Amber Lulu aonesha sura ya mtoto wake kwa mara ya kwanza

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtoto wa amberlulu ni mrembo kama mama ake...

Cocastic anazingiua nini tena?
Hajapata uzao cocastic, ndio namuuliza uzao upi tena mbegu si zipo au wa kummwagia ndio hayupo???😁
 
Jf wangese sana yaani si kwa mbavu hizi jamani mama weeee!! niseme nini mie!!! mwana falsafa zangu jamani mweeeee uwiiiiii
 
Ila pamoja watoto wadogo wanakuwaga na face incognito lakini huyu amefanana na hamorapa kwani hamorapa sio mtu wandugu au naongopa? πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Tehee!! teeew!!! teteee!!ahahahah! yaani wewe majibu yako huwaga simple sana!! mpaka unaishangaza jf, yaani naishiaga kucheka tu!! Mume wako oo!! au mkeo atakuwa na amani sana kwa jinsi ulivo!! yaani mnaonekanaga tu!!

kuachw asahau!!! hata iktiokea sababu ya ulevi wake!! lazima arudi tu! sasa miaka sitini si kibibi kabisa!!! wengi humu ni miaka 14--40yrs baaasi! labda 50+ kidooogo sana!!
 
Yeah mi ni mzee kijana wangu, ni mzee niliyechangamka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…