Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)[/QUOTE]

Mama afuate sera za baba? unatamani sana kubinywa uhuru wa habari eeee? Je huu upuuzi ungeuandika na kujiona salaama kama yangekua yanatendeka hayo?
Kama unapenda kupotea potea wewe.

Hayo unayo yatamani baba aliyaweza , lakini hayakumsaidia. vyombo vya habari vilifungiwa kwa muda usiyo julikana , watu wakatumbuliwa wengine bila hatia , Lejea yule mama kagera alie takiwa kutaja pesa za road fund, kwa kukarili kama watoto wadogo wanavyo karili table.

Wakupotea wakapotea , hata mkaguzi mkuu wafamilia akaitwa kuhojiwa na bwana saboofer.

Je hii ilisaidia familia?
 
Nchi hii ni upuuzi tupu,

Wafanya kazi mmekuwa wanyonyaji wa wakulima!

Mkiongezwa mishahara, mnaanza kupigia kelele bei za vyakula eti vishuke na wala visiuzwe nje!!

Huu mi upumbavu na ni wizi, mnataka muendelee nyiyi peke yenu halafu mkulima awe masikini wa milele?

Mbona mkulima huwa halalamiki kama nynyi..?

Manina zenu kabisa
Waambie kabisa awamu hii kila mtu atakula jasho lake..

Hakuna kumfanya mkulima ngazi ya mtu hakuna.
 
Mi sio mwalimu ila swala la kuwananga na kuwasema vibaya walimu linaniboa kithenge yaani

Kuna mwana kapiga one olevel Tena mwaka mgumu ule 2012 na six pcm kapiga one ila ni mwalimu sasa inakuwaje unawadharau hawa watu

Kwa nn watu wajinga kupenda kujumuisha ili kundi mbona mi naenda sana vijijini na hata mjini niliposoma nimerudi juzi kati walimu 90% walionifundisha wamejenga na familia zao zipo vizuri wengine Wana vigari vya kupiga misele town
Kwa yeyote anaye jiona bora, na kumudharau mwalimu , jua Bado anakaujinga flani karibaki Tena kakubwa TU.

Bila hao walimu hakuna wataalam wa afya , bila wao hatuwezi pata wandishi, bila hao walimu , hatuwezi pata wataalam wa kilimo, kiujumla hata wanasiasa bora hawatakuepo.

Sector yeyote inategemea kupata wataalam waliofundishwa nawalim.

Sasa shangaa hao wanao wabedha na kuwadharau.
 
Sawa mbona mkapa na Kikwete waliwezaje kujaza pesa mtaani na miradi mikubwa kujengwa na wa kuiba wakaiba tu.

Kama mtumishi hapati maslahi bora ata ujiajili ela mtaani inakuwa chache sana
Hizo ni Hadithi kama Hadithi nyingine. Pesa haijawahi kujaa mtaani.

Kwa kiasi Kikwete alikuja na mpango wa kaya kujitosheleza kwa Cha kula .

Kaya masikini zilipata ruzuku ya pembejeo, hii ilichangia kuongeza uzalishaji wa mazao.

Na kupitia NFRA serikali iliweza Kununua mahindi na kujenga ushindani wabei hasa ya mahindi.
 
Kuna tetesi nyingi baada ya msiba wa baba, baba wadogo na marafiki wa baba waliweka vikao vya siri. Wakipinga katakata mama asiwe msimamizi wa mirathi. Wakisisitiza uwezo wake ni mdogo kuongoza nyumba kubwa yenye watoto watukutu.

Ila wajomba wakongwe walimkingia kifua. Wakiamini kuwa baba wadogo wana tamaa.

Nimejifunza kitu kuhusiana na mitazamo ya mama sasa. Ni kama kila upande kati ya wajomba na baba wadogo unampeleka unavyotaka tena kwa vitu visivyoendana na kujikuta akitoa kauli na ahadi nzuri kama mjomba na kuja kufanya vilevile kama baba.

Ahadi za uongo na kauli tata zimekuwa nyingi zikidhihilisha uwenda kuna vitu vingi havijui kiundani. Na labda hakuwa na uwezo wakuongoza kaya kweli.

1. Mwaka wa jana aliahidi kupunguza kodi kwa asilimia 2. Kwenye ujira Sawa na alivyofanya maremu baba miaka miwili nyuma. Ila asilimia mbili ya baba ikawa ni tsh 55,000/- nyongeza cash ya mshahara kwa mtu aliyepokea milion 1. Ila hiyo hiyo asilimia mbili punguzo la mama likaongeza tsh 2000/-(elfu mbili tu) cash. Watu wakiuliza eti hamjui hesabu.

2. Alianza kutoa haki ya ujira kukua kwa wakati na nyongeza halisi ila sasa upandaji unarudi kwa mafungu kama alivyofanya baba.

3 . Nilisikia kauli tata kuhusu walimu. Wana elimu ndogo, hawajitumi, mikataba yao iwe ya muda eti wawe vibarua. Hii kauli ningeisikia kwa marehemu baba nisingeshangaa kabisa. Lkn mh!
-Hajui kummanga mwalimu moja ni kushusha heshima ya walimu wote.
-Hajui historia ya walimu wa upe. Kwa wakati wao walivyosaidia nchi.
  • Hajui upungufu mkubwa sana wa walimu vijijini ambapo sasa mwalimu moja hufanya kazi za walimu wawili
  • Hajui walimu ni kada yenye maslahi duni na mazingira duni kuliko kada yoyote.
  • Mwalimu hana posho yoyote. Ni mshahara tu. Polisi, majeshi, madereva, Makatibu mitasi, Kada za afya wanapata vipato vingi kupitia program nyingi sana kama Resheni laki tatu kwa mwezi, program za tohara, uzazi salama, chanjo, elimu za uzazi, uzazi wa mpango, vikao, semina, washa, safari. Mwalimu ni yeye na kimshahara chake kidogo tu lkn mama haoni hilo.

4. Hili la asilimia 23.3 hapana. Mwaka 2015 Jk aliwaacha na asilimia 8 tu. Ndio iliyotamkwa. Lkn watu waliona vitu vikubwa na vyakushangaza. Ila hii asilimia 23,3 ukweli kwa wenye mishahara ya milion 1.5 bora tu angewawekea ile anualy increment.


Ipact ya mishahara na ajira za serikali ni kubwa kwa uchumi. Kila ela inayokuja kama mshahara au posho uongeza mzunguko wa fedha kwa mtaani. Watumishi wa umma hubaki na hizo ela kwa siku 21 tu na kisha zote kuingia mtaani. Huko huzunguka na uongeza uwezo wa serikali kukushanya mapato. Hakuna mtumishi wa kuzifungia fedha hizo ndani.

Ni uoga kudhani nyongeza ndogo za mshahara inaweza kufilisi nchi kwa kiasi hicho.

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)
Hama Nchi, sisi tunataka Rais ambae anaheshimu haki za binadamu na ambae hapendi kumwaga damu , Samia ndio Rais Hadi 2030
 
Huwezi kumridhisha kila mtu duniani.

Hakuna mwajiriwa tajiri, ili uwe mwajiriwa tajiri lazima uwe mwizi au uwe na extra business nje ya kazi.

Taifa hili ili liendelee, watu wake wanapaswa kuacha mawazo ya uchuuzi bali wajikite kwenye matumizi ya akili na kutumia rasirimali walizopewa kufanya uzarishaji mfano, kilimo, uchimbaji wa madini, uzarishaji wa bidhaa za viwandani. nk
Kwani kuna mtumishi wa mshahara yeyote amekuja kuomba ugali kwako...?

Wanafanya kazi kwa mikataba ya kulipia ujuzi wao. Hivyo ni haki ya wafanyakazi kudai haki yao ya malipo baada ya kufanya kazi..

By the way, hata uwe na hako " ka - business", hivi ni nani atakuja kununua hiyo huduma au bidhaa zako iwapo wafanyakazi hawana hela...?

Ungekuwa na akili sana kama ukiungana na wafanyakazi kupata mishahara bora kwa sbb ni kwa njia hiyo serikali hutoa pesa na kisha pesa hizo kusambaa mitaani hata kuwafikia ninyi kina Mangi na Wapemba wenye vujiduka vya kuuza sukari na sabuni...
 
Hama Nchi, sisi tunataka Rais ambae anaheshimu haki za binadamu na ambae hapendi kumwaga damu , Samia ndio Rais Hadi 2030
Una uhakika atafika 2030!!???
Umeona "diary" ya Muumba kuhusu Samia!!???
 
Mi sio mwalimu ila swala la kuwananga na kuwasema vibaya walimu linaniboa kithenge yaani

Kuna mwana kapiga one olevel Tena mwaka mgumu ule 2012 na six pcm kapiga one ila ni mwalimu sasa inakuwaje unawadharau hawa watu

Kwa nn watu wajinga kupenda kujumuisha ili kundi mbona mi naenda sana vijijini na hata mjini niliposoma nimerudi juzi kati walimu 90% walionifundisha wamejenga na familia zao zipo vizuri wengine Wana vigari vya kupiga misele town
Wanaowananga walimu wote ni watu wapumbavu kwa elimu zao.
 
Kuna tetesi nyingi baada ya msiba wa baba, baba wadogo na marafiki wa baba waliweka vikao vya siri. Wakipinga katakata mama asiwe msimamizi wa mirathi. Wakisisitiza uwezo wake ni mdogo kuongoza nyumba kubwa yenye watoto watukutu.

Ila wajomba wakongwe walimkingia kifua. Wakiamini kuwa baba wadogo wana tamaa.

Nimejifunza kitu kuhusiana na mitazamo ya mama sasa. Ni kama kila upande kati ya wajomba na baba wadogo unampeleka unavyotaka tena kwa vitu visivyoendana na kujikuta akitoa kauli na ahadi nzuri kama mjomba na kuja kufanya vilevile kama baba.

Ahadi za uongo na kauli tata zimekuwa nyingi zikidhihilisha uwenda kuna vitu vingi havijui kiundani. Na labda hakuwa na uwezo wakuongoza kaya kweli.

1. Mwaka wa jana aliahidi kupunguza kodi kwa asilimia 2. Kwenye ujira Sawa na alivyofanya maremu baba miaka miwili nyuma. Ila asilimia mbili ya baba ikawa ni tsh 55,000/- nyongeza cash ya mshahara kwa mtu aliyepokea milion 1. Ila hiyo hiyo asilimia mbili punguzo la mama likaongeza tsh 2000/-(elfu mbili tu) cash. Watu wakiuliza eti hamjui hesabu.

2. Alianza kutoa haki ya ujira kukua kwa wakati na nyongeza halisi ila sasa upandaji unarudi kwa mafungu kama alivyofanya baba.

3 . Nilisikia kauli tata kuhusu walimu. Wana elimu ndogo, hawajitumi, mikataba yao iwe ya muda eti wawe vibarua. Hii kauli ningeisikia kwa marehemu baba nisingeshangaa kabisa. Lkn mh!
-Hajui kummanga mwalimu moja ni kushusha heshima ya walimu wote.
-Hajui historia ya walimu wa upe. Kwa wakati wao walivyosaidia nchi.
  • Hajui upungufu mkubwa sana wa walimu vijijini ambapo sasa mwalimu moja hufanya kazi za walimu wawili
  • Hajui walimu ni kada yenye maslahi duni na mazingira duni kuliko kada yoyote.
  • Mwalimu hana posho yoyote. Ni mshahara tu. Polisi, majeshi, madereva, Makatibu mitasi, Kada za afya wanapata vipato vingi kupitia program nyingi sana kama Resheni laki tatu kwa mwezi, program za tohara, uzazi salama, chanjo, elimu za uzazi, uzazi wa mpango, vikao, semina, washa, safari. Mwalimu ni yeye na kimshahara chake kidogo tu lkn mama haoni hilo.

4. Hili la asilimia 23.3 hapana. Mwaka 2015 Jk aliwaacha na asilimia 8 tu. Ndio iliyotamkwa. Lkn watu waliona vitu vikubwa na vyakushangaza. Ila hii asilimia 23,3 ukweli kwa wenye mishahara ya milion 1.5 bora tu angewawekea ile anualy increment.


Ipact ya mishahara na ajira za serikali ni kubwa kwa uchumi. Kila ela inayokuja kama mshahara au posho uongeza mzunguko wa fedha kwa mtaani. Watumishi wa umma hubaki na hizo ela kwa siku 21 tu na kisha zote kuingia mtaani. Huko huzunguka na uongeza uwezo wa serikali kukushanya mapato. Hakuna mtumishi wa kuzifungia fedha hizo ndani.

Ni uoga kudhani nyongeza ndogo za mshahara inaweza kufilisi nchi kwa kiasi hicho.

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)
Hio watu kupotea atapotea mamako kwanza
 
Sababu za kutomtaka ni hizi

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
 
Mnalalamika nini na madaraja kawapandisha miaka mitano hapa mmekaa pakavu pelekeni unafiki huko
 
Kusema kweli walimu wapewe hata teaching allowance
Japo laki 3 kwa mwezi wapooze machungu
 
Kuna tetesi nyingi baada ya msiba wa baba, baba wadogo na marafiki wa baba waliweka vikao vya siri. Wakipinga katakata mama asiwe msimamizi wa mirathi. Wakisisitiza uwezo wake ni mdogo kuongoza nyumba kubwa yenye watoto watukutu.

Ila wajomba wakongwe walimkingia kifua. Wakiamini kuwa baba wadogo wana tamaa.



Ahadi za uongo na kauli tata zimekuwa nyingi zikidhihilisha uwenda kuna vitu vingi havijui kiundani. Na labda hakuwa na uwezo wakuongoza kaya kweli.

1. Mwaka wa jana aliahidi kupunguza kodi kwa asilimia 2. Kwenye ujira Sawa na alivyofanya marehemu baba miaka miwili nyuma. Ila asilimia mbili ya baba ikawa ni tsh 55,000/- nyongeza cash ya mshahara kwa mtu aliyepokea milion 1. Ila hiyo hiyo asilimia mbili punguzo la mama likaongeza tsh 2000/-(elfu mbili tu) cash. Watu wakiuliza eti hamjui hesabu.

2. Alianza kutoa haki ya ujira kukua kwa wakati na nyongeza halisi ila sasa upandaji unarudi kwa mafungu kama alivyofanya baba.

3 . Nilisikia kauli tata kuhusu walimu. Wana elimu ndogo, hawajitumi, mikataba yao iwe ya muda eti wawe vibarua. Hii kauli ningeisikia kwa marehemu baba nisingeshangaa kabisa. Lkn mh!
-Hajui kumnanga mwalimu moja ni kushusha heshima ya walimu wote.
-Hajui historia ya walimu wa UPE. Kwa wakati wao walivyosaidia nchi.
  • Hajui upungufu mkubwa sana wa walimu vijijini ambapo sasa mwalimu moja hufanya kazi za walimu wawili
  • Hajui walimu ni kada yenye maslahi duni na mazingira duni kuliko kada yoyote.
  • Mwalimu hana posho yoyote. Ni mshahara tu. Polisi, majeshi, madereva, Makatibu mitasi, Kada za afya wanapata vipato vingi kupitia program nyingi sana kama Resheni laki tatu kwa mwezi, program za tohara, uzazi salama, chanjo, elimu za uzazi, uzazi wa mpango, vikao, semina, washa, safari. Mwalimu ni yeye na kimshahara chake kidogo tu lkn mama haoni hilo.

4. Hili la asilimia 23.3 hapana. Mwaka 2015 JK aliwaacha na asilimia 8 tu. Ndio iliyotamkwa. Lkn watu waliona vitu vikubwa na vyakushangaza. Ila hii asilimia 23,3 ukweli kwa wenye mishahara ya milion 1.5 bora tu angewawekea ile annualy increment.

Impact ya mishahara na ajira za serikali ni kubwa kwa uchumi. Kila hela inayokuja kama mshahara au posho uongeza mzunguko wa fedha kwa mtaani. Watumishi wa umma hubaki na hizo hela kwa siku 21 tu na kisha zote kuingia mtaani. Huko huzunguka na uongeza uwezo wa serikali kukushanya mapato. Hakuna mtumishi wa kuzifungia fedha hizo ndani.

Ni uoga kudhani nyongeza ndogo za mshahara inaweza kufilisi nchi kwa kiasi hicho.

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)
= zikidhihirisha.

Porojo zote Kiswahili, lugha ya Taifa Tanzania, kinakupiga chenga.

Wewe ni Mtanzania kweli au fataani mmoja uliyetokea Rwanda Urundi?
 
Back
Top Bottom