Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kwanza watoto wa umri huo sura zao huwa haziekeweki, but they are so cute no matter wanafananajekazuri nilikaona Snapchat, Ila Mungu atupe hekima yaani mtu anamtukana mtoto na wengine wanacheka mtoto kutukanwa nimestaajabu sana