Amani imetoweka moyoni mwangu, Co Worker wa kiume na mke wangu wapo karibu sana, nichukue uamuzi gani?

Amani imetoweka moyoni mwangu, Co Worker wa kiume na mke wangu wapo karibu sana, nichukue uamuzi gani?

Itakuwa akifika home anaweka kindege (flight mode) hahaaaa
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Lengo la kutaka kujua ni lipi? Kwamba utaachana na mkeo ukigundua anacheat au unataka kumrudisha kwenye mstari??

1. Kama hauna mpango wa kuachana nae, basi hakuna haja ya kuendelea kumchunguza, mwambie kwamba hupendi ukaribu uliopo kati yake na huyo co-worker. Maana ni samaki mkunje, angali mbichi.

2. Ila kama unampango wa kuachana nae ukigundua anacheat, basi mpige chini mapema tu. Maana ukweli ni kwamba Kila mtu anasiri zake, pengine hata wewe unazo. Hivyo ukimchunguza, unaweza gundua na mengine ambayo hukuyadhania.

3. Njia zote hapo juu zitakupa stress, njia rahisi ni kutulia uache Kila kitu kiende naturally. Mapenzi ni kama maiti baharini, haiwezi kujificha kwa muda mrefu. Itaibuka tu. Kama kuna kitu kibaya anafanya, mpe muda, kitakuwa hadharani.
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Ukute najibu ila namjibu baba angu, ina mana leo nina akil ya kumshauri baba kuhusu mama, nisamehe.

Ila kwa jambo lako, inaonekana humuamin mama ndo mana ukaweka beki amlinde, pili ukaribu wa huyo mate wake umeharibu hisia zako na umetaman uhukumu kwa hisia za kuhis usicho na uhakika nacho, tatu we ni baba unatutisha sisi wanao, kama maamuz huongozwa na hisia.

Be a man, fanya unachoona ni sahihi.
 
Suluhisho ni kuachana na mwanamke kama una ushahidi wa wazi wa usaliti.

Mwanaume ama huyo co worker huna sababu ya kugombana nae kwa sababu hajambaka mke wako, amemtongoza na mkeo akakubali.

Ukikorofishana na huyo, atakuja co worker mwingine atamtafuna.

Deal with the source.
Hajasema kamtongoza kasema wanaongozana au umesoma story nyingine bro ?

Mshauri kiume asiwe mtu wa kuhukumu kwa hisia kama mwanamke.

Kama ana ushahidi afanye anachoona ni sahihi.
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Na wewe anzisha ukaribu na mke wa jamaa, mtafute kwa gharama yeyote. Thanks me later
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Ushauri wa Bure
USIMCHUNGUZE MTU AMBAYE HUWEZI KUMUACHA..!!
 
Ushahidi hakuna huenda ni wasiwasi wako tu kama vipi ongea naye kwa kina.
 
Ukisimama nchale, ukikaa nchale 🤣🤣🤣
 
Funga kamba piga shoka moja kichwani.. oh sorry utanyongwa
 
📌📌📌📌📌

Screenshot_20230827_065442_Chrome.jpg
 
Kuna mwamba mmoja humu JF liandika juzi kuwa wake zenu ndio wake zake ofisini na kwamba Kuna matusi Mengi sana yanaendelea ikiwemo cha fasta,kushikana Tako,matiti na kutiana vidole Hadi watu wanalowaaa.Huyo manzi Yako kashaliwa sana,kama sio ofisini humo humo basi kwenye gari,piga moyo konde kausha kiume,maana ukilogwa kumwambia ndio umempoteza
 
Co-worker ni mtu mnaefanya nae kazi

Ni kwamba nina informer/ mpelelezi ambae ni rafiki yangu wanafanya kazi sehemu moja na wife.

Recently kuna jamaa kaletwa hapo kutoka mkoa mwengine na wamekuwa close sana na mke wangu, details nilizopata ni walisoma chuo kimoja mke wangu akiwa mwaka wa kwanza na huyo mwengine akiwa wa tatu.

tukiwa nyumbani sijawai kuona yupo bizi anachat na huyo jamaa ama simu zinaita anazokata ama kuongelea nje, nadhani bila mpelelezi wangu nisingejua chochote.

Huko kazini wamekuwa team hupenda kuongozana wao wawili kufatilia ishu za benki, manunuzi, kufatilia wateja wa shirikika, kwenda lunch, n.k. huwa wanatumia gari ya jamaa. hili niliwahi kulihakikisha mwenyewe mara mbili.

Kuna siku nilichukua simu yake kimya kimya nikasechi namba ya huyo jamaa niliyopewa na informer, Huwezi amini mara ya mwisho kwenye meseji za kawaida na whatsaoo lakini nilitahamaki chats zao ni chache sana na chats za mwisho zina wiki na ni mambo ya kikazi tu, nikasechi sechi jina la huyo cowrker na message zingine hata alizosevu majina ya ndugu ila sikuambulia kitu, Napata mashaka zaidi maana haiwezekani mtu uwe nae karibu msiwasiliane, Nahisi mke wangu ana simu ya pili ama kanizidi ujanja wa teknolojia kuficha mawasiliano maana anajua naijua password yake,

Najua fika kwa jinsi tulivyo wanaume hapo kuna mambo ya ziada yanaendelea.

Niwe mkimya niendelee kukusanya data nipate ushahidi huku nachohisi kikiendelea kikishamiri ? Nimwambie mke wangu kwamba akae mbali na huyo co worker ? Nimwachishe kazi ? Niende kum confront huyo mwenzake ? Nikubaliane na hali nikaushe ? Niachane na mke ? Niwashirikishe ndugu wa mke wanisaidie,,,,,,,,,,,,,,

NICHUKUE UAMUZI GANI WENYE HEKIMA NA BUSARA?
Hata, ukimwambia haisaidii bro! Mtoto wa, kike,hachungwi, akiamua kutoa tunda, hutajua!
Vile vile, unaweza, kukuta hakuna kinachoendelea, ni, urafiki tu, na, utani, mwingi(Ila, huo, utani, hawezi, kufanya mbele yqko) huku, makazini,wake za, watu wanakumbatiwa, wanatamkiwa, maneno sexy vibaya sana
 
Jambo ukishaliwaza sana sana linakuwa limeshavuka asilimia 51 za kuwa ni kweli.

Unajua hata wavumbuzi hutumia hiyo mbinu.

Kuna mke wa mtu aliwahi kumwekea masharti mchepuko wake kuwa usinitafute mpaka Mimi nimekutafutia.

Wasiwasi wako usiupuuze Kwa sababu wanandoa Huwa wanabond kiroho, kama uko kiroho sana hata wakati anakusaliti unaweza kuuhisi huo wakati, vile vitendo vinafanyika.
 
Unapooa jua kabisa kuwa utaliwa tu.....pili acha kumfuatilia kabisa mkeo...tatu pole sana...
 
Back
Top Bottom