Amber Lulu aonesha sura ya mtoto wake kwa mara ya kwanza

Amber Lulu aonesha sura ya mtoto wake kwa mara ya kwanza

Wanasema vya kurithi vinazidi tutegemee makubwa kutoka kwa daughter of the b!tch
binadamu bhanaaa

Utakuta wengine wanasema "natamani nipate mke kama mama yangu na sio kama hawa malaya wa siku hizi"

asijue hata mama yake alikuwa malaya kuliko anaowaona na alitulia tu baada ya ndoa, kuzaa na umri kumtupata

kumbe naye ni mtoto wa malaya tu kwa age mate wa wazazi wake
 
video vixen na msanii amber lulu ampost kwa Mara ya kwa mtoto wake. Hiyo ni baada ya week chache zilizopita kujifungua, mtot hyo ameanza kupokea deals za matangazo mbali mbali,

Mtoto Huyo ambae baba ake ajulikani ameanza kula shavu za kuwa brand ambassador wa kampuni za bidhaa za watoto,

Wadau kadhaa wa mitandao ya kijamii wamenda mbali na kusema mtoto Huyo anaweza kua ni mtoto wa( ember bortion ) wengine wakidai kazaa na sponsor

Jamani tumtakie heri katika kumkuza mtoto hyo anayetabiliwa kunyakua deals nyingi bongo dar es salaam na nje

View attachment 1775094
🤣🤣
 
Sasa huko insta, comments za watu ni vichekesho tupu, wengine wanasema mtoto kazaliwa huku amestaafu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji85]
 
Atulie sasa aache kutingisha wezere lake

Ova
 
Sasa huko insta, comments za watu ni vichekesho tupu, wengine wanasema mtoto kazaliwa huku amestaafu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani nusu nipaliwe
 
, hongera zake kwa kuongeza idadi ya walipa Kodi wa baadae, ana sura ya kazi, mtoto mikausho Kama yote,atakuja kuwa CDF (chief of defense force)
wetu wa baadae uyo
Usikute atakua binti wa kwanza kushika iko cheo Tanzania.
 
Back
Top Bottom