Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 503
- 905
Akitoka uko police kuwasemea chakula malazi mavazi atapewa na nani ?Kila mara anadundwa na haendi police hachukui hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akitoka uko police kuwasemea chakula malazi mavazi atapewa na nani ?Kila mara anadundwa na haendi police hachukui hatua
Kwan wote wanamdunda?Akitoka uko police kuwasemea chakula malazi mavazi atapewa na nani ?
Huwa wanajihalalishia "ukahaba" kwa kigezo kuwa wanamhangaikia mtoto😀Wache umalaya, nyie mabinti ukiamua kuishi na mtu acha umalaya wa wazi wazi,.
Inaonekana alishaonywa sana mpaka kufikia hatua ya kupewa kichapo
Safi sana, aache umalaya
Wache umalaya, nyie mabinti ukiamua kuishi na mtu acha umalaya wa wazi wazi,.
Inaonekana alishaonywa sana mpaka kufikia hatua ya kupewa kichapo
Hiyo picha teyali kadundwa au bado? Itakuwa ni umalaya tuu
Hahahaa walikirudishia pesa walau nusu?Huyo jamaa aliyempiga akamatwe. Yeye anajua kaoa malaya kwanini ashindwe kumvumilia?... Pale Nairobi katikati ya mji kuna jumba refu la ghorofa lina gesti chafu balaa.. kunguni wa kumwaga. Nilikuwa sijui nikaona kwa bei hii rahisi leo nimebahatika kwasababu ilikuwa usiku sana nimefika.
Kitendo cha kuzima tu taa wale kunguni walianza majukumu yao ya kila siku. Nikamwita mhudumu na kumuuliza ndo inakuwaje? Yule mhudumu kwa sauti tulivu ya upole akanijibu "ndugu yangu hii gesti yetu ndo inasifika kwa uchafu Nairobi nzima, hata ukitupeleka Nairobi Council watakushangaa sana wewe... hata mimi nimesikitika kwasababu kiukweli hufananii kulala hapa, nakushauri utafute gesti nyingine safi hapa jirani"...
Namshauri jamaa atafute mwanamke mwingine.
Huijui historia yake? Huyu na gigi money walikuwa wanashoboka na wasanii maarufu wa bongo fleva wakawa wanacheza show zao uchiuchi, huku wasanii wakijipigia tuu kwa kupokezana. Walikuwa ni wadangaji wakibwa wa kusasambua maclub ya usiku. Badae wakapataga zali la kuandikiwa nyimbo na jay melod kipindi hiko hana jina ndio wakatoa vinyimbo vyao vya matusi matusi wakapata platform kuubwa ya kudanga.Huyu dem ni mbaya, sijui hata amekuwaje maarufu
Ushauri muraaaaa!!!!Huyo jamaa aliyempiga akamatwe. Yeye anajua kaoa malaya kwanini ashindwe kumvumilia?... Pale Nairobi katikati ya mji kuna jumba refu la ghorofa lina gesti chafu balaa.. kunguni wa kumwaga. Nilikuwa sijui nikaona kwa bei hii rahisi leo nimebahatika kwasababu ilikuwa usiku sana nimefika.
Kitendo cha kuzima tu taa wale kunguni walianza majukumu yao ya kila siku. Nikamwita mhudumu na kumuuliza ndo inakuwaje? Yule mhudumu kwa sauti tulivu ya upole akanijibu "ndugu yangu hii gesti yetu ndo inasifika kwa uchafu Nairobi nzima, hata ukitupeleka Nairobi Council watakushangaa sana wewe... hata mimi nimesikitika kwasababu kiukweli hufananii kulala hapa, nakushauri utafute gesti nyingine safi hapa jirani"...
Namshauri jamaa atafute mwanamke mwingine.
Kumbe upo km haupomadem ndio wanapozinguag, we mhuni yule emba botion ulitegemea nini si ndio type mnazopenda, pambana
hiyo picha ya profile ni yakoNaye aache kulea king'asti kutokaa kino, si awe buzzy na mwanae tyuuh.
Acha apigweee had akili imkae sawaa, alikua hajui kulea jitu zima kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Emba bhanaaa khaaa.
Genye tu zilimshika akaenda kukiachia kwingine, ni anaonyesha picha halisi ya mwanamke alivyoWanawake wanaokimbilia visingizio vya mwanangu hivi mwanangu vile ni wapuuuzi sana. Huyu alipigwa vibaya mara ya kwanza akakimbilia mtandaoni kulia na neno mwanangu nyiiingii utadhani yeye wa kwanza kuzaa duniani. Hata aibuke mtetezi bingwa huyu hawezi achana na jamaa anayempiga kila kukicha kisingizio wamezaa
Malaya mnateteana,Sasa aache umalaya atakula kwenu? Huyo bwege alivyoamua kuishi nae alijua huyu ni injinia au?