Amber Lulu aonesha sura ya mtoto wake kwa mara ya kwanza

Amber Lulu aonesha sura ya mtoto wake kwa mara ya kwanza

Nafurahi nikimuona msanii wa kike mbali ustaa anakumbuka kuwa na mtoto [emoji4][emoji4]kuwa mama ni baraka sana
Wakumbuke pia kuwa na waume wa japo miongo miwili kama Melinda Gates
 
video vixen na msanii amber lulu ampost kwa Mara ya kwa mtoto wake ,
Hiyo ni baada ya week chache zilizopita kujifungua, mtot hyo ameanza kupokea deals za matangazo mbali mbali,

Mtoto Huyo ambae baba ake ajulikani ameanza kula shavu za kuwa brand ambassador wa kampuni za bidhaa za watoto,

Wadau kadhaa wa mitandao ya kijamii wamenda mbali na kusema mtoto Huyo anaweza kua ni mtoto wa( ember bortion ) wengine wakidai kazaa na sponsor ,

Jamani tumtakie heri katika kumkuza mtoto hyo anayetabiliwa kunyakua deals nyingi bongo dar es salaam na nje

View attachment 1775094
Mtoto wa Hamorapa nini?
 
video vixen na msanii amber lulu ampost kwa Mara ya kwa mtoto wake ,
Hiyo ni baada ya week chache zilizopita kujifungua, mtot hyo ameanza kupokea deals za matangazo mbali mbali,

Mtoto Huyo ambae baba ake ajulikani ameanza kula shavu za kuwa brand ambassador wa kampuni za bidhaa za watoto,

Wadau kadhaa wa mitandao ya kijamii wamenda mbali na kusema mtoto Huyo anaweza kua ni mtoto wa( ember bortion ) wengine wakidai kazaa na sponsor ,

Jamani tumtakie heri katika kumkuza mtoto hyo anayetabiliwa kunyakua deals nyingi bongo dar es salaam na nje

View attachment 1775094
@warumi huu umbea ulikupita vipi?
 
Ndiyo bado Jah hajanijalia uzao.
Lkn mbn hata Mimi sijajaliwa lkn nazijua ABC za makuzi ya mtoto,tena Mimi ni wa kiume

Au pengine ni Kwa sababu ni wa Kwanza alafu nimewalea sn wadogo zangu walionifuata..Mimi hata uniachie mtoto wa miezi miwili namlea vizuri na kumpa huduma zote bila tatizo

Nadhani mama watoto huko mbele ya safari hatapata shida kabisa[emoji1787]
 
Lkn mbn hata Mimi sijajaliwa lkn nazijua ABC za makuzi ya mtoto,tena Mimi ni wa kiume

Au pengine ni Kwa sababu ni wa Kwanza alafu nimewalea sn wadogo zangu walionifuata..Mimi hata uniachie mtoto wa miezi miwili namlea vizuri na kumpa huduma zote bila tatizo

Nadhani mama watoto huko mbele ya safari hatapata shida kabisa[emoji1787]
Hongera sana na ubarikiwe kwa malezi uliyonayo, Jah akakupe mwenza wa kufanana na wee. [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Amnyonyeshe mtoto sasa na si kuwa nyonyesha watu wazima,maana wadangaji wana amini wakinyonyesha watoto wao maziwa yata dondoka.
 
Bado wa posh
Mna la kusema?
Screenshot_20210506-171306.jpg
Screenshot_20210506-171248.jpg
 
Back
Top Bottom