The tolerance 1
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 404
- 517
Hongera mi nilijua ulilelewa na mzazi mmoja coz wengi ndo wanakuwaga na tabia kama hizi maana hawakuwa na malezi ya wazazi wote wawili.Nimelelewa kwaa baba na mama. Washika dini hasa. From a lovely family,,,
Huu ndio ukweli wenyeweKama Jambo Dogo kama hilo linakushinda mpaka uombe ushauri, ni bora usubiri Akili ikomae ndio uingie ndoani, maana Kwa Akili hizi ndoa itakushinda mapema Mno.
Mtu unashindwa kujua kipi kitangulie kipi kifuate,
Kwa sababu ya ubinafsi wako ndio maana ukamkatili huyo mtoto wa Watu Kwa kisingizio cha rafiki yako sijui anamatatizo gani.
Tafsiri yake ni kuwa hata ukioa utatanguliza mambo ya marafiki kuliko Familia yako(Mkeo na watoto),
Hata huyo Mchumba wako ni hamnazo, yaani Bora ungetoa sababu ya mzazi anaumwa lakini kumbe ni matatizo ya rafiki yako.
Mkuu nafikiri bado hujajiandaa kuwa na Familia.
Asante sana!Umemkosea na umempa fedheha kwa familia yake, na Umevunja Ahadi..!!!
Kama ni mimi ningeshakublokilia mbali everywhere kuanzia kwenye Moyo,nafsi,akili etc
Unaonekana hauna msimamo wala clear vision, Mwanaume mwenye Vision habadili plans zake kwa changamoto za ghafla, huyo Dada ningemjua ningemshauri akusahau angaalie maisha yake
Madini haya mkuuAlafu ATI mpaka ashauriwe akaombe Msamaha ni kwamba hajui kuwa amefanya Makosa, hajali, na bila Shaka hampendi huyo Binti WA Watu.
Ashamtia aibu Binti wa Watu Huko kwao, lakini Hilo kwake halioni Kwa vile hajafanyiwa yeye.
Alafu angefanyiwa yeye angekuja hapa kupiga mayowe Wanawake ni wabaya.
Tabia za ubinafsi, kutojali hisia za wengine ni moja ya tabia Mbaya zinazotesa wengi katika jamii.
Kwa Sisi tusioweza kuvumilia huwaga hatuchelewi kujibu mapigo.
Ndio maana nikiwaambia Wanawake watafute Pesa wajitegemee waachane na kuhudumiwa naonekana mchawi na Mchukia Wanawake wakati tayari nimeshasoma Gap na kujua jamii yetu ni yanamna gani.
Yaani umemwambia ukweli kabisa.Jamaa ulichemka Sana
We endekeza tu maneno ya watu kukataa ndoa na kuleta ujana. Kitu unasahau ni kuwa Hao unaowaona marafiki zako leo hutakuja kuwaona kesho ukiwa unaumwa unavaa pampers.
Ujana huwa unawasumbua Sana, stori nyingiiiii ila hamjui ya mbele yenu.
Wewe ulijitolea kuacha kutoa mahali na kujenga familia yako ambayo kimsingi ndio rafiki wako wa kweli na kumsaidia mshkaji, subiri sasa utakuja kuona Nani Atakuwa upande wako katika maisha yako.
Labda kamwandalia tukio.Ila huyo mwanamke hana akili pamoja na kumuaibisha bado kajileta mfyuu zake
That's my Glenn.Nafikiri una umri mdogo/ hauna ustaarabu au hujapevuka kiakili.
Kama ulipata dharura kama hiyo ulitakiwa utumie busara ya kutuma wazee au mshenga akaombe ukweni waahirishe hiyo siku....na sababu kuu mmepata dharura inayohitaji pesa.
Jifunze ustaarabu naona kama unajiona spesho sana.
Hujui kesho yako huenda mkeo au nduguze watakuvusha eneo flani.
Unaweza kuwachukulia poa...haya ni maisha tu...unayemchukulia poa kesho kibao kinakugeuka
Mimi naona hata nikikugongea like tu haitoshi. Darasa zuri wasipoelewa basi tena.Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN
Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati
Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha
Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo
Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu
Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla
Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Nimeweka hapa hili jambo si kwa sababu natafuta huruma. Sina hata chembechembe za kudai huruma. Iko hivi, tushauriane kwa lengo la kujifunza. Uzoefu wa mapenzi na suala la mahusiano ya ndoa ni vitu viwili tofauti. Hata makahaba wana uzoefu katika mapenzi lakini mbona hawapo katika ndoa? suala gumu kabisa hapa JF baadhi yenu mnapenda kuwashusha watu mpaka kwenye level zenu kisha unoangea kutokea kwenye level yako. My conscience is clear Bro,,,changia mada kwa mawazo ya kujenga. Hizo hoja nyepesi sijui wenye akili sijui ukomavu wa akili sijui ubinafsi,,, ni bla bla tu za kupoteza muda. Click to the point objectively!Wakuonewa huruma hapo ni wewe πππ
Sisi wazoefu WA mapenzi tunajua nini kinafuata kwako kwenye ishu za mahusiano.
Kesho kutwa hapa utakuja kuwatukana Wanawake ni Mbwa,
Nipo nimekaa hapa
Nakuhakikishia huyo Mwanamke ukimuoa lazima atakuja kulipiza kisasi kwa aibu ulihompa.
Nimeweka hapa hili jambo si kwa sababu natafuta huruma. Sina hata chembechembe za kudai huruma. Iko hivi, tushauriane kwa lengo la kujifunza. Uzoefu wa mapenzi na suala la mahusiano ya ndoa ni vitu viwili tofauti. Hata makahaba wana uzoefu katika mapenzi lakini mbona hawapo katika ndoa? suala gumu kabisa hapa JF baadhi yenu mnapenda kuwashusha watu mpaka kwenye level zenu kisha unoangea kutokea kwenye level yako. My conscience is clear Bro,,,changia mada kwa mawazo ya kujenga. Hizo hoja nyepesi sijui wenye akili sijui ukomavu wa akili sijui ubinafsi,,, ni bla bla tu za kupoteza muda. Click to the point objectively!
Kabisa mkuuHata ningekuwa mimi lazima ningelipiza.
Kwanza aje aombe msamaha kwetu aniondolee aibu aliyonisababishia halafu sasa ni deal naye kimafia.
Hajui ni aibu kiasi gani kamsababishia huyo binti. Na mabinti tunavyosimangwaga mwanaume akiingia mitini..usipokuwa na roho ngumu unaweza kunywa sumu.
Mkuu
Nisikilize kwa makini.
Uliamua kutoa msaada kwa rafiki kwa ugumu alioupitia na ilipaswa ndiyo ukae nanmwenzako muyajenge lakini kitendo cha yeye kusema bora muachane ni wazi neno ndoa kwake ni STATUS na siyo mahusiano.
Naheshimu sana michango yenu na napenda kuishia hapa. Kwangu mimi, kuwajali watu wengine walio katika shida ambazo ninazimudu ni ibada kwangu. Ndoa ikishindikana leo, itafanyika kesho. Kama si kwa huyu basi ni kwa mtu mwingine. Sina shaka! huyu mahusiano yetu hayatakuwepo tena. Nimeyavunja rasmi this morning. Nitajipa nafasi, si kwa lengo la kukua maana nimekua na akili imekomaa haswa. Imani yangu ni kwamba nitakutana na mtu mwenye mtazamo ule ninaoutaka, ikitokea hajapatikana wala hakuna shida. Ninaishi na nitaishi kwa kuwajalii wengine.Wewe ndio umemshusha huyo Mchumba wako ambaye mnamuda mrefu mnafahamiana miaka nenda Rudi, unategemea humu Nani atakupandisha zaidi ya kukushusha kama ulivyofanya?
Umeweka Watu wachangie na hii ndio michango yenyewe.
Pointi wadau wameshazitoa kuwa umepuyanga,
Unapaswa usubiri ukomae Kiakili ndipo utajua wapi umekwama.
Mapenzi ndio yanaunda Ndoa. Hakuna Ndoa bila mapenzi. Ila mapenzi yanaweza kuwepo bila ya Ndoa.
Ili ndoa uimudu lazima mapenzi uyamudu.
Ndio maana nikakuambia bado haujakomaa Kiakili.
Kuhusu hao makahaba ni maamuzi Yao kuwa hivyo walivyo, ukahaba ni maamuzi sio Tabia, umalaya ndio Tabia
Naheshimu sana michango yenu na napenda kuishia hapa. Kwangu mimi, kuwajali watu wengine walio katika shida ambazo ninazimudu ni ibada kwangu. Ndoa ikishindikana leo, itafanyika kesho. Kama si kwa huyu basi ni kwa mtu mwingine. Sina shaka! huyu mahusiano yetu hayatakuwepo tena. Nimeyavunja rasmi this morning. Nitajipa nafasi, si kwa lengo la kukua maana nimekua na akili imekomaa haswa. Imani yangu ni kwamba nitakutana na mtu mwenye mtazamo ule ninaoutaka, ikitokea hajapatikana wala hakuna shida. Ninaishi na nitaishi kwa kuwajalii wengine.
Ni kwel.. akili kichwani mkuuUkiona mapicha picha mwanzoni inafaa ujiweke kando na huyo mtu.
Kuna ndg yetu alilazimisha kitu kama hiki hadi leo anajutia
Afanye nini na vijana wengi wanataka kula bure na watunzwe?Kweli wanaume mmekuwa adimu..na kumdhalilisha kote huko bado karudi[emoji849][emoji849][emoji848]
Tena anaomba na msamaha mammmae