Wewe ungekuwa objective unge promise kupeleka mahari kwa watu na wanajiandaa Kisha unaghaili kirahisi hivyo?Pampasi za kutoka wapi? ni busara sana kutokufikiria mambo ya namna hiyo. Una uhakika kwamba nikiumwa yeye ndo atakua msaada? let's be objective,,,
Asee hata hili la kuombea ushauri?Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za kimaisha. Nilipomjulisha kwamba nitaahirisha kutoa mahari, hakukubali na aliniomba tuachane. Nilikubali na kumtakia kila la kheri lakini pia nikamsihi kwamba kama atafikiria uamzi wa tofauti basi nitakuwa tayari kumpokea. Jana alinipigia simu na kuomba msamaha. Alijutia sana, hatimae, nikaamua kumsamehe. Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.! Kabla sijatoa maamzi, naombeni ushauri. Hili jambo ni sawa?
Kajamaa kakaingia mitini bila taarifa, still kanajiona kapo sahihi 😅😅Kawadharau sana wazazi wa binti. Halafu kakosa busara, kawaida jambo kama hilo humwambii binti, unatuma wazee. Mahari huwa haimaizwi. Unatuma wazee hata na elfu hamsini wazee wanajua namna ya kuhandle haya mambo na wangemshauri nn cha kufanya. Bora wasioe tu.
Kweli huyo dada akili hanaIla wewe mbona ishu yako ndogo ..mimi kuna mwana yeye sio tu aliahirisha ila hata manzi ake hakumwambia..Kikeni huko wamejiandaaa kishenzi mavyakula na vilaji kama unavyojua wachaga!.. e bwana eeh!!. Mshkaji hakutokea kabisaaaaaa wala manzi ake hakumwambia kitu yan ilikua bonge la soo na aibu kwa dem..ndugu jamaa walishajaa kupokea mahali na kumwona jamaa ila ikawa tee!!.
Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? 😂😂😂
Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MANAaah weweeee..sie wanaume bwana angalau tunaokotanaga kwenye maisha ndio maana akaona bora amsaidie mshkaji.Nyie mnalipwa mahali na bado tukiingia humo ndani full magubu na masokomoko kutuloga juu af mwisho wa siku mnatukimbia.
Ila washkaji kuna time hawawez kukutupa inategemeana na history yenu.
Af ukiona jamaa akafanya hivyo inawezekana kabisaaa kuna namna wewe sio kivileee..yan una mizingua
Binti zangu wakiniletea kijana wa hivi ntawaambia nipeni aibu tu ya kuzalia nyumbani ila msiolewe.Kajamaa kakaingia mitini bila taarifa, still kanajiona kapo sahihi 😅😅
Sikufahamu lakini labda nikuambie kwamba namshukuru Mungu kwa hatua ndogo niliyopiga katika maisha. Si wa kubezwa!Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN
Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati
Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha
Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo
Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu
Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla
Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Tatizo si kuamua kutumia mahari kumsaidia rafiki. Huenda alikuwa anakufa huyo rafiki, tatizo ni taratibu alizotumia. Unampa binti taarifa kihuni huni tu. Bora hata alichofanya Fei Yanga kuliko huyu.Nimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN
Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati
Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha
Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo
Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu
Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla
Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Siwezi kukubeza jaribu kuelewa hoja yanguSikufahamu lakini labda nikuambie kwamba namshukuru Mungu kwa hatua ndogo niliyopiga katika maisha. Si wa kubezwa!
Duh,hii comment nimeielewa vizuri sana mkuuNafikiri una umri mdogo/ hauna ustaarabu au hujapevuka kiakili.
Kama ulipata dharura kama hiyo ulitakiwa utumie busara ya kutuma wazee au mshenga akaombe ukweni waahirishe hiyo siku....na sababu kuu mmepata dharura inayohitaji pesa.
Jifunze ustaarabu naona kama unajiona soesho sana.
Hujui kesho yako huenda mkeo au nduguze watakuvusha eneo flani.
Unaweza kuwachukulia poa...haya ni maisha tu...unayemchukulia poa kesho kibao kinakugeuka
Tena tusijuaneYaan tuachane tu
Sio sawa. Hii uchumba tu masharti kama yote, kwenye ndoa itakuwaje??Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za kimaisha. Nilipomjulisha kwamba nitaahirisha kutoa mahari, hakukubali na aliniomba tuachane. Nilikubali na kumtakia kila la kheri lakini pia nikamsihi kwamba kama atafikiria uamzi wa tofauti basi nitakuwa tayari kumpokea. Jana alinipigia simu na kuomba msamaha. Alijutia sana, hatimae, nikaamua kumsamehe. Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.! Kabla sijatoa maamzi, naombeni ushauri. Hili jambo ni sawa?
Ahahaha sawa mkuu...ila hatua hizo sijui ni zipi unaziongelea..nimeoa at 24 mkuu...hatua zingine sina haja ya kukuelezaNimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN
Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati
Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha
Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo
Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu
Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla
Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Basi jamaa ni Man na NusuBe a man.
Endeleeni kumdanganya.Basi jamaa ni Man na Nusu
Mkuu kuna tabia wanaume tumeanza kuchukulia kuwa kuoa ni kama vile kutoa msaada kwa binti au wazazi wake.Duh,hii comment nimeielewa vizuri sana mkuu