ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wanasema vya kurithi vinazidi tutegemee makubwa kutoka kwa daughter of the b!tchSio son huyo ni daughter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema vya kurithi vinazidi tutegemee makubwa kutoka kwa daughter of the b!tchSio son huyo ni daughter
binadamu bhanaaaWanasema vya kurithi vinazidi tutegemee makubwa kutoka kwa daughter of the b!tch
🤣🤣video vixen na msanii amber lulu ampost kwa Mara ya kwa mtoto wake. Hiyo ni baada ya week chache zilizopita kujifungua, mtot hyo ameanza kupokea deals za matangazo mbali mbali,
Mtoto Huyo ambae baba ake ajulikani ameanza kula shavu za kuwa brand ambassador wa kampuni za bidhaa za watoto,
Wadau kadhaa wa mitandao ya kijamii wamenda mbali na kusema mtoto Huyo anaweza kua ni mtoto wa( ember bortion ) wengine wakidai kazaa na sponsor
Jamani tumtakie heri katika kumkuza mtoto hyo anayetabiliwa kunyakua deals nyingi bongo dar es salaam na nje
View attachment 1775094
nyandu anakaa kinondoni sehemu gani?Baba wa mtoto ni ember bortion wa kino wa kina nyandu tozi
[emoji23][emoji23][emoji23]khaaa, hongera zake kwa kuongeza idadi ya walipa Kodi wa baadae, ana sura ya kazi, mtoto mikausho Kama yote,atakuja kuwa CDF (chief of defense force)
wetu wa baadae uyo
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji85]Sasa huko insta, comments za watu ni vichekesho tupu, wengine wanasema mtoto kazaliwa huku amestaafu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh, Kumbe ni ke....ana sura ya kibingwa sana. 😀Ke huyo mtoto.
Fala we 🤣🤣🤣🤣🤣Duh, Kumbe ni ke....ana sura ya kibingwa sana. 😀
Mhh[emoji850][emoji850][emoji850] natamani kucheka lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani nusu nipaliweSasa huko insta, comments za watu ni vichekesho tupu, wengine wanasema mtoto kazaliwa huku amestaafu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sana Mashaallah".. [emoji108]Nimempenda mtoto ana nywele nyingi mnooh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana ni lily wayne
🙂 🙂 🙂, hongera zake kwa kuongeza idadi ya walipa Kodi wa baadae, ana sura ya kazi, mtoto mikausho Kama yote,atakuja kuwa CDF (chief of defense force)
wetu wa baadae uyo
Usikute atakua binti wa kwanza kushika iko cheo Tanzania., hongera zake kwa kuongeza idadi ya walipa Kodi wa baadae, ana sura ya kazi, mtoto mikausho Kama yote,atakuja kuwa CDF (chief of defense force)
wetu wa baadae uyo
🙆🏽♂️🙆🏽♂️
Haka katoto kazuri sana, time will tell