Huyu aliwapatia sana, hata Dr. Shika hakufuwa dafu..Pumzika kwa amani Babu wa kikombe cha miujiza.
Wasalimie sana wateja wako waliotangulia mbele za haki
View attachment 1874284View attachment 1874285
Hata wale ambao bado wangali hai watakumiss sana.
View attachment 1874292View attachment 1874293
Huyu mzee alileta chanjo yake ambayo haikutiliwa mashaka wala kuhojiwa madhara yake na kina Gwajima.
Mpaka kiongozi wa malaika, KAYAFA MKUU alienda kuichanja.
RIP mchanjaji usiyetiliwa mashaka na wanyonge.
Cc MENGELENI KWETU BAK Sky Eclat Evelyn Salt
Unaweza nawe usione kitu...ukasepa vile vile [emoji848]Huu mwaka mpaka unaisha tutaona mengi.
Pumzika kwa amani Legend
Ha ha ha aseeMkuu nadhani alikulia kwenye mazingira ya kuamini uchawi sana. Pamoja na kwenda shule hakubadilika. Hakuamini kwenye sayansi kabisa. Ila elimu yake inaonekana aliipata kimagumashi. Hata kutoweza kukimudu kiingereza ilikuwa ni matokeo ya kukosa elimu bora. Siyo lugha tu hata mazungumzo yake yalikuwa siyo ya mtu msomi kabisa.
Usiviamini vyote, vingine ni vya kufurahisha jukwaa tu.Dada una visanga vingi...pole sana daah
Oops! gotcha[emoji2960][emoji2960]Usiviamini vyote, vingine ni vya kufurahisha jukwaa tu.
😳😳 Wee! ShindwaUnaweza nawe usione kitu...ukasepa vile vile [emoji848]
Hakuna cha dawa pale ni utapeli tuNinadhani atakuwa amerithisha fomyula ya kuchanganya dawa hiyo ili tuendelee kupiga kikombe. Shida ya mambo ya upako si ajabu alijua yeye tu aliyeoteshwa. dah! R.I.P Mzee Ambilikile
Kikombe cha R.I.P Babu hakikua na ubaguzi.Huyu mzee alileta chanjo yake ambayo haikutiliwa mashaka wala kuhojiwa madhara yake na kina Gwajima.
Mpaka kiongozi wa malaika, KAYAFA MKUU alienda kuichanja.
RIP mchanjaji usiyetiliwa mashaka na wanyonge.
Cc MENGELENI KWETU BAK Sky Eclat Evelyn Salt
Tunajua, sema hapa tunaongea vile mambo yalivyo, sivyo yalivyopaswa kuwa.Hakuna cha dawa pale ni utapeli tu