Asante sana mkuuUsijali. Nenda kwa nia ya kuwaelewesha kilichotokea. Kwanza big up sana. Ulichukulia shida ya rafiki kama dharula kuliko swala binafsi ambalo lingesubiri. Mwenzi wako mbinafsi na inawezekana aliwajaza sumu kwao ndio maana anataka uombe msamaha. Waeleze how it went
Lakini mkuu una dharau sanaAsante sana mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Kajamaa kakaingia mitini bila taarifa, still kanajiona kapo sahihi [emoji28][emoji28]
Fact mkuuNimezungumzia CLEAR VISION AS A MAN
Nikimaanisha kua Mwanaume kama Mwanaume lazima usimamie juu ya ulichokipanga na kukiratibu bila kujali kuna changamoto gani imeingia kati
Issue za kusaidiana zipo tu na hazijawahi kuisha
Kwa mwanaume aina yako maendeleo utayasikia kwenye bomba, unaonyesha hauna muelekeo
Mwanaume kamili hayumbishwi na changamoto za ghafla anasimamia mipango yake kama alivyoiratibu
Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla
Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Tuvumiliane mkuu, nasoma ushauri wako.Lakini mkuu una dharau sana
Jamaa kazinguaBinti zangu wakiniletea kijana wa hivi ntawaambia nipeni aibu tu ya kuzalia nyumbani ila msiolewe.
Patriot3Usijali. Nenda kwa nia ya kuwaelewesha kilichotokea. Kwanza big up sana. Ulichukulia shida ya rafiki kama dharula kuliko swala binafsi ambalo lingesubiri. Mwenzi wako mbinafsi na inawezekana aliwajaza sumu kwao ndio maana anataka uombe msamaha. Waeleze how it went
Vaa uungwana utume mshenga au uende mwenyewe waambie ulipata tatizo na ukaghafilika kutoa taarifa watakuelewaTuvumiliane mkuu, nasoma ushauri wako.
.......kuna mawili katika hili, 1.inawezekana mtu akataka kutoa mahari lakini bado hajui nafasi ya mke/mpenzi/familia katika maisha ya mwanaume halisi, lakini pia hujui nafasi ya rafiki katika maisha yake 2.kuna watu pia wanapoingia katika mahusiano tayari wanaonekana kujiona wao ni wathamani zaidi kuliko mwenzie wake(hali ya kujisikia nakujiona bora na kwamba unaweza fanya maamuzi yoyote hatakama ni ya kumuumiza au kumdhalilisha mwenzio, wazee wa kujiona wako sahihi ktk kila jambo)........Sasa basi kama mtu ana tabia mbili hizo naona bado hajawa matured enough to be in marriage, watu wadizaini hii huingia kwenye ndoa then soon wanaanza kusema kataa ndoa......Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za kimaisha. Nilipomjulisha kwamba nitaahirisha kutoa mahari, hakukubali na aliniomba tuachane. Nilikubali na kumtakia kila la kheri lakini pia nikamsihi kwamba kama atafikiria uamzi wa tofauti basi nitakuwa tayari kumpokea. Jana alinipigia simu na kuomba msamaha. Alijutia sana, hatimae, nikaamua kumsamehe. Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamahaakwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.! Kabla sijatoa maamzi, naombeni ushauri. Hili jambo ni sawa?
Sijui historicity ya haya mambo. Comment yako ipo based kwa alichokiandika leoPatriot3
HIvi unaona ni sahihi kuahidi na kutoa tarehe ya kulipa mahari...halafu upate dharura na usipileke taarifa kuwa hamtakuja kwasababu mmepata dharura?
Hii ni sawa?
Alipaswa aombe ahirisho.
Lakini jamaa badala ya kuomba kusegeza mbele alikuja kuanzusha uzi jf kama vile ufahari flani...tusifagilie ujinga huu wakuu wangu...tuwe wanyenyekevu dunia ni katili sana ikianza kukulipa kisasi...wanaita karma
Nina imani kwamba unaelewa kuwa dharura inatolewa kama wote mmeridhia. Ningetoaje wazo la dharura kwa wazazi wake kama yeye baada ya kumueleza ali-opt kuvunja mahusiano na hakutaka tena mahusiano?Patriot3
HIvi unaona ni sahihi kuahidi na kutoa tarehe ya kulipa mahari...halafu upate dharura na usipileke taarifa kuwa hamtakuja kwasababu mmepata dharura?
Hii ni sawa?
Alipaswa aombe ahirisho.
Lakini jamaa badala ya kuomba kusegeza mbele alikuja kuanzusha uzi jf kama vile ufahari flani...tusifagilie ujinga huu wakuu wangu...tuwe wanyenyekevu dunia ni katili sana ikianza kukulipa kisasi...wanaita karma
Hapana...nilisoma uzi wa awali piaSijui historicity ya haya mambo. Comment yako ipo based kwa alichokiandika leo
Mkuu, nipo vema sana upstairs. Haya mambo tushauriane kwa staha tu. Hakuna alie mkamilifu........kuna mawili katika hili, 1.inawezekana mtu akataka kutoa mahari lakini bado hajui nafasi ya mke/mpenzi/familia katika maisha ya mwanaume halisi, lakini pia hujui nafasi ya rafiki katika maisha yake 2.kuna watu pia wanapoingia katika mahusiano tayari wanaonekana kujiona wao ni wathamani zaidi kuliko mwenzie wake(hali ya kujisikia nakujiona bora na kwamba unaweza fanya maamuzi yoyote hatakama ni ya kumuumiza au kumdhalilisha mwenzio, wazee wa kujiona wako sahihi ktk kila jambo)........Sasa basi kama mtu ana tabia mbili hizo naona bado hajawa matured enough to be in marriage, watu wadizaini hii huingia kwenye ndoa then soon wanaanza kusema kataa ndoa......
Ushauri: omba msamaha vizuri kabisa ukiwa na mahari mkononi plus faini....bibie yupo sahihi kabisa kuweka masharti coz kashagundua kuwa anadeal na mtu ambaye pengine dishi limecheza tayari.....
Ni kweli jamaa amezingua sana. Ila kumnenea mtu mambo mabaya, tena kwa kuapa/msisitizo sio jambo zuri mkuu. Tunaishi, tunakosea, tunajifunza, tunarekebisha, and the cycle repeat itself.Wewe hutapiga hatua yoyote kubwa ya maendeleo trust me ukijaribu kunyanyuka ikitokea changamoto unapangua mpango wako ghafla
Kwa mwenendo huo utakua ni mtu wa kurudi nyuma daily
Ni taarifa iliyomshtusha hakutegemea...Nina imani kwamba unaelewa kuwa dharura inatolewa kama wote mmeridhia. Ningetoaje wazo la dharura kwa wazazi wake kama yeye baada ya kumueleza ali-opt kuvunja mahusiano na hakutaka tena mahusiano?
Kueleza hapo sasa hivi kwamba allimshirikisha mwenziwe kabla ndo akakimbilia kusitisha mahusiano. So angeenda kwa in-laws kama ex ama kama nani?Hapana...nilisoma uzi wa awali pia
Aisee wanawake sijui hua tunafeli wapi jamani dah,Ila wewe mbona ishu yako ndogo ..mimi kuna mwana yeye sio tu aliahirisha ila hata manzi ake hakumwambia..Kikeni huko wamejiandaaa kishenzi mavyakula na vilaji kama unavyojua wachaga!.. e bwana eeh!!. Mshkaji hakutokea kabisaaaaaa wala manzi ake hakumwambia kitu yan ilikua bonge la soo na aibu kwa dem..ndugu jamaa walishajaa kupokea mahali na kumwona jamaa ila ikawa tee!!.
Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? πππ
Hatua ninazipiga tu na nimeshazipiga. Jambo kubwa ni kushauriana kwa utaratibu mzuri.Ni kweli jamaa amezingua sana. Ila kumnenea mtu mambo mabaya, tena kwa kuapa/msisitizo sio jambo zuri mkuu. Tunaishi, tunakosea, tunajifunza, tunarekebisha, and the cycle repeat itself.
Mwanamke hajielewi. Wanawake kama hawa wasioijua thamani yao ndo hata ukioa ni hasara tu. Kama haioni thamani ya wazee wake anaruhusu wadharaulike thamani ya mume ataiona vipi.Ila wewe mbona ishu yako ndogo ..mimi kuna mwana yeye sio tu aliahirisha ila hata manzi ake hakumwambia..Kikeni huko wamejiandaaa kishenzi mavyakula na vilaji kama unavyojua wachaga!.. e bwana eeh!!. Mshkaji hakutokea kabisaaaaaa wala manzi ake hakumwambia kitu yan ilikua bonge la soo na aibu kwa dem..ndugu jamaa walishajaa kupokea mahali na kumwona jamaa ila ikawa tee!!.
Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? πππ