Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kuna tetesi nyingi baada ya msiba wa baba, baba wadogo na marafiki wa baba waliweka vikao vya siri. Wakipinga katakata mama asiwe msimamizi wa mirathi. Wakisisitiza uwezo wake ni mdogo kuongoza nyumba kubwa yenye watoto watukutu.

Ila wajomba wakongwe walimkingia kifua. Wakiamini kuwa baba wadogo wana tamaa.

Nimejifunza kitu kuhusiana na mitazamo ya mama sasa. Ni kama kila upande kati ya wajomba na baba wadogo unampeleka unavyotaka tena kwa vitu visivyoendana na kujikuta akitoa kauli na ahadi nzuri kama mjomba na kuja kufanya vilevile kama baba.

Ahadi za uongo na kauli tata zimekuwa nyingi zikidhihilisha uwenda kuna vitu vingi havijui kiundani. Na labda hakuwa na uwezo wakuongoza kaya kweli.

1. Mwaka wa jana aliahidi kupunguza kodi kwa asilimia 2. Kwenye ujira Sawa na alivyofanya marehemu baba miaka miwili nyuma. Ila asilimia mbili ya baba ikawa ni tsh 55,000/- nyongeza cash ya mshahara kwa mtu aliyepokea milion 1. Ila hiyo hiyo asilimia mbili punguzo la mama likaongeza tsh 2000/-(elfu mbili tu) cash. Watu wakiuliza eti hamjui hesabu.

2. Alianza kutoa haki ya ujira kukua kwa wakati na nyongeza halisi ila sasa upandaji unarudi kwa mafungu kama alivyofanya baba.

3 . Nilisikia kauli tata kuhusu walimu. Wana elimu ndogo, hawajitumi, mikataba yao iwe ya muda eti wawe vibarua. Hii kauli ningeisikia kwa marehemu baba nisingeshangaa kabisa. Lkn mh!
-Hajui kumnanga mwalimu moja ni kushusha heshima ya walimu wote.
-Hajui historia ya walimu wa UPE. Kwa wakati wao walivyosaidia nchi.
  • Hajui upungufu mkubwa sana wa walimu vijijini ambapo sasa mwalimu moja hufanya kazi za walimu wawili
  • Hajui walimu ni kada yenye maslahi duni na mazingira duni kuliko kada yoyote.
  • Mwalimu hana posho yoyote. Ni mshahara tu. Polisi, majeshi, madereva, Makatibu mitasi, Kada za afya wanapata vipato vingi kupitia program nyingi sana kama Resheni laki tatu kwa mwezi, program za tohara, uzazi salama, chanjo, elimu za uzazi, uzazi wa mpango, vikao, semina, washa, safari. Mwalimu ni yeye na kimshahara chake kidogo tu lkn mama haoni hilo.

4. Hili la asilimia 23.3 hapana. Mwaka 2015 JK aliwaacha na asilimia 8 tu. Ndio iliyotamkwa. Lkn watu waliona vitu vikubwa na vyakushangaza. Ila hii asilimia 23,3 ukweli kwa wenye mishahara ya milion 1.5 bora tu angewawekea ile annualy increment.

Impact ya mishahara na ajira za serikali ni kubwa kwa uchumi. Kila hela inayokuja kama mshahara au posho uongeza mzunguko wa fedha kwa mtaani. Watumishi wa umma hubaki na hizo hela kwa siku 21 tu na kisha zote kuingia mtaani. Huko huzunguka na uongeza uwezo wa serikali kukushanya mapato. Hakuna mtumishi wa kuzifungia fedha hizo ndani.

Ni uoga kudhani nyongeza ndogo za mshahara inaweza kufilisi nchi kwa kiasi hicho.

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)
 
Wakati umefika wafanyakazi kuanza kudai annual increment tu kila mwaka kuachana na hizi nyongeza za kisanii

Ukiacha hizi nyongeza zinaleta sana inflation lakini hazina mchango wowote kwenye utumishi wa mtumishi wa umma anzia kuongezeka kwa Pension n.k

Annual Increment nadhani hii tupambane ipatikane kila mwaka
Tukatae nyongeza za kisanii zinatugharimu
 
Mimi sio mwalimu ila swala la kuwananga na kuwasema vibaya walimu linaniboa

Kuna mwana kapiga one o-level Tena mwaka mgumu ule 2012 na six PCM kapiga one ila ni mwalimu sasa inakuwaje unawadharau hawa watu

Kwanini watu wajinga kupenda kujumuisha ili kundi mbona mimi naenda sana vijijini na hata mjini niliposoma nimerudi juzi kati walimu 90% walionifundisha wamejenga na familia zao zipo vizuri wengine Wana vigari vya kupiga misele town
 
Ni kawaida watu wakileta hoja hapa dhidi ya serikali mijadala huingiliwa na watu kwa kuibinafsisha ama kwa BAVICHA ama kwa dini mojawapo kubwa.

Kwa hiyo ni kumaanisha kuwa wananchi wamewagawa katika makundi mawili ama CCM ama BAVICHA. Kwamba CCM huwa wameridhika na kila kitu kinachofanywa na serikali na BAVICHA wanasubiri kukosoa kila kitu.

Ama kama ukiwasema watu wa dini fulani basi ni kwa vile uko dini nyingine. Kwamba John akifanya mabaya basi wale wa dini yake wanaridhika tu.

Hapo nyuma tuliona suala la ukabila likitumika sana.
Watanzania tumeshindwa kujibu hoja kwa hoja hadi tuwagawe watu kwa itikadi au ukabila ili tuungwe mkono hata kama hatuna hoja?

Siku moja mtaleta balaa maana matatizo ni ya kweli na hayajui itikadi
Bukoba bado wananchi wengi ni wachafu, wanaliwa na funza miguuni, wahaya wako level za waha wa Kigoma
 
MUNGU wa mbinguni aliyemfekelea mbali yule ndiye aliyeruhusu huyu awe mrithi, MUNGU ndiye aliyechakata njia za huyu kuwa mrithi baada ya matendo ya yule kujaa uovu
MUNGU hapingwi, haojiwi....
MUNGU amemtaka Samia awe rais na itabaki hivyo
 
Umefanikiwa kutengeneza kikao cha BAVICHA kukutanika subiri wakutanike kufarijiana hatma ya DJ baada ya Kingai kuwa DCI
 
Ni kawaida watu wakileta hoja hapa dhidi ya serikali mijadala huingiliwa na watu kwa kuibinafsisha ama kwa BAVICHA ama kwa dini mojawapo kubwa.

Kwa hiyo ni kumaanisha kuwa wananchi wamewagawa katika makundi mawili ama CCM ama BAVICHA. Kwamba CCM huwa wameridhika na kila kitu kinachofanywa na serikali na BAVICHA wanasubiri kukosoa kila kitu.

Ama kama ukiwasema watu wa dini fulani basi ni kwa vile uko dini nyingine. Kwamba John akifanya mabaya basi wale wa dini yake wanaridhika tu.

Hapo nyuma tuliona suala la ukabila likitumika sana.
Watanzania tumeshindwa kujibu hoja kwa hoja hadi tuwagawe watu kwa itikadi au ukabila ili tuungwe mkono hata kama hatuna hoja?

Siku moja mtaleta balaa maana matatizo ni ya kweli na hayajui itikadi
Ulilazimishwa kumtetea? Mtetee mama yako si yupo? Kwani SSH alikuomba umtetee?
 
Ee mungu baba pokea sala za jamaa hawa toka maweo hadi machweo ili huyu mja wako anayesema uongo umuite kwako,
 
Kuna tetesi nyingi baada ya msiba wa baba, baba wadogo na marafiki wa baba waliweka vikao vya siri. Wakipinga katakata mama asiwe msimamizi wa mirathi. Wakisisitiza uwezo wake ni mdogo kuongoza nyumba kubwa yenye watoto watukutu.

Ila wajomba wakongwe walimkingia kifua. Wakiamini kuwa baba wadogo wana tamaa.

Nimejifunza kitu kuhusiana na mitazamo ya mama sasa. Ni kama kila upande kati ya wajomba na baba wadogo unampeleka unavyotaka tena kwa vitu visivyoendana na kujikuta akitoa kauli na ahadi nzuri kama mjomba na kuja kufanya vilevile kama baba.

Ahadi za uongo na kauli tata zimekuwa nyingi zikidhihilisha uwenda kuna vitu vingi havijui kiundani. Na labda hakuwa na uwezo wakuongoza kaya kweli.

1. Mwaka wa jana aliahidi kupunguza kodi kwa asilimia 2. Kwenye ujira Sawa na alivyofanya maremu baba miaka miwili nyuma. Ila asilimia mbili ya baba ikawa ni tsh 55,000/- nyongeza cash ya mshahara kwa mtu aliyepokea milion 1. Ila hiyo hiyo asilimia mbili punguzo la mama likaongeza tsh 2000/-(elfu mbili tu) cash. Watu wakiuliza eti hamjui hesabu.

2. Alianza kutoa haki ya ujira kukua kwa wakati na nyongeza halisi ila sasa upandaji unarudi kwa mafungu kama alivyofanya baba.

3 . Nilisikia kauli tata kuhusu walimu. Wana elimu ndogo, hawajitumi, mikataba yao iwe ya muda eti wawe vibarua. Hii kauli ningeisikia kwa marehemu baba nisingeshangaa kabisa. Lkn mh!
-Hajui kummanga mwalimu moja ni kushusha heshima ya walimu wote.
-Hajui historia ya walimu wa upe. Kwa wakati wao walivyosaidia nchi.
  • Hajui upungufu mkubwa sana wa walimu vijijini ambapo sasa mwalimu moja hufanya kazi za walimu wawili
  • Hajui walimu ni kada yenye maslahi duni na mazingira duni kuliko kada yoyote.
  • Mwalimu hana posho yoyote. Ni mshahara tu. Polisi, majeshi, madereva, Makatibu mitasi, Kada za afya wanapata vipato vingi kupitia program nyingi sana kama Resheni laki tatu kwa mwezi, program za tohara, uzazi salama, chanjo, elimu za uzazi, uzazi wa mpango, vikao, semina, washa, safari. Mwalimu ni yeye na kimshahara chake kidogo tu lkn mama haoni hilo.

4. Hili la asilimia 23.3 hapana. Mwaka 2015 Jk aliwaacha na asilimia 8 tu. Ndio iliyotamkwa. Lkn watu waliona vitu vikubwa na vyakushangaza. Ila hii asilimia 23,3 ukweli kwa wenye mishahara ya milion 1.5 bora tu angewawekea ile anualy increment.


Ipact ya mishahara na ajira za serikali ni kubwa kwa uchumi. Kila ela inayokuja kama mshahara au posho uongeza mzunguko wa fedha kwa mtaani. Watumishi wa umma hubaki na hizo ela kwa siku 21 tu na kisha zote kuingia mtaani. Huko huzunguka na uongeza uwezo wa serikali kukushanya mapato. Hakuna mtumishi wa kuzifungia fedha hizo ndani.

Ni uoga kudhani nyongeza ndogo za mshahara inaweza kufilisi nchi kwa kiasi hicho.

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)
Kuna watu humu wanawaza 2025, kiuhalisia yanahitajika mabadiliko ya haraka, maana mwaka wake mmoja ni kama miaka 10.
 
walimu ndio wanamishahara duni, unauhakika na ulichoandika?
 
MUNGU wa mbinguni aliyemfekelea mbali yule ndiye aliyeruhusu huyu awe mrithi, MUNGU ndiye aliyechakata njia za huyu kuwa mrithi baada ya matendo ya yule kujaa uovu
MUNGU hapingwi, haojiwi....
MUNGU amemtaka Samia awe

Kuna tetesi nyingi baada ya msiba wa baba, baba wadogo na marafiki wa baba waliweka vikao vya siri. Wakipinga katakata mama asiwe msimamizi wa mirathi. Wakisisitiza uwezo wake ni mdogo kuongoza nyumba kubwa yenye watoto watukutu.

Ila wajomba wakongwe walimkingia kifua. Wakiamini kuwa baba wadogo wana tamaa.

Nimejifunza kitu kuhusiana na mitazamo ya mama sasa. Ni kama kila upande kati ya wajomba na baba wadogo unampeleka unavyotaka tena kwa vitu visivyoendana na kujikuta akitoa kauli na ahadi nzuri kama mjomba na kuja kufanya vilevile kama baba.

Ahadi za uongo na kauli tata zimekuwa nyingi zikidhihilisha uwenda kuna vitu vingi havijui kiundani. Na labda hakuwa na uwezo wakuongoza kaya kweli.

1. Mwaka wa jana aliahidi kupunguza kodi kwa asilimia 2. Kwenye ujira Sawa na alivyofanya maremu baba miaka miwili nyuma. Ila asilimia mbili ya baba ikawa ni tsh 55,000/- nyongeza cash ya mshahara kwa mtu aliyepokea milion 1. Ila hiyo hiyo asilimia mbili punguzo la mama likaongeza tsh 2000/-(elfu mbili tu) cash. Watu wakiuliza eti hamjui hesabu.

2. Alianza kutoa haki ya ujira kukua kwa wakati na nyongeza halisi ila sasa upandaji unarudi kwa mafungu kama alivyofanya baba.

3 . Nilisikia kauli tata kuhusu walimu. Wana elimu ndogo, hawajitumi, mikataba yao iwe ya muda eti wawe vibarua. Hii kauli ningeisikia kwa marehemu baba nisingeshangaa kabisa. Lkn mh!
-Hajui kummanga mwalimu moja ni kushusha heshima ya walimu wote.
-Hajui historia ya walimu wa upe. Kwa wakati wao walivyosaidia nchi.
  • Hajui upungufu mkubwa sana wa walimu vijijini ambapo sasa mwalimu moja hufanya kazi za walimu wawili
  • Hajui walimu ni kada yenye maslahi duni na mazingira duni kuliko kada yoyote.
  • Mwalimu hana posho yoyote. Ni mshahara tu. Polisi, majeshi, madereva, Makatibu mitasi, Kada za afya wanapata vipato vingi kupitia program nyingi sana kama Resheni laki tatu kwa mwezi, program za tohara, uzazi salama, chanjo, elimu za uzazi, uzazi wa mpango, vikao, semina, washa, safari. Mwalimu ni yeye na kimshahara chake kidogo tu lkn mama haoni hilo.

4. Hili la asilimia 23.3 hapana. Mwaka 2015 Jk aliwaacha na asilimia 8 tu. Ndio iliyotamkwa. Lkn watu waliona vitu vikubwa na vyakushangaza. Ila hii asilimia 23,3 ukweli kwa wenye mishahara ya milion 1.5 bora tu angewawekea ile anualy increment.


Ipact ya mishahara na ajira za serikali ni kubwa kwa uchumi. Kila ela inayokuja kama mshahara au posho uongeza mzunguko wa fedha kwa mtaani. Watumishi wa umma hubaki na hizo ela kwa siku 21 tu na kisha zote kuingia mtaani. Huko huzunguka na uongeza uwezo wa serikali kukushanya mapato. Hakuna mtumishi wa kuzifungia fedha hizo ndani.

Ni uoga kudhani nyongeza ndogo za mshahara inaweza kufilisi nchi kwa kiasi hicho.

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)
Mulimtetea au alitetewa na katiba?
 
Huwezi kumridhisha kila mtu duniani.

Hakuna mwajiriwa tajiri, ili uwe mwajiriwa tajiri lazima uwe mwizi au uwe na extra business nje ya kazi.

Taifa hili ili liendelee, watu wake wanapaswa kuacha mawazo ya uchuuzi bali wajikite kwenye matumizi ya akili na kutumia rasirimali walizopewa kufanya uzarishaji mfano, kilimo, uchimbaji wa madini, uzarishaji wa bidhaa za viwandani. nk
 
Back
Top Bottom