Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Nchi hii ni upuuzi tupu,

Wafanya kazi mmekuwa wanyonyaji wa wakulima!

Mkiongezwa mishahara, mnaanza kupigia kelele bei za vyakula eti vishuke na wala visiuzwe nje!!

Huu mi upumbavu na ni wizi, mnataka muendelee nyiyi peke yenu halafu mkulima awe masikini wa milele?

Mbona mkulima huwa halalamiki kama nynyi..?

Manina zenu kabisa
 
Huyu mama yao CCM akisababisha 2025 kwa uzembe wake SUKUMA GANG wachukuwe nchi Tena kwa mara ya pili , tutawaomba wasiojulikana kiroba Cha kwanza kuokotwa coco beach kiwe na mwili wake
 
Huyu mama yao CCM akisababisha 2025 kwa uzembe wake SUKUMA GANG wachukuwe nchi Tena kwa mara ya pili , tutawaomba wasiojulikana kiroba Cha kwanza kuokotwa coco beach kiwe na mwili wake
Mkuu usiwe na hofu Sukumagang tena hawana tena nguvu hiyo kwani wapo ktk uangalizi wa hali ya juu
 
Huwezi kumridhisha kila mtu duniani.

Hakuna mwajiriwa tajiri, ili uwe mwajiriwa tajiri lazima uwe mwizi au uwe na extra business nje ya kazi.

Taifa hili ili liendelee, watu wake wanapaswa kuacha mawazo ya uchuuzi bali wajikite kwenye matumizi ya akili na kutumia rasirimali walizopewa kufanya uzafishaji mfano, kilimo, uchimbaji wa madini, uzarishaji wa bidhaa za viwandani. nk
Sawa mbona mkapa na Kikwete waliwezaje kujaza pesa mtaani na miradi mikubwa kujengwa na wa kuiba wakaiba tu.

Kama mtumishi hapati maslahi bora ata ujiajili ela mtaani inakuwa chache sana
 
MUNGU wa mbinguni aliyemfekelea mbali yule ndiye aliyeruhusu huyu awe mrithi, MUNGU ndiye aliyechakata njia za huyu kuwa mrithi baada ya matendo ya yule kujaa uovu
MUNGU hapingwi, haojiwi....
MUNGU amemtaka Samia awe rais na itabaki hivyo
Bandiko la hovyo kabisa la siku!
 
Kuna tetesi nyingi baada ya msiba wa baba, baba wadogo na marafiki wa baba waliweka vikao vya siri. Wakipinga katakata mama asiwe msimamizi wa mirathi. Wakisisitiza uwezo wake ni mdogo kuongoza nyumba kubwa yenye watoto watukutu.

Ila wajomba wakongwe walimkingia kifua. Wakiamini kuwa baba wadogo wana tamaa.

Nimejifunza kitu kuhusiana na mitazamo ya mama sasa. Ni kama kila upande kati ya wajomba na baba wadogo unampeleka unavyotaka tena kwa vitu visivyoendana na kujikuta akitoa kauli na ahadi nzuri kama mjomba na kuja kufanya vilevile kama baba.

Ahadi za uongo na kauli tata zimekuwa nyingi zikidhihilisha uwenda kuna vitu vingi havijui kiundani. Na labda hakuwa na uwezo wakuongoza kaya kweli.

1. Mwaka wa jana aliahidi kupunguza kodi kwa asilimia 2. Kwenye ujira Sawa na alivyofanya maremu baba miaka miwili nyuma. Ila asilimia mbili ya baba ikawa ni tsh 55,000/- nyongeza cash ya mshahara kwa mtu aliyepokea milion 1. Ila hiyo hiyo asilimia mbili punguzo la mama likaongeza tsh 2000/-(elfu mbili tu) cash. Watu wakiuliza eti hamjui hesabu.

2. Alianza kutoa haki ya ujira kukua kwa wakati na nyongeza halisi ila sasa upandaji unarudi kwa mafungu kama alivyofanya baba.

3 . Nilisikia kauli tata kuhusu walimu. Wana elimu ndogo, hawajitumi, mikataba yao iwe ya muda eti wawe vibarua. Hii kauli ningeisikia kwa marehemu baba nisingeshangaa kabisa. Lkn mh!
-Hajui kummanga mwalimu moja ni kushusha heshima ya walimu wote.
-Hajui historia ya walimu wa upe. Kwa wakati wao walivyosaidia nchi.
  • Hajui upungufu mkubwa sana wa walimu vijijini ambapo sasa mwalimu moja hufanya kazi za walimu wawili
  • Hajui walimu ni kada yenye maslahi duni na mazingira duni kuliko kada yoyote.
  • Mwalimu hana posho yoyote. Ni mshahara tu. Polisi, majeshi, madereva, Makatibu mitasi, Kada za afya wanapata vipato vingi kupitia program nyingi sana kama Resheni laki tatu kwa mwezi, program za tohara, uzazi salama, chanjo, elimu za uzazi, uzazi wa mpango, vikao, semina, washa, safari. Mwalimu ni yeye na kimshahara chake kidogo tu lkn mama haoni hilo.

4. Hili la asilimia 23.3 hapana. Mwaka 2015 Jk aliwaacha na asilimia 8 tu. Ndio iliyotamkwa. Lkn watu waliona vitu vikubwa na vyakushangaza. Ila hii asilimia 23,3 ukweli kwa wenye mishahara ya milion 1.5 bora tu angewawekea ile anualy increment.


Ipact ya mishahara na ajira za serikali ni kubwa kwa uchumi. Kila ela inayokuja kama mshahara au posho uongeza mzunguko wa fedha kwa mtaani. Watumishi wa umma hubaki na hizo ela kwa siku 21 tu na kisha zote kuingia mtaani. Huko huzunguka na uongeza uwezo wa serikali kukushanya mapato. Hakuna mtumishi wa kuzifungia fedha hizo ndani.

Ni uoga kudhani nyongeza ndogo za mshahara inaweza kufilisi nchi kwa kiasi hicho.

Mama anapaswa kuamua. Kama anafata sera za baba basi afate kila kitu. Asiruhusu kukosolewa, abinye vyombo vya habari, afukuzefukuze, atishe watu, abinye Democrasia, watu wapotee.
Lkn hivihivi hatofika anapopataka

Au

Awaambie washauri dira yake, wamshauri afanye nini kufikia sio kuiacha. (Democracy, maslahi kwa watumishi, bei bora za mazao, bei nzuri ya pembejeo, haki)
open-minded people saw this coming post-death of the late Magufuli but you chose to call them haters and Sukuma gang just because she started doing things that Magufuli wasn't doing.
 
It's very sad that she's already or rather after her presidency's era she'll became our Mother of nation.
 
Hamkulijua hilo?sisi tulilijua hilo na huyu dikteta wenyu alikolazwa siku za mwisho, hata alipoaga.
Lakini kwa ubishi wa kitoto wenu huo mkatupuuza wakenya,bongolala mtakua mmebugi mmojawao huyu kalamaganda kabugi[emoji74][emoji74]aliyekuja huku kutuhubiria .Pamoja na baadhi.ya makada wakuu wa chama , hawakumtaka huyo mama kabisa na kuliandaliwa kikao kabisa ya kumchorea.Sema tu wakuu wa mgambo wenu tumewafundisha utiifu huku chuoni wakamsimamisha mama wima.
 
Serikali yenyu inawaona mafala sana.
Jamaa keshafwa kabisaa tunawachanueni mkabisha kwa nguvu mitandaoni.
Mkaambiwa jamaa yupo freshi barida yuachapa kazi...m*mae..
 
Wakati umefika wafanyakazi kuanza kudai annual increment tu kila mwaka kuachana na hizi nyongeza za kisanii
Ukiacha hizi nyongeza zinaleta sana inflation lakini hazina mchango wowote kwenye utumishi wa mtumishi wa umma anzia kuongezeka kwa Pension n.k
Annual Increment nadhani hii tupambane ipatikane kila mwaka
Tukatae nyongeza za kisanii zinatugharimu
Nakubaliana na wewe. Hizi nyongeza zinazokuja kwa matangazo ya biashara zinaboost sana inflation maana vitu vinapanda bei ghfla kila tamgazo la nyongeza ya mishahara linapotolewa. Annual increment zinazokuja kimya kimya is the way to go.
 
Back
Top Bottom