Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23] Lulu mwenyewe haelewek, hao kina Emba ndio type zake.Unamjua emba the botion wewe nyie wadada wa mjini emu chagueni basi watu wa kuzaa na nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Lulu mwenyewe haelewek, hao kina Emba ndio type zake.Unamjua emba the botion wewe nyie wadada wa mjini emu chagueni basi watu wa kuzaa na nyie
Wakikung'ata unajikuna week nzima. Wadudu wapuuz sana hao.Dah! Kunguni ni miongoni ectoparasite mafia sana gizani, halafu sasa ukiwasha taa tu within a second wamepotea[emoji1]
[emoji1787] nyie watuMbona ana uso kama uji unamwagika? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849]
Ni mjumbe wa shina la ccm.Ndio nani huyo huko Daslam?
Emba mwenyewe alivyo vile atapata saa ngapi mwanamke wa maana? huyo Amber ndio type yake wacha waparuane tu wale wamekutana wanafanana kama chupa na kizibo.Ila kuna wanaume wana moyo aisee hivi Amber Lulu ni wa kuwa mpenzi.
Yule ni wa kumtumia tu kama chombo cha starehe na [emoji706]
Ni kheri upambane na Mbu uwanja wa vita ila sio KunguniWakikung'ata unajikuna week nzima. Wadudu wapuuz sana hao.
Nisamehe.Niliandika nikiwa nimevuta bangi.Nimekosa cha kusingizia nimeisingizia bangi.😜😜😜😜[emoji1787] nyie watu
[emoji23]Nisamehe.Niliandika nikiwa nimevuta bangi.Nimekosa cha kusingizia nimeisingizia bangi.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
🤣🤣🤣🤣Emba mwenyewe alivyo vile atapata saa ngapi mwanamke wa maana? huyo Amber ndio type yake wacha waparuane tu wale wamekutana wanafanana kama chupa na kizibo.
Wavuta bangi hatupigagi wanawake,huyo atakuwa mvuta uchafu.Ila wavuta bangi wanapendwa sana.
Kuna ndugu yangu mmoja na yeye kakamatika na livuta bangi limoja toto la huko huko kinondoni.
Anamlisha mwanaume na mtoto wa mwanaume na wanawake wa mwanaume.
Akipika dagaa mwanaume hali anataka maini 🤣🤣🤣🤣 nyie kama vile anajua bei ya maini.
Inaelekea hawa wavuta bange wana kitu "unique"
All in all kupigwa hakukubaliki amba kamata hiyo panya weka ndani nenda mahakamani hiyo ni attempted murder.
Ila ana mzigo nyuma.ana sura nzito kama uji wa mtama
TakoHuyu dem ni mbaya, sijui hata amekuwaje maarufu
Eti shughuli zao za kila siku.kwamba hata council watakushangaaHuyo jamaa aliyempiga akamatwe. Yeye anajua kaoa malaya kwanini ashindwe kumvumilia?... Pale Nairobi katikati ya mji kuna jumba refu la ghorofa lina gesti chafu balaa.. kunguni wa kumwaga. Nilikuwa sijui nikaona kwa bei hii rahisi leo nimebahatika kwasababu ilikuwa usiku sana nimefika.
Kitendo cha kuzima tu taa wale kunguni walianza majukumu yao ya kila siku. Nikamwita mhudumu na kumuuliza ndo inakuwaje? Yule mhudumu kwa sauti tulivu ya upole akanijibu "ndugu yangu hii gesti yetu ndo inasifika kwa uchafu Nairobi nzima, hata ukitupeleka Nairobi Council watakushangaa sana wewe... hata mimi nimesikitika kwasababu kiukweli hufananii kulala hapa, nakushauri utafute gesti nyingine safi hapa jirani"...
Namshauri jamaa atafute mwanamke mwingine.
Gigy aliandikiwa na Marioo 'Nampa Papa'Huijui historia yake? Huyu na gigi money walikuwa wanashoboka na wasanii maarufu wa bongo fleva wakawa wanacheza show zao uchiuchi, huku wasanii wakijipigia tuu kwa kupokezana. Walikuwa ni wadangaji wakibwa wa kusasambua maclub ya usiku. Badae wakapataga zali la kuandikiwa nyimbo na jay melod kipindi hiko hana jina ndio wakatoa vinyimbo vyao vya matusi matusi wakapata platform kuubwa ya kudanga.
Huwa wana umoja sana.Malaya mnateteana,
Nilikuwa namsikia kwenye ngoma za Nyandu Tozz anamrusha sana, anajishughulisha na nini?Unamjua emba the botion wewe nyie wadada wa mjini emu chagueni basi watu wa kuzaa na nyie
Wahuni wanaangalia choo TU,Huyu dem ni mbaya, sijui hata amekuwaje maarufu