cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
HaswaaaaaahItakua nywele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaaaaaahItakua nywele
Nimempenda mtoto ana nywele nyingi mnooh.
mmhSasa huko insta, comments za watu ni vichekesho tupu, wengine wanasema mtoto kazaliwa huku amestaafu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wasanii wa bongo kichwani weupe sana, kulikuwa hakuna haraka yakumuonyesha mtoto mitandaoni wakati Bado kachanga sanaMtoto ni mzuri ila amber kawahi kumuonesha. Angesubiri kwanza akue kue anenepe nepe
Mungu ndie ajuaye shekheeHawezi kuwa cdf anaandaliwa kuwa model
Hawa wasanii wa bongo kichwani weupe sana, kulikuwa hakuna haraka yakumuonyesha mtoto mitandaoni wakati Bado kachanga sana
Heeeh kumbe? Mie nkajua ndo take mazima zitakuaga hivyo.Za uchanga zikinyolewa tu kwisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahNa hapo kana account ya insta na soon kataanza kucomment na kuwachamba wananzengo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe lolHapana ni lily wayne
Heeeh kumbe? Mie nkajua ndo take mazima zitakuaga hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe lol
Insta ukisoma comments za watu kuhus huyo mtoto wa Amber, zingine zinavunja mbavu mno. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana insta nimecheka sana
Watoto wengi sana huwa wakiwa wamezaliwa sura inakuwa haijajitengenza vyema
Sasa bora asimnyoe tyuuuh. Zibaki hivyo hivyo.Yap
Angekuwa mwarabu sawa au mzungu
Ile comment nadhani itakuwa ni yako[emoji1787][emoji1787]Sasa huko insta, comments za watu ni vichekesho tupu, wengine wanasema mtoto kazaliwa huku amestaafu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni mtaalamu wa Adobe PS..hii picha ya mtoto Nina uhakika kuanzia mpiga picha na aliyei edit ndy imepelekea mtoto kuwa na mwonekano huo.Basi kuna mwamba mmoja anajinadi kwamba yeye ndio kamwaga mbegu...View attachment 1775119
Sent using Jamii Forums mobile app