa hii lugha nikisikiaga inatia kinyaa punguza ukali wa maneno sio poa kabisa
 
Mkuu bila shaka hilo goma uliopoa ukiwa vyombo sana, ukajikuta umejiuzia Mbuzi kwenye gunia.
Pole sana.
 
Daah kwahyo umelinywesha hata kupiga hujapiga


Ungeziba pua ukapiga kubishi bishi kufidia hela yako ona sasa umeingia loss
 
Nilikimbia alivokunya mavi ya bia nikawahi kukusanya vyangu, ajabu akawa anaona kawaida tu anasema mnashangaa kunya na ujambazi je? Eti kunya kawaida salale nimejuta
Yaani wewe na kimeo chako mnatakiwa viboko matakoni na pilipili kichaa mbele ya kadamnasi ,
 
Sitasahau, imetokea 20.08.2022 somewhere. Demu nimnywesha bia tukaenda lodge, sijafanya chochote nae katoa bonge la kojo hapohapo bed.

Nikazira, nikajitenga kwa chini, shortly baada ya lisaa nasikia pwaah nauliza umejisaidia au umejamba? Kustuka kaamka kaenda chini kaongeza kujisaidia, kahamia upande mwingine kaendeleza kunya, na kojo lingine la nguvu.

Kumbuka chumba kina choo ndani, sijagusa ndogo na wala situmii. Haogopi hajaenda choo kasogea pembeni kaacha kila kitu kajilaza tena kajifunika anapiga usingizi, kinyesi chote yapo kama kawa. Hatari sana najuta najuta.

Nilikimbia chumba alivokunya!!

Nikaenda kutoa taarifa haraka sana
Rubbish
 
Vyote vilitokea niliondoka chumbani nilihamisha vitu vyangu, nikaenda kutoa taarifa, Cha ajabu kurudi nikiwa na wahudumu kajilaza tena akili ya kutolalia mavi anayo ila akili ya kusafisha hana, anaamshwa ili atoe uchagu anazingua ni aibu sana sana
mwongo mkubwa ww eti wamkute kanya wamuache
 
Back
Top Bottom