Ambao hawakumtaka kwenye chama chake huenda walimjua vizuri kuliko sisi

Nchi hii ni upuuzi tupu,

Wafanya kazi mmekuwa wanyonyaji wa wakulima!

Mkiongezwa mishahara, mnaanza kupigia kelele bei za vyakula eti vishuke na wala visiuzwe nje!!

Huu mi upumbavu na ni wizi, mnataka muendelee nyiyi peke yenu halafu mkulima awe masikini wa milele?

Mbona mkulima huwa halalamiki kama nynyi..?

Manina zenu kabisa
 
Huyu mama yao CCM akisababisha 2025 kwa uzembe wake SUKUMA GANG wachukuwe nchi Tena kwa mara ya pili , tutawaomba wasiojulikana kiroba Cha kwanza kuokotwa coco beach kiwe na mwili wake
 
Huyu mama yao CCM akisababisha 2025 kwa uzembe wake SUKUMA GANG wachukuwe nchi Tena kwa mara ya pili , tutawaomba wasiojulikana kiroba Cha kwanza kuokotwa coco beach kiwe na mwili wake
Mkuu usiwe na hofu Sukumagang tena hawana tena nguvu hiyo kwani wapo ktk uangalizi wa hali ya juu
 
Sawa mbona mkapa na Kikwete waliwezaje kujaza pesa mtaani na miradi mikubwa kujengwa na wa kuiba wakaiba tu.

Kama mtumishi hapati maslahi bora ata ujiajili ela mtaani inakuwa chache sana
 
MUNGU wa mbinguni aliyemfekelea mbali yule ndiye aliyeruhusu huyu awe mrithi, MUNGU ndiye aliyechakata njia za huyu kuwa mrithi baada ya matendo ya yule kujaa uovu
MUNGU hapingwi, haojiwi....
MUNGU amemtaka Samia awe rais na itabaki hivyo
Bandiko la hovyo kabisa la siku!
 
open-minded people saw this coming post-death of the late Magufuli but you chose to call them haters and Sukuma gang just because she started doing things that Magufuli wasn't doing.
 
It's very sad that she's already or rather after her presidency's era she'll became our Mother of nation.
 
Hamkulijua hilo?sisi tulilijua hilo na huyu dikteta wenyu alikolazwa siku za mwisho, hata alipoaga.
Lakini kwa ubishi wa kitoto wenu huo mkatupuuza wakenya,bongolala mtakua mmebugi mmojawao huyu kalamaganda kabugi[emoji74][emoji74]aliyekuja huku kutuhubiria .Pamoja na baadhi.ya makada wakuu wa chama , hawakumtaka huyo mama kabisa na kuliandaliwa kikao kabisa ya kumchorea.Sema tu wakuu wa mgambo wenu tumewafundisha utiifu huku chuoni wakamsimamisha mama wima.
 
Serikali yenyu inawaona mafala sana.
Jamaa keshafwa kabisaa tunawachanueni mkabisha kwa nguvu mitandaoni.
Mkaambiwa jamaa yupo freshi barida yuachapa kazi...m*mae..
 
Nakubaliana na wewe. Hizi nyongeza zinazokuja kwa matangazo ya biashara zinaboost sana inflation maana vitu vinapanda bei ghfla kila tamgazo la nyongeza ya mishahara linapotolewa. Annual increment zinazokuja kimya kimya is the way to go.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…