Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumjuwaNilikuwa namsikia kwenye ngoma za Nyandu Tozz anamrusha sana, anajishughulisha na nini?
Hapana. Aliyeandika hiyo ngoma ni Hanstone ambaye ndani ya wimbo pia alikuwapo.Gigy aliandikiwa na Marioo 'Nampa Papa'
Hapana ni ukosefu wa akili upande wa watoto wa kike. Wanaendekeza kukosa userious kwenye maisha yao.Ila wavuta bangi wanapendwa sana.
Kuna ndugu yangu mmoja na yeye kakamatika na livuta bangi limoja toto la huko huko kinondoni.
Anamlisha mwanaume na mtoto wa mwanaume na wanawake wa mwanaume.
Akipika dagaa mwanaume hali anataka maini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie kama vile anajua bei ya maini.
Inaelekea hawa wavuta bange wana kitu "unique"
All in all kupigwa hakukubaliki amba kamata hiyo panya weka ndani nenda mahakamani hiyo ni attempted murder.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msando ana Magundu Sana ,Sijui kwasababu ya Majanaba ya Kina Giggy ,alivyoenda Moro tu kila siku ITV wanamuoji akiwa na Majanga.
Wavutaaa bangi wana amsha amshaa kitandaniii,Ila wavuta bangi wanapendwa sana.
Kuna ndugu yangu mmoja na yeye kakamatika na livuta bangi limoja toto la huko huko kinondoni.
Anamlisha mwanaume na mtoto wa mwanaume na wanawake wa mwanaume.
Akipika dagaa mwanaume hali anataka maini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie kama vile anajua bei ya maini.
Inaelekea hawa wavuta bange wana kitu "unique"
All in all kupigwa hakukubaliki amba kamata hiyo panya weka ndani nenda mahakamani hiyo ni attempted murder.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila ana mzigo nyuma.
Ni mzuri aiseee anapoendaga kudanga anapanda juu ya meza na kucheza basi weee hatari na nusu.
Nimechekaaaaa mnoooo lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mmama(m'acheter muita msichana ) nlikuwa naMtaman sana .nkaongea n'a nyama mmoja akanambia atanistua siki akaja ile baa opossite n'a boardroom muhuni nlikuwa kitambaa nkaibuka pale fasta mchiz wangu nkakuta ashamsogeza counter kamnunulia bia .tatizo lake anatembea n'a vivulana nahisi vishoga maana ili umpate vifurahishe .jamaa kufikq akatambulisha huyu ndo bro angu The only nlikwambia nkasimama opposite nae 0 distance .
OBSERVATIONS
-Asee ni mfupi mno japo anashape n'a tako ila linaule muonekano wa kichina kabisa
-Anapaka sijui mafuta gan ananukia kama wale mashangingi wa magomeni wale wamejichubuaaaa wanakuwaga n'a harufu yao moja inakera .
-Mchafu ,alikuwa na high héel kazitoa kampa mpambe kazishika mkononi yy kavaa mandala ya very cheap.afu miguu inavumbi aaaghh
-Alikuwa ni wazi anaulaibu wa pombe au unga maana sauti yake imelegea n'a anaongea kwa mgando .
Kuna jamaa anamjua akanambia kaka muache kuwahukumu kwa tv wasanii wakawaida sana .akaniambia ni binti katokea familia yenye kushika dini balaa wanasema alikuwa muimba kwaya n'a alikuwa mzuri balaa
Nkamalizia bia yangu nkazuga naongea n'a simu .nje nkalip kwa lipa namba yao bill nkamtumia sms mshikaj ya kulipa n'a nkamwambia mesepa
Ndan kufanya nn atatuulia wafungwa .huyu ni kumtoa kinguvu akaisaidie ukraineKwa hii mistake Tu ya jamaa kusema Amber Lulu ni demu wake official ,anastahili kuwekwa ndani..Hana akili alikosea demu kweli 😂😂😂
Kukubali au kukataa kuwa na mahusiano na mtu sio kosa.Yeye alimkataa Harmorapa mtu aliyekuwa na mapenz ya dhati kwake