Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Wakumbuke pia kuwa na waume wa japo miongo miwili kama Melinda GatesNafurahi nikimuona msanii wa kike mbali ustaa anakumbuka kuwa na mtoto [emoji4][emoji4]kuwa mama ni baraka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakumbuke pia kuwa na waume wa japo miongo miwili kama Melinda GatesNafurahi nikimuona msanii wa kike mbali ustaa anakumbuka kuwa na mtoto [emoji4][emoji4]kuwa mama ni baraka sana
Nawe nimekuona umekoment kule..ukasema kafafanana na lil Wayne[emoji1787]Hapana ni lily wayne
Mtoto wa Hamorapa nini?video vixen na msanii amber lulu ampost kwa Mara ya kwa mtoto wake ,
Hiyo ni baada ya week chache zilizopita kujifungua, mtot hyo ameanza kupokea deals za matangazo mbali mbali,
Mtoto Huyo ambae baba ake ajulikani ameanza kula shavu za kuwa brand ambassador wa kampuni za bidhaa za watoto,
Wadau kadhaa wa mitandao ya kijamii wamenda mbali na kusema mtoto Huyo anaweza kua ni mtoto wa( ember bortion ) wengine wakidai kazaa na sponsor ,
Jamani tumtakie heri katika kumkuza mtoto hyo anayetabiliwa kunyakua deals nyingi bongo dar es salaam na nje
View attachment 1775094
Kwa comment hii Nina uhakika hujawahi kuzaaHeeeh kumbe? Mie nkajua ndo take mazima zitakuaga hivyo.
@warumi huu umbea ulikupita vipi?video vixen na msanii amber lulu ampost kwa Mara ya kwa mtoto wake ,
Hiyo ni baada ya week chache zilizopita kujifungua, mtot hyo ameanza kupokea deals za matangazo mbali mbali,
Mtoto Huyo ambae baba ake ajulikani ameanza kula shavu za kuwa brand ambassador wa kampuni za bidhaa za watoto,
Wadau kadhaa wa mitandao ya kijamii wamenda mbali na kusema mtoto Huyo anaweza kua ni mtoto wa( ember bortion ) wengine wakidai kazaa na sponsor ,
Jamani tumtakie heri katika kumkuza mtoto hyo anayetabiliwa kunyakua deals nyingi bongo dar es salaam na nje
View attachment 1775094
Ndiyo bado Jah hajanijalia uzao.Kwa comment hii Nina uhakika hujawahi kuzaa
Lkn mbn hata Mimi sijajaliwa lkn nazijua ABC za makuzi ya mtoto,tena Mimi ni wa kiumeNdiyo bado Jah hajanijalia uzao.
Hongera sana na ubarikiwe kwa malezi uliyonayo, Jah akakupe mwenza wa kufanana na wee. [emoji120][emoji120][emoji120]Lkn mbn hata Mimi sijajaliwa lkn nazijua ABC za makuzi ya mtoto,tena Mimi ni wa kiume
Au pengine ni Kwa sababu ni wa Kwanza alafu nimewalea sn wadogo zangu walionifuata..Mimi hata uniachie mtoto wa miezi miwili namlea vizuri na kumpa huduma zote bila tatizo
Nadhani mama watoto huko mbele ya safari hatapata shida kabisa[emoji1787]
Sio son huyo ni daughterSon of the b!tch ndio huyu?
Amina [emoji120] mtu wa MUNGUHongera sana na ubarikiwe kwa malezi uliyonayo, Jah akakupe mwenza wa kufanana na wee. [emoji120][emoji120][emoji120]
AmeebAmina [emoji120] mtu wa MUNGU
Katoto kazuri [emoji8][emoji8][emoji8]
Ke huyo mtoto.Huyo nyu bon ana sura ya kazi sana, atakuja kuwa mwenyekiti wa UWABATA TAIFA.