Kulipia mamilioni kwenye shule as English Mediums ni kutumia hela au kumpa mmiliki wa shule aitumie na watoto wakeHuwez kuacha kutumia hela unazotafuta kwaajili ya kazi hiyo
halafu usizitumie mjomba. Watoto wasomeshwe kwa gharama zozote ikitokea bahat mbaya sawa lakin ulitimiza wajibu. Unafikiri huko ulaya marekan au Australia hakuna hivyo sasa. We peekaboo shule tena ya kiume, mbona tumezaliwa nyumba za matope na tukatoka huko watu na unajenga ghorofa kwanini usirudie nyumba ya udongo kama unafikiri ni nzur.
Depression/stress na over expectations. Pengine, alikua na matarajio kua akimaliza atapata kazi nzuri kubwa ya maana sasa amekuja mtaani hali ni tofautimama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
Onana na wenye ilmu za geomancy au numerous watakupa msaada zaidi katika hiloWaswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini,
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.
yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.
mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
YAAN AKIANZA HIVI BASI USISHANGAE MKUU ANAGAWA HATARE MAMBOYETUWaswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini,
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.
yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.
mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
Mjomba naye ni Mama. Hilo ni jukumu lako.Waswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini.
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko Kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.
Yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.
Mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo?
Msaada ili tumshauri mama yake
Niliweka mfano mmoja mrahisi ili iwe vyepesi kuelewa..watu wengi makini uwajuao Wana vuta na haina madhara kuliko pombe sema serikali nyingi zinakataza bange sababu watu wata amka usingiziKwani wewe Magufuli alikuwa Mungu wako au ndio reference point yako?
sio kila alichofanya ni sahihi.
I guess wewe age yako ni around 40yrs or above ila una hama
sisha matumizi ya bangi ukiwa kama mzazi unatoa funzo gani
Faida za bangi ni chache kuiko faida yake kwa hiyo usijilinganishe
na sijui Marekani au wapi
Sasa hapo vina uhusiano gani?Ndio maana kila siku huwa nasemaga MSIWE mnajistress kusomesha watoto wenu kwenye shule za English Mediums. Fate is everything. Haya sasa twende kazi kimbia haraka sana katoe watoto wako kwenye shule ya English Medium warudishe Kayumba.
Thank me later
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Nadhani Tuishie HapaBangi haitakiwi uchanganye na pombe...Kama mmea piga mmea pekee..
Usichanganye mmea + pombe yaani hutoboi.
Kama pombe drinking responsible..kunywa kwa KIASI kipimo chako yaan unatakiwa ujue alcohol persistence yako na uishi humo..
Aisome min -me
Mwanangu mm ndo mnyonge peke yangu nipo itindiga ndani ndani usafiri wa baiskeliBro humu wote tuna magari na tunaishi masaki, hakuna mnyonge
Una maanisha Masaki unayoishi ndo hii na gari lako ndo hiloπBro humu wote tuna magari na tunaishi masaki, hakuna mnyonge
Tulieni kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake ukifikaWaswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini.
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko Kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.
Yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila daktari naona anashauri aende sober akitoka hapa.
Mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo?
Msaada ili tumshauri mama yake
Mpaka unaandika comment ile, mleta mada hajazungumzia popote kuhusu gharama za mgonjwa shule ya msingi. Nani kakwambia huyo mgonjwa alilipiwa mamilioni shule ya msingi?Hupendi kufikiri. Nimezungumzia fate. Nikimaanisha hakuna haja ya kulipa mamilioni shule ya msingi kwa sababu hujui mtoto wako atakuja kuwa kitu gani baadae. Watoto hubadilika sana wanapo Balehe.
Soma swali Elewa swali jibu swali
WataalamuBangi haitakiwi uchanganye na pombe...Kama mmea piga mmea pekee..
Usichanganye mmea + pombe yaani hutoboi.
Kama pombe drinking responsible..kunywa kwa KIASI kipimo chako yaan unatakiwa ujue alcohol persistence yako na uishi humo..
Aisome min -me
Sawa sawa mkuu.Nadhani Tuishie Hapa
βΊοΈπWataalamu
Wewe uwezo wako ni kuchambua ushirikina wa manara ndani ya vikosi vya Simba na yanga tuNdio maana kila siku huwa nasemaga MSIWE mnajistress kusomesha watoto wenu kwenye shule za English Mediums. Fate is everything. Haya sasa twende kazi kimbia haraka sana katoe watoto wako kwenye shule ya English Medium warudishe Kayumba.
Thank me later
ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Dr unatumia /ulitumia kipi kati ya hivyo hadi kufikia hapoBangi haitakiwi uchanganye na pombe...Kama mmea piga mmea pekee..
Usichanganye mmea + pombe yaani hutoboi.
Kama pombe drinking responsible..kunywa kwa KIASI kipimo chako yaan unatakiwa ujue alcohol persistence yako na uishi humo..
Aisome min -me
Ndo afikie hatua hiyo kisa kukosa ndoa au watoto? MmmhAna umri gani?
Ana ajira?
Vp ana mahusiano & ana familia?
Kuna vitu mtoto wa kike asipoachieve ktk umri fulan (mostly ndoa & familia) achivements nyingine hua wanaona ni kama hazina maana tena.