Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Sema hivii wale waovu wa wizi kwenye mabox ya kula wamezidiwa kete na wapenda haki na wanaoamini uwepo wa Mungu kwa uhalisia.
kwahivyo,
unataka kusema wale mawakili waliongombe na ambao hawakugombea,na waliokusanyika hapa Dodoma sio wapenda haki, na hawamuamini Mungu right?πŸ’
 
Usipoangalia utawehuka siku sio nyingi. Nakushauri mambo ambayo huyajui Wala kuyafahamu uwe unakaa kimya kuliko kujidhalilisha.
 
Usipoangalia utawehuka siku sio nyingi. Nakushauri mambo ambayo huyajui Wala kuyafahamu uwe unakaa kimya kuliko kujidhalilisha.
umekosa hoja, mawazo mapya wala fikra mbadala umekuja na mihemko tu,

si ungerilax ufanye kazi ingine au upumzike tu gentleman kuliko kuja kuonyesha uchovu wako kwenye hoja iliyokomezani πŸ’ πŸ’
 
TLS nayo ipo tu sijawahi kuona impact yake amepita Lissu Fatuma karume nini kimebadirika imebadirisha nini kwenye Nchi vyama hivi nikama vyama vya serikali pia ikishakua Rais mfumo kama unakubana
 
kwahivyo,
unataka kusema wale mawakili waliongombe na ambao hawakugombea,na waliokusanyika hapa Dodoma sio wapenda haki, na hawamuamini Mungu right?πŸ’
Hiviii,chawa na mabosi wao wanapandikiza chawa mamluki kwenye sehemu za maamuzi muhimu hata kwa wizi kwenye mabox ya kula ili waendelee kula kwa urefu wa kamba hata kuvimbiwa bila kusumbuliwa na yeyote ila kwa kuimbiwa mapambio na chawa wao wezi washirika.
 
Huyu jamaa nilimuona ni bright person kumbe ni mswahili mwenzetu
bright clan hatunaga mbambamba,
tunatoa hoja za maana kitaalamu zaidi na kwakweli ndio maana daima tuko sambamba na wananchi tunasonga mbele pamoja bila kujali fulani kapenda au kachukizwa na uzito au umuhimu wa hoja mahususi mezani πŸ’

by the way,
boss mpya TLS is no more an activist nor politician, he is done, he is no more relevant in political scene politically speaking πŸ’
 
Hopeless human being ever existed
 
achana na Imani potofu na za kishirikina, ule ulikua uchaguzi wa chama cha mawakili Tanzania πŸ’

Imani za kinyumbu na kichawa ni vema mkabaki nazo kwenye vyama vyenu vya ushirika πŸ’
 
Ugonjwa wa Vichaa duniani hawezi kuisha mpaka hapo teknologjia ya Biolojia itakapo fikia hatua hiyo.
 
Rubbish. Huko CCM kila mtu ana ndevu, ni kama kambale tu.
relax gentleman,
ni vizuri kutumia mihemko kupambana na vibaka huko mtaani...

hapa ni majadiliano kwa hoja, maoni na mitazamo ya kizalendo bila kujali vyama na kwakweli bila mihemko πŸ’

boss mpya TLS kaangushiwa jumba bovu πŸ’
 
achana na Imani potofu na za kishirikina, ule ulikua uchaguzi wa chama cha mawakili Tanzania πŸ’

Imani za kinyumbu na kichawa ni vema mkabaki nazo kwenye vyama vyenu vya ushirika πŸ’
Shauri yako shauri yenu huu ni ushauri adimu kwa machawa na wala kwa urefu wa kamba hata kuvimbiwa.Usije sema hukuambiwa usije laumiwa na chawa,usije laumiwa na wala kwa urefu wa kamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…