Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali


Acha Ufala, sisi hatuna specie hizo huku, na wahutu walau wanajielewa ndo maana utashangaa hata serikalini mifumo inawanutralize Watusi kuliko wahutu hapa Tz you know why? You are fools

Acha Ufala, sisi hatuna specie hizo huku, na wahutu walau wanajielewa ndo maana utashangaa hata serikalini mifumo inawanutralize Watusi kuliko wahutu hapa Tz you know why? You are fools
Sasa kama hakuna why are you concerned? Soma historia kabla yakuropokwa IQ yako ndogo ndio maana huwezi kudebate bila matusi.
 
nimeandika wahutu.
vingine fanya mwenyewe research
mimi siongelei maugomvi yao hapa.
Wale.....wa kufanya unyama kule karagwe,bihamuro,kibondo,kasulu,murongo,nyakanazi,benako,ngara mjini,mulushaka ns maeneo mengine.........sio wahutu pekee......sababu hakuna alama ya kusema huyu muhutu na wahutu sio kabila sababu hawana lugha au alama.......ni mchanganyiko wa jamii zote za kirundi na kinyarwanda...!!!!
Akiwa mwembamba mrefu ataitwa mtusi na akiwa mfupi mnene ataitwa muhutu.!!!!
Huna hakika na maelezo yako......maana sisi ni wakazi wa maeneo hayo uliyoyataja
 
Rwanda hata hela yake ina thamani kuliko ya kwetu
Hela ya Korea kusini ina thamani sawa na ya kwetu ila Korea kusini imeendelea kuliko bara zima la AFRIKA.
Thamani ya pesa sio kipimo sahihi cha nguvu ya uchumi wa nchi.
 
Yaani demokrasia na Urusi wapi na wapi? Urusi ni taifa la kidikteta sasa nashindwa kuelewa unaposema wanataka kuleta demokrasia.
 
Nakujibu ifuatavyo.......wewe hujawahi kuishi rwanda......umeongea pointi za kwenye magazeti.
Ni kweli Rwanda haiwezi kuishinda SAR au SADC....na pia ukweli ni kwamba Ujerumani hainunui silaha nzito SAR......kama zipo zitaje afu wadau wa uwanja wa vita....tutakuambia hizo silaha ni nzito au nyepesi na tutakuambia pia ni za daraja lipi
.Lakini hujui chochote kuhusu vurugu za ukanda wa maziwa makuu hujawahi kuishi huko zaidi ya kuleta habari za kusoma magazetini na sio uhalisia.
Kusema Israel ni bingwa wa propaganda huo ni uongo.....sababu ipo wazi kati ya MAYAHUDI NA MAARABU nani bingwa wa propaganda....since 1958.Na kwa maelezo yako msimamo wako kati ya waarabu na wayahudi unaonekana wazi unaegemea upande upi.
Ufanisi wa mambo hasa ya kivita au usalama,sio mambo ya muziki au siasa,na haupimwi na views za Instagram...ambazo zinaweza kufojiwa.
 
Israel inayofichwa nyuma ya USA na UK??
Hao wavaa kobazi anaopigana nao wanadunduliza silaha ila yeye akiishiwa silaha USA ishapaki manowari ikimpea silaha na pesa za vita.
Israel bila USA na Westerns ni kama bumunda tu.
Hata hao wavaa kobazi wananunua silaha toka kwa wazungu wa USA na URUSI.......!!!
Hayo ni maneno ya mfa maji......sababu hata nchi zooote za waaarabu zilizopigana na wayahudi mpaka leo zinanunua silaha kwa wazungu wa marekani na urusi...!!
 
Hii nishasikia. Ukioa mtusi fahamu watoto sio wako mwanamke atasepa nao muda wowote.
 
Afu mkuu nisaidie kitu na unitajie ni sehemu gani mwaka 1998 majeshi ya Zimbabwe yaliyashinda majeshi ya Rwanda.....ebu tukumbushe hiyo battle ilifanyika eneo gani na ZDF walitumia aina gani za ndege kuwashinda hao wanyarwanda.......???
Maana tulikuepo kule mwaka 1998 na mzee wetu wa UDSM Profesa Dia Wamba na tulishuudia yote mpaka fierce battle ya Kisangani.
Ambapo tulicount maiti 600 wa wanajeshi wa Rwanda na maiti 248 za wanajeshi wa UPDF.
Na maiti za raia 1900 wasiokua na hatia.......!!!!!
 
Proved imhotep zitto junior
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…