Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Mimi sio mwalimu ila swala la kuwananga na kuwasema vibaya walimu linaniboa

Kuna mwana kapiga one o-level Tena mwaka mgumu ule 2012 na six PCM kapiga one ila ni mwalimu sasa inakuwaje unawadharau hawa watu

Kwanini watu wajinga kupenda kujumuisha ili kundi mbona mimi naenda sana vijijini na hata mjini niliposoma nimerudi juzi kati walimu 90% walionifundisha wamejenga na familia zao zipo vizuri wengine Wana vigari vya kupiga misele town
Halafu kwanza mbona Hasemi Jinsi kidato Cha sita walivyopiga Pepa mwaka huu? Aache dharau bhanaa
 
Back
Top Bottom